Mtu mwenye degree anapoenda kujifunza kazi ya waliokosa Elimu ni ujumbe gani tunapata kuhusu Elimu yetu?

Mimi nashangaa sana watu kama wewe huwa mnakosa akili kichwani . Mfano watu 40000 wameliza vyuo katika fani mbalimbali Tz nzima na ktk hao kumi elfu wakawa wameajiliwa na thelathini elfu wakawa hawana ajira na wakaenda kuanzisha ujasiriamali . Nani atamuhuzia mwenzake .

Mfano 2.
Umemaliza course ya engineering hafu wote mkaenda kufungua construction company miaka miatu ujapata tenda utalipa Nini ada crb na kodi.
Kumbuka crb imedelete compuni nyingi sana mwaka huu kwa kushinda kulipa ada na zingine zimekufa kwa kukosa tenda .

Na compuni nyingi hazina mtaji wa kushika hata tenda za milioni Mia moja na zinaenda kwa kampuni za kigeni.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi na degree zangu mbili ni fundi seremala.
Tatizo lenu ujinga mwingi kwani fundi selemala au cherehani hajasoma? Unaweza kuwa seremala au fundi cherehani bila kusomea? Kwani Wewe na wenzio akiwemo mleta mara mnadhani uselemala na cherehani hausomewi Kama hausomewi kwa Nini mnaenda kufundishwa? Fundi cherehani kasoma .Elimu yake kasomea ufundi cherehani huyo meingine kasoma kasomea mambo ya community development.
Mleta mada kichwa Chako kibovu .
 
Ifike mahali watu wakubali kuwa degree siyo guarantee ya kutoboa maisha. Ujuzi binafsi ni muhimu kuliko hayo madegree ya kukariri
 
Kwanza nimpongeze mpwa wako wa kuiona fursa. Hapo naweza kusema mpwao ndio ameanza kuitumia vyema elimu yake.

Mkuu, mpwa wako anaweza kujifunza ushonaji kibarazani akawa fundi mzuri akafungua ofisi kubwa tu na ikibidi ata kampuni ya ushonaji akatoa ajira kwa wengine lakini pia akalipa kodi na kulijenga taifa.

Kiongozi huyo fundi wa darasa la saba anayeshonea kibarazani kuna vitu anavikosa lakini huyo mpwa wako anaweza kuitumia elimu yake kuongeza thamani ya hiyo kazi akatoboa haraka sana.

Kama huyo mpwa wako yupo Dar, karibu na Kigamboni niunganishe nae mimi nitampa sehemu ya kujifunza bure na kumsaidia mawazo nini cha kufanya na anawezaje kupata mtaji wa icho anachotaka kufanya.
 
kenge wa kike wewe.

nimelalamika hapo au nimeelezea ninachokifanya???

mimi ni seremala na najivunia kuwa fundi seremala pamoja na degree zangu mbili.
 
Watanzania wanasoma ili serikali iwaajiri hiyo ndiyo shida
Asilimia kubwa ya wanaojilipua nje za
Nchi ni wasiosoma
Sasa serikali itaajiri wangapi
Me naona ni sawasawa tu wacha wajazanee huko mtaani itafika mahali nchi itakuwa na raia wanaojitambua



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa sasa hiyo kawaida sana. Kuna vijana walikuwa wanafanya field ninakofanyia kazi baada ya kuhitimu chuo na wamerudi mtaani na ukizingatia maisha tait siku ya siku nikawakuta madogo wako site wanapiga kibarua sidia fundi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante, kwa jibu hili nimepata wazo la kukusanya haya maoni nimwandikie summary nimpe kama nyongeza ya mchango wa mawazo kwenye mradi wake. Binafsi nilivyojaribu kujiweka katika nafasi yake nimehisi kama ningekuwa very frustrated, lakini kumbe kuna haya unayosema hapa ya kutumia elimu yake kufanya mradi wake uwe tofauti na wa wale ambao hawajasoma. Nakushukuru.
 
Asante sana, this is very inspirational. Nakiri kuwa kwa kiasi fulani nimeathiriwa na hii mentality ya classes kwenye kazi. Dogo kaniingiza shule leo, na hili darasa litafika kwa wanangu.
 
Nimemsapoti kwa vingi, na hata kwenye wazo lake hili nimemsapoti pia na mtaji nimempa. Mafunzo anaanza kesho. Amenuia na anaonesha ana furaha juu ya huu mpango wake. Namuombea baraka na mafanikio.
 
Kuna mambo mawili inabidi serikali iliangalie kwa jicho LA tatu ilikupunguza changamoto hii,,,moja kupunguza umri was kustaafu,,pili kuna baadhi ya fani MTU afanye kwa mda mfano unafanya kwa miaka kumi zen wanakuja kundi lingine LA wasomi wanachukua nafasi na tatu uhamiaji watoe passport kwa wepesi ili vijana wakatafute fursa nchi za nje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona Mimi Nina ka - diploma lakini nakamua n'gombe maziwa halafu naenda kuuza
Hizo digrii zingine zinatisha mtu kasomea kuendeleza jamii Yaani kundi kubwa la watu community development Lakini yeye mwenyewe hawezi kuji develop hiyo community ataiweza KU i develop?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…