Mtu Mwenye miaka 35 ni Kijana?

Ni kweli kabisa lakini 35 mpaka 45 mtu si bado yupo kwenye chart hasa kama ela ipo.
 
Ujana ni big deal sana kwamba mtu akijiita kijana kuna kitu anawapunguzia?
 
Ila ni muda wakutoendelea kufanya makosa,ila ni muda wakurekebisha ulipokosea iwe ni mambo ya kifamilia,kiuchumi,mahusiano na malengo ya dhati katika maisha.🤔
Kabisa kabisa ni umri wa marekebisho na kutuliza akili sana.
 
Bongo ukiwa na hela hata ukiwa na 50yrs watakwambia bado kijana mdogo ila ukiwa huna Hela hata ukiwa na 24 watakwambia "ushakua Mtu mzima wewe jiongeze"
Dah maisha hayako poa. Ukiwa na ela unaitwa uncle bado kijana na umri ni 50 ila ukiwa na miaka 24 pesa huna shikamoo zina kuwa nyingi.
 
Inategemea na muktadha husika

1. Kocha mwenye miaka 35 ni kijana kabisa ila mchezaji mwenye umri huo huo ni mzee

2. Rais mwenye miaka 50 ni rais kijana, ila angekua ni Askari huyo tayari ni mzee

Ndio maana sikushangaa eti Joketi naye ni UVCCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…