Mtu Mweusi [Mwafrika] sio uzao wa Adam na Hawa

Mtu Mweusi [Mwafrika] sio uzao wa Adam na Hawa

Binadamu tumeumbwa na Mungu!!na ni sisi weusi.Watu wametengenezwa maabara Ndio hawa akina Elizabeth na Putin.
 
Unataka kubadili mtazamo wa jamii nzima kwa kutumia mawazo ya hio jamii? Ungetoa mawazo Yako mbadala ya asili au chanzo Cha binadamu na mtu mweusi pia akiwa involved!!
 
Awali ya yote ningependa kuwasalimu wanajamii wenzangu habari zenu, natumai ni wazima wa afya.

Nina maswali kadhaa ambayo ningependa kupata majawabu kutoka kwenu wana Jamiiforums yatakayo kuwa msaada na faida kwa jamii nzima na kubadili taswira na mtazamo wa jamii nzima juu ya asili ya mtu mweusi [ mwafrika ] na uwepo wake hapa duniani.

Maswali:
1. Je mtu mweusi[ Mwaafrika ] ni uzao wa Adamu na Hawa ?

2. Je Adamu na Hawa walikuwapo pekee duniani ? na Afrika kulikuwa hakuna watu?

3. Je uzao wa mtu mweusi ni kutoka ndani ya Afrika au nje ya Afrika ? Na Kama ni kutoka nje ni kutoka kwa nani watu wa bara la Ulaya [wazungu], watu wa Mashariki ya Kati, watu wa Asia ya mbali au watu wa bara la Amerika?

4. Je inawezekana mtu mweupe kwa mweupe [ mfano mzungu kwa mzungu ] kuzaa mtu mweusi?

N.b: Matusi na lugha za kuudhi hazitakiwi , pia unaweza kuongeza maswali yako kama kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo.

Binadamu wa kwanza anasadikika kutokea oldvai gorge
 
Awali ya yote ningependa kuwasalimu wanajamii wenzangu habari zenu, natumai ni wazima wa afya.

Nina maswali kadhaa ambayo ningependa kupata majawabu kutoka kwenu wana Jamiiforums yatakayo kuwa msaada na faida kwa jamii nzima na kubadili taswira na mtazamo wa jamii nzima juu ya asili ya mtu mweusi [ mwafrika ] na uwepo wake hapa duniani.

Maswali:
1. Je mtu mweusi[ Mwaafrika ] ni uzao wa Adamu na Hawa ?

2. Je Adamu na Hawa walikuwapo pekee duniani ? na Afrika kulikuwa hakuna watu?

3. Je uzao wa mtu mweusi ni kutoka ndani ya Afrika au nje ya Afrika ? Na Kama ni kutoka nje ni kutoka kwa nani watu wa bara la Ulaya [wazungu], watu wa Mashariki ya Kati, watu wa Asia ya mbali au watu wa bara la Amerika?

4. Je inawezekana mtu mweupe kwa mweupe [ mfano mzungu kwa mzungu ] kuzaa mtu mweusi?

N.b: Matusi na lugha za kuudhi hazitakiwi , pia unaweza kuongeza maswali yako kama kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo.
Ninchoamini kutoka ktk maandishi na uelewa wangu n hivi...

1. Adam na Hawa alikuwa n black race.

2. Adam and Eve walikuwa n watu wengi. Biblia kwa sehemu kubwa imetumia mafumbo

3. Uzao wa mtu mweusi ulianzia Africa, na hata uzao wa hao wazungu, watu wa Asia, Americans, etc ulitokea huku afrika, race hubadilika kidogo kidogo kutokana na mabadiliko ya kimazingira.

4. Mtu mweupe na mweupe wakihamia ukanda wa Ikweta for the first time hawawezi kuzaa black race, na hata wajukuu hawawezi kuzaa black.... Ila baada ya miaka maelfu nyingi huko mbele hiyo race itakuwa ikibadirika taratibu taratibu, na hatimaye kuwa ktk black race
 
Fuvu la binadamu wa kwanza kuishi duniani, linapatokana Olduvai Gorge. Hii ni kwa mujibu wa historia. Hivyo binadam wa kwanza labda alikuwa mtu mweusi tena Mtanzania.
Pia.
Hilo n fuvu lililogunduliwa, yawezeka pia kukawa na fuvu mahala fulani ambalo halijagunduliwa.
 
Mimi nilipoanza kujiuliza swali hili nilianza na wangapi walikua watoto wa Adam na Hawa? Je! Jina Hawa lilikua na maana ipi? Ukiangalia mukhtadha wa maswali yako lazima utarejea kwenye vitabu vya kiimani kulingana na dini uliyopo maana kote vitabu vimesimulia kila kitu ni wewe kusoma na kuelewa

Mfano: ukisoma kitabu cha Mwanzo ambacho kimeandikwa na Musa utapata kuona Adam na Hawa baada ya kutenda dhambi ya kufanya kinyume na maelekezo ya Mwenyezi-Mungu na kufukuzwa kwenye Bustani ya Eden walifanikiwa kupata watoto wengi na kati ya hao wanaosimuliwa kwa kuanzia ni wawili ambao ni Abeli na Kaini, baada ya Kaini kumuua nduguye basi Adam na Hawa walipata mtoto mwingine aitwaye Sethi na Sethi ndie aliendeleza uzao wa Adam pamoja na kwamba Adam na Hawa walikua na watoto wengine na ukisoma Bible inaeleza kwamba Adam alikua na watoto wapatao 80 wakati wa uhai wake, Sethi mwana wa Adamu ndie aliendeleza ukoo wa Adam mpaka kufika kwa Nuhu ambae alimpendeza Mungu na Nuhu akaendeleza mpaka kwa Abrahamu....

