Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naona we ni member mpya au umekuja id mpya. Hapa ukija na ujinga utanyukwa tu mpaka akili zikukae sawaAtheist heshimu Imani za watu,maisha yaende.
unafanya hivyo na kwa wavaa kobazi wenzako au unawaonea tu wagalatia?Kama mimi nilvyo makini huwa nawakata mshahara wagalatia siku za sijui kirisimasi mara pasaka na juma kuu
Siingii hasara za kipuuzi, hapo hata kuomba hela ya sikukuu zao wanaogopa na makato juu, kama hawataki huwa nawapa live, na kibarua kiishie hapa.
huo ni umasikini mkubwa sana, eti siku za sikukuu ndio unakula vizuri! Unatakiwa ule vizuri kila sikuIla wakuu, ukijiona hadi ifike sikukuu ndio unakula vzr, unakaa na familia n.k aisee ww bado sana
nikuulize swali we mfia dini, mbona mmewachia wenzenu katika dini waturuki wanunue mifugo mingi na kuichinja huku wanapiga picha na kurekodi shughuli za uchinjaji. Nyie waswahili wa mjimwema na mkwajuni ongeza na kichangani mbona hamnunui mifugo mchinje kwa wingi kama waturuki, tutaamini vipi kama hiyo ni sadka safi kama si kafara kutumbumbaza sisi watanzania ili akili zetu zisiwaze vema kwenye rasimali zetu zinazotamaniwa na mataifa ya nje hususani ulaya, amerika na asia?Wewe kafiri hadi sikukuu inakuuma?
utawakata mishahara hao mburula wasiojiweza akilini mwao wakikutegemea wewe uwaajiri. Kwa watu kama sisi tusioishi kwa kutegemea ujira toka kwa waajiri hutaweza kukata mshahara tutakuburuza mahamani na kazi zako zitadoda mpaka ushike adabu na utaongeza dau. Nikuingizie hela halafu unikate naondoka kijeuri na ujuzi wangu naupeleka kwa mwingine mwenye kuuhitaji, hapo ndio utajua kuwa knowledge is power than moneyKama mimi nilvyo makini huwa nawakata mshahara wagalatia siku za sijui kirisimasi mara pasaka na juma kuu
Siingii hasara za kipuuzi, hapo hata kuomba hela ya sikukuu zao wanaogopa na makato juu, kama hawataki huwa nawapa live, na kibarua kiishie hapa.
Watu hawalingani vipato Kuna mtu Kila siku anakula vizuri na Kuna mwingine mpaka azikusanye ifike sikukuu ndo ale na kuvaa vizuri na Kuna wengine wanapitisha mwaka mzima bilabilahuo ni umasikini mkubwa sana, eti siku za sikukuu ndio unakula vizuri! Unatakiwa ule vizuri kila siku
iddi al atha, sikukuu ya kuchinjaKwani kuna sikukuu gani tena?
duh! Hapa umetema madini ghali sana we member mgeni, thanksWatanzania wengi wajinga wandhani ku work hard ndo ku-earn more.halafu hatukuubwa kumtafuta pesa ,pesa ipo ku-support life .
Indeed the goal of life is not money but happiness.
Stop nonsense now
Wanaitambua wanaoisherehekea. Wewe ni nani mpaka uite sikukuu za wenzako upuuzi?Sikukuu yenyewe ya kipuuzi hii nani anaitambua aache kwenda kufanya kazi? Ni kazi tu na hatujui kama kuna sikukuu
mbona povu jingi? Acha uvivu fanya kazi kwa bidii uje ufurahie maisha ndio sikukuu yenyeweWanaitambua wanaoisherehekea. Wewe ni nani mpaka uite sikukuu za wenzako upuuzi?
Tukiseme wewe ndio mpuuzi utafurahi?
Kafanye kazi hujakatazwa, waache watu wafanye wanavyotaka.
Mpuuzi wewe. Marabuku.