Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
- Thread starter
-
- #21
Ni kweli kabisa lakini 35 mpaka 45 mtu si bado yupo kwenye chart hasa kama ela ipo.Kuna ule wepesi wa mwili baada ya miaka 35 ni kama unaanza kuwa mzito, Putin bodyguards wake wale commandos wanakuwa replaced wakitimiza 35. Angalia hata michezo, bondia n.k
Lakini pia jinsi umri unavyokwenda ndivyo busara , hekima vinaongezeka huku nguvu ya mwili inapungua.
Hivyo kusema kijana kikomo ni 35 waliangalia zaidi ile physical fitness ya mwili, ndio peak yake ya juu kabisa kwenye graph baada ya hapo graph inaanza kushuka chini.
Ujana ni big deal sana kwamba mtu akijiita kijana kuna kitu anawapunguzia?Ni mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.
Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujiita vijana ilihali wanajua wazi kwamba umri tayari umesha watupa mkono.
Wasalam.
Kweli tuliona wakina mzee Mengi walibadilika kuwa vijana kwa sababu ya pesa.Hata 80 nae ni kijana. KIKUBWA PESA IWEPO
Hapo mbona una wadis masela🫣miaka 35 bado mtoto kabisa, hata kuwa kijana bado tena kwa akili bado kabisa hana hata akili
kdg kwa mwanamke ni kijana ila kwa mwanaume ni mtoto na akili hana vzr
Ndo maana masikini tupo wengi. Tunautumia ujana vibaya sana. Ukiwa na 35 bado una utoto utaokolewa na urithi wa wazazi wako tu.miaka 35 bado mtoto kabisa, hata kuwa kijana bado tena kwa akili bado kabisa hana hata akili
kdg kwa mwanamke ni kijana ila kwa mwanaume ni mtoto na akili hana vzr
Kabisa kabisa ni umri wa marekebisho na kutuliza akili sana.Ila ni muda wakutoendelea kufanya makosa,ila ni muda wakurekebisha ulipokosea iwe ni mambo ya kifamilia,kiuchumi,mahusiano na malengo ya dhati katika maisha.🤔
Naona Ujana kama una shawishi, wengine wanasema ujana maji ya moto. N.kUjana ni big deal sana kwamba mtu akijiita kijana kuna kitu anawapunguzia?
Dah maisha hayako poa. Ukiwa na ela unaitwa uncle bado kijana na umri ni 50 ila ukiwa na miaka 24 pesa huna shikamoo zina kuwa nyingi.Bongo ukiwa na hela hata ukiwa na 50yrs watakwambia bado kijana mdogo ila ukiwa huna Hela hata ukiwa na 24 watakwambia "ushakua Mtu mzima wewe jiongeze"
Ameeleza uhalisia wa mambo ulivyoo.Hapo mbona una wadis masela🫣
Inategemea na muktadha husikaNi mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.
Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujiita vijana ilihali wanajua wazi kwamba umri tayari umesha watupa mkono.
Wasalam.
Ongezea ni KIJANA MDOGO kabisa yaan hata akifa ghafla watu wanalia Sana na utasikia kauli amekufa akiwa BADO MDOGONi kijana tena kwa mazingira ya bongo bado kajawa na utoto mwingi anayepinga anyooshe mkono juu ni mwone😁
Ni kweli mkuu..Ni kweli kabisa lakini 35 mpaka 45 mtu si bado yupo kwenye chart hasa kana ela ipo.
Yes bora umetuletea picha mkuu. Utawaita wazee hao kweli?View attachment 3002611Jay na Snoopy
Unamzungumzia Mgunda au unamzungumzia BOKO?1. Kocha mwenye miaka 35 ni kijana kabisa ila mchezaji mwenye umri huo huo ni mzee
Forty Something HAO bado vijanaYes bora umetuletea picha mkuu. Utawaita wazee hao kweli?
Did mwenyewe huyo bado kijana kabisa.Ni kweli mkuu..
Kama unakula vizuri, unafanya mazoezi, no stress na pesa ipo...Hata miaka 55 bado upo vizuri unless uamue kuzeeka mwenyewe.
Jamaa miaka 54.
Watu wana sikitika na kulia sana hasa akina mama, alikuwa bado kijana mdogo kabisa.Ongezea ni KIJANA MDOGO kabisa yaan hata akifa ghafla watu wanalia Sana na utasikia kauli amekufa akiwa BADO MDOGO
Wanalia SanaWatu wanasikitika na kulia sana hasa akina mama, alikuwa bado kijana mdogo kabisa.