Maelezo ni mengi ukitaka kujua vizuri anzia kusoma kuhusu watoto wa Nuhu ambao ni Ham, Shem na Yafeti sasa soma kuhusu watoto wa Ham hapo utamkuta Kushi (Ethiopia) na Puti (Libya), hayo maeneo yameandikwa kwenye Bible jaribu kusoma utapata mwanga, kisha fuatilia kwa undani maana ya Cush (dark-skinned person of African descent) utapata mwanga zaidi
Asante
 
Kwa mujibu wa ninavyoelewa

1.Ndio! Mtu mweusi ni uzao wa Adamu na hawa (Adamu na hawa ndio baba na mama wa wanadamu wote tuna itwa Bin-adam ikimaanisha kua tumetoka kwa Adamu)

2.Wakati dunia inaumbwa walikuepo adamu na hawa pekee bustanini edeni (inasemekana ni huko mashariki ya kati). Watu walitawanyika na kufika Afrika ni baada ya machafuko ya Lugha katika mnara wa babeli.

3.Uzao wa umtu mweusi ni kutoka nje ya Africa! Inasemekana katika wale watoto watatu wa mzee Noah kupitia kwa yule mdogo ndipo waafrika tulitokea kwake, yule mkubwa alizaa wazungu na yule wa kati alizaa wa asia.

4.Biologically haiwezekani!! May be ifanyike twisting ya DNA (Sina hakika na hili)

I stand to be corrected!!!
Tukumbuke pia ktk geography Kuna kitu kinaitwa PANGAEA, ukiangalia vizuri Ile Pangaea utaona n Kama African Continent ndio ika katikati, then kutokana na Mambo ya Continental drifts hiyo bustani ya Eden labda ilihama, ama bado iko Africa.

Lakini pia tunaposema bustani sidhani Kama ni kijibustani kidogo, yawezeka kuwa n eneo kubwa zaidi kuliko biblia ilivozumgumza
 
Awali ya yote ningependa kuwasalimu wanajamii wenzangu habari zenu, natumai ni wazima wa afya.

Nina maswali kadhaa ambayo ningependa kupata majawabu kutoka kwenu wana Jamiiforums yatakayo kuwa msaada na faida kwa jamii nzima na kubadili taswira na mtazamo wa jamii nzima juu ya asili ya mtu mweusi [ mwafrika ] na uwepo wake hapa duniani.

Maswali:
1. Je mtu mweusi[ Mwaafrika ] ni uzao wa Adamu na Hawa ?

2. Je Adamu na Hawa walikuwapo pekee duniani ? na Afrika kulikuwa hakuna watu?

3. Je uzao wa mtu mweusi ni kutoka ndani ya Afrika au nje ya Afrika ? Na Kama ni kutoka nje ni kutoka kwa nani watu wa bara la Ulaya [wazungu], watu wa Mashariki ya Kati, watu wa Asia ya mbali au watu wa bara la Amerika?

4. Je inawezekana mtu mweupe kwa mweupe [ mfano mzungu kwa mzungu ] kuzaa mtu mweusi?

N.b: Matusi na lugha za kuudhi hazitakiwi , pia unaweza kuongeza maswali yako kama kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo.
Soma table of nations majibu yote yapo humo. Naona swali linajirudia kila mara, tatizo na uvivu wa kusoma maandiko halafu inaibua hoja tukusomee
 
Lakini pia ukiangalia Bible haikutaja udongo ulikuwa wa rangi gani Mana tunaona udongo una rangi tofauti tofauti.

Kikubwa imeachwa kuwa tata ili tujue wote Ni wa baba na mama mmoja tukitokea kwa baba mmoja.
Hata kwenye Bible Ni maongezi machache unaweza kuona yakiongelea rangi, Mfano Mfalme sule akisifia weusi wa ngozi yake kwenye Moja ya vitabu vyake.
 
Table of nations ndio nini ?
Picsart_22-09-18_13-30-25-397.jpg
 
Kama mtu mweusi sio uzao wa Adamu kwa nini anakufa?
Mimi Naona habari za dini zimekuja baada ya binadamu kuwa na mambo mengi ambayo yako juu ya upeo wake na hivyo kushindwa kupata majibu sahihi ya mambo hayo, hasa Jambo kuu lililomfanya binadamu aanze kutafuta habari za Mungu ni kifo.

Tangu mwanzo binadamu amekuwa akijiuliza je binadamu anapokufa huenda wapi , na je Nini hutoka ili tujue kuwa mtu huyu kafa , haya mambo ndo yalipelekea binadamu kudevelop concepts za uwepo wa Mungu hii Ni baada ya kuona hakuna majibu sahihi ya hoja hizo.

Kwa taarifa yako tu yakupasa ujue kuwa ikiwa Leo hii akatokea mtu
/ dawa ya kufufua wafu hakuna mtu ataenda Tena kanisani Wala kukuhadithia habari za Mungu.
 
Back
Top Bottom