Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Umeandika madudu ndo Mana nimekujibu.Nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri na kunyambulisha mambo. Kama ndio akili mliyonayo graduate wetu wa kisasa pole sana mkuu. Soma vizuri comment yangu nadhani hujaielewa vizuri. UTAJIONA WEWE NDIYE UMEKOSA AKILI MARA 2
Tunakwama hapa kwenye mawazo kwamba ukimaliza degree, lazima uajiriwe ofisini kufanya kazi na kulipwa mshahara. Elimu yetu 98% haifundishi ujasiriamali bali kuja kuajiriwa tu.Kulikuwa na sababu gani ya kupoteza gharama na muda wote huo, si bora tu angeenda ushonaji alipomaliza la saba? Tunakwama wapi?
Kumbuka mpwa kakosa connection akipata connection in three or two year anakuwa na ukwasi au mali zaidi ya uyo fundi ila uyo fundu kitu kupata connection akabadili game faster kama mpwa pengine abet au ashinde tatu mzuka
Kwaiyo usimdharau mpwa ni mapito tu sema mpwa naye yupo porini sana nini si aendeshe hata boda boda afungue milango ya connection kwa kukutana na watu yani umesoma unatafuta kazi alafu unaenda kufanya kazi ya kukaa ukutani na wadau inatakiwa ajichanganye akapige hata vibarua vya ujenzi uko, au kupiga debe stand yani mixing style
Upo sahihi Sana kiongoziVyuo vikuu vimejaa kozi nyiiiiiingi ambazo hazina needs mtaani. Matokeo yake ndio kama haya.
Unforgetable
Hii mambo nasikia iko sana India, kuna taxi drivers wenye PhD!
Nigeria hapo kuna watu wana PH.d wanaendesha malori ya mizigo ya dangote.Hii mambo nasikia iko sana India, kuna taxi drivers wenye PhD!
Hamna cha kukwama. Kwa taarifa yako, kama ameelimika kwa degree yake, akishajua ushonaji huyo mwalimu wake wa la saba atashangaa, kwa sababu atakavyoifanya hiyo biashara/kazi itakwenda sanjari na degree yake.Nimetoka kuzungumza na mpwa wangu sasa hivi anaomba msaada wa cherehani akajifunze kushona nguo, ndio mradi aliobuni baada ya kusota miaka 2 bila ajira. Amesoma ana degree Bachelor of Arts in Community and Development Studies.
Kaniambia ameshapata mtu wa kumfundisha na mahali pa kujifunzia (baraza fulani hivi). Ninavyofahamu huyo fundi cherehani atakayekuwa anamfundisha mpwa wangu kushona ana elimu ya darasa la saba tu, jamani! Huyu fundi atapata ujumbe gani kuhusu kusomesha mtoto?
Hivi kweli ni sawa kijana asome hadi elimu ya university aishie kuja kufundishwa ushonaji na mtu wa la saba? Kulikuwa na sababu gani ya kupoteza gharama na muda wote huo, si bora tu angeenda ushonaji alipomaliza la saba, labda sasa hivi angekuwa mbali sana. Au kuna mahali tunakosea katika elimu hizi, tuna universities nyingi na courses nyingi lakini kumbe wanachohitaji watu ni ufundi cherehani tu! Tunahangaika na mambo makubwa ya gharama kubwa bure tu!
Interestingly mpwa wangu ana shauku kubwa ya kutekeleza mpango wake huu, anauchukulia serious kabisa, anaanza kesho rasmi! Namtakia kila la heri lakini kwa kweli nashangaa tu, mimi katika makuzi yangu niliona degree ni level kubwa sana, si ya kutumia kwenye cherehani. Lakini basi ndiyo imeshakuwa hivyo.
Tunakwama wapi?
Ahsante mkuuStruggle kujua kitu gani unaweza kufanya kishikilie upambane mpaka utoboe..
Kumbuka in universe everything starts small
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umeitumia elimu yako kutawala mazingira? Usikute umeajiriwa ila unavunga kutotambua masaibu wanayopitia wenzako.Nafikiri tatizo si elimu ila tatizo ni mpwa kuitumia Hiyo elimu
Elimu haikuanzishwa ili Watu waajililiwe ila ilanzishwa ili Watu waweze kutawala mazingira yao vizuri kwa uarahisi
Tunapokwama tunachukulia elimu ni kama njia ya kuajiliwa badala kuchulia kama njia ya kutufungua ufahamu wa kutawala mazingira
Mimi Nina digree Nne,Nimetoka kuzungumza na mpwa wangu sasa hivi anaomba msaada wa cherehani akajifunze kushona nguo, ndio mradi aliobuni baada ya kusota miaka 2 bila ajira. Amesoma ana degree Bachelor of Arts in Community and Development Studies.
Kaniambia ameshapata mtu wa kumfundisha na mahali pa kujifunzia (baraza fulani hivi). Ninavyofahamu huyo fundi cherehani atakayekuwa anamfundisha mpwa wangu kushona ana elimu ya darasa la saba tu, jamani! Huyu fundi atapata ujumbe gani kuhusu kusomesha mtoto?
Hivi kweli ni sawa kijana asome hadi elimu ya university aishie kuja kufundishwa ushonaji na mtu wa la saba? Kulikuwa na sababu gani ya kupoteza gharama na muda wote huo, si bora tu angeenda ushonaji alipomaliza la saba, labda sasa hivi angekuwa mbali sana. Au kuna mahali tunakosea katika elimu hizi, tuna universities nyingi na courses nyingi lakini kumbe wanachohitaji watu ni ufundi cherehani tu! Tunahangaika na mambo makubwa ya gharama kubwa bure tu!
Interestingly mpwa wangu ana shauku kubwa ya kutekeleza mpango wake huu, anauchukulia serious kabisa, anaanza kesho rasmi! Namtakia kila la heri lakini kwa kweli nashangaa tu, mimi katika makuzi yangu niliona degree ni level kubwa sana, si ya kutumia kwenye cherehani. Lakini basi ndiyo imeshakuwa hivyo.
Tunakwama wapi?
Hili siwezi kuamini. Degree nne? Mimi hizo mbili tu nimesota kinyama na bado siyo DOBI, wewe za kwako nne umesomea wapi arifu, au ni zile za kupeanwa?Mimi Nina digree Nne,
Sasa hivi nimejikita kwenye TASNIA ya UDOBI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulipwe mara 100 ya bei ya kawaida kwa sababu wewe ni nani?Kwenye udobi mtu hawezi kunishawishi. Watu wafanye mambo yao kwenye mashuka halafu niletwe nifue? Na degree zangu? Naheshimu kazi lakini hii hapana, unless uniambie nitalipwa mara 100 ya bei ya kawaida.