Mtu mzima ambae bado una “ungaunga” unaweza kataa kazi kwa kigezo unakula sikukuu?

Mtu mzima ambae bado una “ungaunga” unaweza kataa kazi kwa kigezo unakula sikukuu?

Mungu wako hatambui ila Mungu wa waislam anatambua.

Ibada za waislam hazikuhusu...ishi maisha yako..
kuna wapuuzi wenzako wa imani yako wamefia huko kwa joto halafu bado unanishupalia mimi. Kafie huko mwendawazimu we
 
Kuna member anajiita snowden E. Snowden gani mpuuzi namna hiyo? Analidhalisha jina la snowden wa ukweli mpuuzi huyo mfia dini ya makobazi
 
nikuulize swali we mfia dini, mbona mmewachia wenzenu katika dini waturuki wanunue mifugo mingi na kuichinja huku wanapiga picha na kurekodi shughuli za uchinjaji. Nyie waswahili wa mjimwema na mkwajuni ongeza na kichangani mbona hamnunui mifugo mchinje kwa wingi kama waturuki, tutaamini vipi kama hiyo ni sadka safi kama si kafara kutumbumbaza sisi watanzania ili akili zetu zisiwaze vema kwenye rasimali zetu zinazotamaniwa na mataifa ya nje hususani ulaya, amerika na asia?
Wewe kafiri unaongea nini? Dunia nzima kuna watu wanachinja ikiwemo huku kwetu. Sijui unaongea nini. Watu wanachinja kote na wanakula na kugawa nyama. Umechanganyikiwa nini au unanena kwa lugha? Waturuki peke yao ndio wanachinja? Hivi wakati mwengine huihoji hata akili yako mwenyewe na kuituhumu, kwamba hapa hapana akili yangu inawaza upumbavu haiwezi kuwa kweli ngoja niulize?


Ngoja niendelee kusherehekea 'Iyd.
 
kuna wapuuzi wenzako wa imani yako wamefia huko kwa joto halafu bado unanishupalia mimi. Kafie huko mwendawazimu we
Sifa zote njema zinamstahiki Allah
aliyewapa mwisho mwema kabisa.

Kufa kwa chuki zako wewe kafiri. KUFA
 
kuna wapuuzi wenzako wa imani yako wamefia huko kwa joto halafu bado unanishupalia mimi. Kafie huko mwendawazimu we
Kweli wewe ni hasara...
Joto limeuwa watu zaidi ya 50 huko India, Joto ni kali sana huko Saud Arabia na misikiti ya Maka na madina umejengwa katika design ya kupunguza joto kwa sababu inajulikana huo ni ukanda wa joto kali hasa mchana.

Unafikiri sisi hatujui kama Saud Arabia joto ni kali sana, na visa vya joto kuuwa watu havijaanza leo duniani kote.

Achana na Imani za watu wewe ZOMBIE.
 
Kuna mtu nimempa kazi jpl,anasema No,Leo jpl nitafanya kesho au tafuta mtu mwingine,hapo Hana ajira,Hana Nini,na anawatoto 3 kakaanao TU home,Tena nyumba ya kupanga
 
Kwamba tulizaliwa ili tufanye kazi tu hakuna zaidi ya hayo ???mkuu maisha sio kazi wala pesa .
 
Back
Top Bottom