Uchaguzi 2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

Uchaguzi 2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

Akili yako si ipo kwa polepole itasumbuka vipi? Wewe si unaishi kwa kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu kaburu Mkoloni mweusi huna unachokijua zaidi ya kuwaza mambo yasiyo na tija kwa Taifa, NECCCM Tumeccm na Polisiccm ni vyombo binafsi vya CCM hakuna Haki hapo




Sijawahi kutana na Zero Brain yenye kuongea utumbo kama wewe...
https://jamii.app/JFUserGuide you ....🚶🚶🚶
 
Hakuna bunge tena kuna ushetani unaenda kula posho Dodoma
Litakuwa ni bunge la ajabu kuwahi kutokea tangu uhuru,hakutakuwa na wabunge shupavu wa kupinga hoja za serikali zinazoenda sivyo,ajenda za serikali zitapita kiulaini.Hao wabunge wanaenda kula bata tu na kucheka na nyani huku mahindi yakiliwa shambani
 
Hakuna bunge tena kuna ushetani unaenda kula posho Dodoma
Litakuwa ni bunge la ajabu kuwahi kutokea tangu uhuru,hakutakuwa na wabunge shupavu wa kupinga hoja za serikali zinazoenda sivyo,ajenda za serikali zitapita kiulaini.Hao wabunge wanaenda kula bata tu na kucheka na nyani huku mahindi yakiliwa shambani
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wametekwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda, matokeo ambayo yanakwenda kuunda bunge la chama kimoja.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi huu yanayokwenda kuligawa taifa.
[emoji3][emoji3]
 
Acha tatarika ya mahindi ya bisi mleta mada, weka ushahidi wa unachokisema!
TUMIA AKILI MAANA HATA WAKATI NYERERE AKIWA HAI CCM HAIKUSHINDA KWA ASILIMIA 100. KUWA NA WABUNGE WA CCM TU BUNGENI MNATENGENEZA DEFEAT 2025. HIVI KWENYE KAMPENI 2025 MTASEMA NANI KAZOROTESHA MAENDELEO?
 
CHADEMA mlijiaminisha kupita kiasiiiiiiiii

Sasa Bwana Lissu ajiandae kwenda kutumikia adhabu yake kwa AMSTERDAM
najua bwana ake atadai anaenda mahakaman 😂😂😂
 
TUMIA AKILI MAANA HATA WAKATI NYERERE AKIWA HAI CCM HAIKUSHINDA KWA ASILIMIA 100. KUWA NA WABUNGE WA CCM TU BUNGENI MNATENGENEZA DEFEAT 2025. HIVI KWENYE KAMPENI 2025 MTASEMA NANI KAZOROTESHA MAENDELEO?
Kama ndiyo, hivyo inabidi mjumuike na watani zenu CCM kusherekea ushindi wa CCM 2020 na nyinyi wa '2025'( in advance)! Ha hahaaa!
 
Mtalia sana,hizi kelele mlipiga sana humu kwenye majukwaa...kwenye kura hata hatujawaona.
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wametekwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda, matokeo ambayo yanakwenda kuunda bunge la chama kimoja.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi huu yanayokwenda kuligawa taifa.
CCM kujisifu kwa ushindi Kama huu ni ushamba na ujinga wa kiwango Cha rami
 
Nikikuuliza hapo nini kimekiukwa kwenye uchaguzi ambacho kipo kisheria sidhani kama utakuwa na majibu yenye evidence zaidi tu ya vijistori vya vijiweni eti ooooh...wameiba kura.....ooooh...wamezima mitandao ya kijamiaa....oooh...sijui nn ushenzi mtupu.

we jamaa una akili timamu ? umesoma shule ukaelika ? au upo kwenye kundi kubwa la illiterate ambalo ndio wanahitaji ukombozi wa fikra zaidi ?
 
Back
Top Bottom