God iz bae
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 527
- 1,086
Duh! Kwa akili kama hii basi tuna safari ndefu sana kama nchi. Mtu anapigaje kura kama hayupo registered??? Hivyo vutambulisho vingine vnatumika endapo mtu kapoteza ID ya kura. Naamin hakuna mtu mwenye akili timamu anayeshabikia ccmUmesahau walio-vote sio waliokuwa registrd tu, kuna tuliotumia passport, nida id, leseni ya udereva n.k wote hatukuwa registered,
Ndio kinachonshangaza. CNN, BBC, Washington post na vyombo vote vya taarifa ya habari vya nchi za nje, haswa za ng'ambo zote zimeweka kinaga ubaga kama uchaguzi haukuwa wa haki na democrasia ya watanzania imefikia kikomoni kwa haya yaliotokea... lakini baadhi ha hao wana Tanzania wanashangilia kwa hili.... kwa kweli safari ni ndefu kwa watu kama hawaHakika ukiona mtu anasimama na kijivuna juu ya matokeo haya yafaa ajichunguzee, maana kinachofuata hapa ni kilio tu na wakutusemea akuna maana 89% ya hao viongozi watakuwa hawajachaguliwa na wananchi hii ni hatari sana aisee!
Usinipangie bwana kwani lazima tuyaishi mawazo yako we naniKituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.
Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wametekwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.
Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.
Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.
Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.
Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda, matokeo ambayo yanakwenda kuunda bunge la chama kimoja.
Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi huu yanayokwenda kuligawa taifa.
Nyie ma. Genius nendeni mkaishi mars😂😂Duh! Kwa akili kama hii basi tuna safari ndefu sana kama nchi. Mtu anapigaje kura kama hayupo registered??? Hivyo vutambulisho vingine vnatumika endapo mtu kapoteza ID ya kura. Naamin hakuna mtu mwenye akili timamu anayeshabikia ccm
Eti oyesss.kama unaliwer vile.Twende state house na Watz tumesema Magu, Samia tano tena.
Oooh Yesssssss.
Hapo umesema ukweli Dada.Ndio imeshakuwa tiyari ushangilie usishangilie ushindi kwa CCM , nadhani muda wa matusi umeisha sasa
sent from HUAWEI
Mtaani watu hawana furaha kabisa ni manung,uniko kila kona Leo.Watanzania wazalendo, ni furaha iliyoje. Kwa mawakala wa mabeberu ni kilio kikuu.
Kuwa na aibu ni kuwa binaadamu. Uaibu huo wautowe wapi mashetani haya?CCM wamechukua majimbo yote unguja na pemba.... yaani had Pemba walivokuwa hawana aibu 😀
Usitie hofu mkuu hata kama mi natangulia kabla,huyu MTU hatoboi miaka sita ijayo.mark my word.CCM wanataka kufuta vyama vingi Nchi isalie na chama kimoja tu ipitishwe katiba awe Rais wa milele kama China
Hauko salama jinsi unadhani.Tutalia na kusaga meno wote.Mtasema yote leo
Kwani sisi sio wananchi.Tuliwaambia Chadema imemaliza mvuto. Wananchi hawaitaki hamkusikia.
Pole kwa sote kwani huu ni mwanzo tu wa kuzamaPole
Uzuri wa hili jamboUsiombee hilo na wala usitamani litokee jambo kama hilo hata wewe hutokaa kwa amani.
Kero yangu hapa ni moja tu, watu kuita "eti kura feki" wakati wakati huwezi kuzitofautisha na original?Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.
Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wametekwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.
Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.
Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.
Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.
Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda, matokeo ambayo yanakwenda kuunda bunge la chama kimoja.
Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi huu yanayokwenda kuligawa taifa.
Makasiriko peleka huko,so tusifurahi juu mmekosa kuchaguliwa.Eti oyesss.kama unaliwer vile.
Ni kweli tumeona CCM iliwekeza.Why Not,
Wananchi ndio wameamua;
Ushahidi upo wazi, tofauti Kati ya kura kwa wagombea ni kubwa Sana.
CCM iliwekeza kwa muda mrefu na haya ndio matunda yake,
Huwezi toa mgombea Ulaya akaja kuchukua nchi kirahisi,
Watu walikua na hasira Sana na mgombea Urais wa Chadema walikuwa wanasubiri tu siku ya kura.
Tumeona matokeo yake.