Mtu mzima ambae bado una “ungaunga” unaweza kataa kazi kwa kigezo unakula sikukuu?

Mtu mzima ambae bado una “ungaunga” unaweza kataa kazi kwa kigezo unakula sikukuu?

Sikukuu ni watoto, mtu mzima siku yoyote ukiwa vizuri unaenjoi tu. Kama kuswali ushaswali, kilichobakia ni kula, na kula ni hadi mchana. Unakataa kufanya kazi et “ mi leo nakula sikukuu”. Mambo ya ajabu sana. Mi napendaga kazi kazi.

Watu wa pwani na Tanga mbadilike, wengine tunaenda kwa ratiba.
Kazi na dawa
 
Sikukuu ni watoto, mtu mzima siku yoyote ukiwa vizuri unaenjoi tu. Kama kuswali ushaswali, kilichobakia ni kula, na kula ni hadi mchana. Unakataa kufanya kazi et “ mi leo nakula sikukuu”. Mambo ya ajabu sana. Mi napendaga kazi kazi.

Watu wa pwani na Tanga mbadilike, wengine tunaenda kwa ratiba.
Acha watu wale sikukuu muda wa kuwa hawafanyi haramu.

Hii dunia usijifanye una usongo na uchu nayo sana. Utakuwa disappointed kisha unakuja kuiacha hivi hivi unaona.

Kila watu wana Idd yao, na sisi Waislam hii ndio Idd yetu.
 
"WAKATI UNATAFUTA MAISHA USISAHAU KUISHI "
Familia ni muhimu kuliko unavyofikiria kuna umri utafika itakuwa tuna hela nyingi sana ila hatuna afya kila weekend tunaenda kumuona dokta kwenye maisha huwa tunakumbuka moment. Kumbuka WEWE NA AFYA YAKO SASA HIVI MNAITAFUTA PESA ILA KUNA SIKU WEWE NA PESA MTAITAFUTA AFYA.

Just enjoy every moment of your life because life goes on without your presence.
 
Sikukuu ni watoto, mtu mzima siku yoyote ukiwa vizuri unaenjoi tu. Kama kuswali ushaswali, kilichobakia ni kula, na kula ni hadi mchana. Unakataa kufanya kazi et “ mi leo nakula sikukuu”. Mambo ya ajabu sana. Mi napendaga kazi kazi.

Watu wa pwani na Tanga mbadilike, wengine tunaenda kwa ratiba.
Na wewe uwe muelewa ukiambiwa na mtu mzima anakula sikukuu elewa neno nakula sikukuu...hamaanishi pilau na soda..
 
Kuna founder mmoja wa ki-ji-kampuni kidogo sana hapo dar alikuwa anaua siku nzima operation ofisin haziend kisa kumsindikiza mkewe kwao bagamoyo na gari ya ofisi, anaenda kusalimia ukweni eti 🤠
 
Sikukuu ni watoto, mtu mzima siku yoyote ukiwa vizuri unaenjoi tu. Kama kuswali ushaswali, kilichobakia ni kula, na kula ni hadi mchana. Unakataa kufanya kazi et “ mi leo nakula sikukuu”. Mambo ya ajabu sana. Mi napendaga kazi kazi.

Watu wa pwani na Tanga mbadilike, wengine tunaenda kwa ratiba.
Sasa si mngelalamikiana huko huko inatosha, ndiyo uje kuisumbua JF namna hiyo?
 
Sikukuu ni watoto, mtu mzima siku yoyote ukiwa vizuri unaenjoi tu. Kama kuswali ushaswali, kilichobakia ni kula, na kula ni hadi mchana. Unakataa kufanya kazi et “ mi leo nakula sikukuu”. Mambo ya ajabu sana. Mi napendaga kazi kazi.

Watu wa pwani na Tanga mbadilike, wengine tunaenda kwa ratiba.
😂😂Mtupumzishe jmn
 
Sikukuu yenyewe ya kipuuzi hii nani anaitambua ache kwenda kufanya kazi? Ni kazi tu na hatujui kama kuna sikukuu
Kama mimi nilvyo makini huwa nawakata mshahara wagalatia siku za sijui kirisimasi mara pasaka na juma kuu
Siingii hasara za kipuuzi, hapo hata kuomba hela ya sikukuu zao wanaogopa na makato juu, kama hawataki huwa nawapa live, na kibarua kiishie hapa.
 
Back
Top Bottom