Kila mtu ana ratiba zake mkuu kama umempa mtu kazi kasema inaingiliana na ratiba zake basi mpe iyo kazi mtu mwingine.Sikukuu ni watoto, mtu mzima siku yoyote ukiwa vizuri unaenjoi tu. Kama kuswali ushaswali, kilichobakia ni kula, na kula ni hadi mchana. Unakataa kufanya kazi et “ mi leo nakula sikukuu”. Mambo ya ajabu sana. Mi napendaga kazi kazi.
Watu wa pwani na Tanga mbadilike, wengine tunaenda kwa ratiba.
Naunga mkono hoja.Sikukuu ni watoto, mtu mzima siku yoyote ukiwa vizuri unaenjoi tu. Kama kuswali ushaswali, kilichobakia ni kula, na kula ni hadi mchana. Unakataa kufanya kazi et “ mi leo nakula sikukuu”. Mambo ya ajabu sana. Mi napendaga kazi kazi.
Watu wa pwani na Tanga mbadilike, wengine tunaenda kwa ratiba.
Waafrika wengi wana ujinga huo sanaSikukuu ni watoto, mtu mzima siku yoyote ukiwa vizuri unaenjoi tu. Kama kuswali ushaswali, kilichobakia ni kula, na kula ni hadi mchana. Unakataa kufanya kazi et “ mi leo nakula sikukuu”. Mambo ya ajabu sana. Mi napendaga kazi kazi.
Watu wa pwani na Tanga mbadilike, wengine tunaenda kwa ratiba.
Sasa hiyo pesa unatafuta ya nini if hupumziki na kuienjoy si unakuwa tu kama mtumwa wa pesa. Raha ya pesa uitafute na uifaidi. Kuwa na pesa nyingi lakini hata huitumii huna muda wa kuienjoy kwa kweli mimi sijawahi kuelewa ina maana gani sasa.Naunga mkono hoja.
Me cjawah kupumzika sikuuu yoyote na hata sina weekend. Kila siku n kutafuta pesa
Si waafrika wazungu ndio kabisa. Kama ni sikukuu unatuma email unapokea tu automatic response aliyoiweka kuwa yuko nje ya ofisi hadi sikukuu itakapokwisha. Na hujibiwi hadi siku ya kazi.Waafrika wengi wana ujinga huo sana
Sawa tajiri/fogo/boss mkurugenzi kitambi meneja.Naunga mkono hoja.
Me cjawah kupumzika sikuuu yoyote na hata sina weekend. Kila siku n kutafuta pesa
Sikukuu siku ya kuenjoy na familia, wewe sio punda muda wote kazi tu shehe. Spend more time with your familySikukuu ni watoto, mtu mzima siku yoyote ukiwa vizuri unaenjoi tu. Kama kuswali ushaswali, kilichobakia ni kula, na kula ni hadi mchana. Unakataa kufanya kazi et “ mi leo nakula sikukuu”. Mambo ya ajabu sana. Mi napendaga kazi kazi.
Watu wa pwani na Tanga mbadilike, wengine tunaenda kwa ratiba.
InshallaaaaaahSawa tajiri/fogo/boss mkurugenzi kitambi meneja.
Atheist heshimu Imani za watu,maisha yaende.Sikukuu yenyewe ya kipuuzi hii nani anaitambua ache kwenda kufanya kazi? Ni kazi tu na hatujui kama kuna sikukuu