Uchaguzi 2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

Uchaguzi 2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

Namba hazijawai kubagua tutazisoma sote!tunaoshangilia na wanaoumia.
 
Tukae tusubiri wabakaji wa democracy watuletee maendeleo[emoji847]
 
Hukuwi lolote subiri mtaone CCM ilipo wadumbukiza mtatafuna meno mpo ndani ya 18
Ni mtazamo wako mzembe wa kifikra
Sisi wengine maisha yetu hayategemei ccm wala chadema wala bibi ake na nani sijui
Hiyo mnaitegemea nyie wazembe ambao mmeshindwa kufanya kazi mkajipatia kipato mnabaki kuilalamikia serikali.
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wametekwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda, matokeo ambayo yanakwenda kuunda bunge la chama kimoja.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi huu yanayokwenda kuligawa taifa.
Wenyewe wanashangilia na kukata maunu.
Na tukisema awali wafute vyama ili wasiumize mioyo na miili ya watu.
 
Mimi ni mpinzani, ila haya mengine tumeyataka wenyewe.
Ulipigwa vitani , unaingia tena vitani na adui yuleyule huku hujabadili jambo. CCM walishajiwekea mazingira haramu ya ushindi
Utashindana na aliyeprint ballot papers. Wangetoa access kwa wote basi hlf tuone.
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wametekwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda, matokeo ambayo yanakwenda kuunda bunge la chama kimoja.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi huu yanayokwenda kuligawa taifa.
hata katika hayo uliyoyaongea kuna watu watakuja kusema ni uongo wakati ni kitu kinachoonekana kabisa
 
Ni mtazamo wako mzembe wa kifikra
Sisi wengine maisha yetu hayategemei ccm wala chadema wala bibi ake na nani sijui
Hiyo mnaitegemea nyie wazembe ambao mmeshindwa kufanya kazi mkajipatia kipato mnabaki kuilalamikia serikali.
😂😂😂 kwa vyovyote vile una maisha ya taabu kupita kiasi na ma tatizo uliyokuwa nayo ndio yame lemaza ubongo wako!
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wametekwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda, matokeo ambayo yanakwenda kuunda bunge la chama kimoja.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi huu yanayokwenda kuligawa taifa.
Kiufupi hakuna watetezi wa wananchi.Wote watakuwa watu wa ndio mkuu.Ule wako upinge
 
😂😂😂 kwa vyovyote vile una maisha ya taabu kupita kiasi na ma tatizo uliyokuwa nayo ndio yame lemaza ubongo wako!
Endelea kumsubiri mbeligi ashinde akupe uhuru na maendeleo unayotaka maana hakuna unachowaza cha maana zaidi tu ya ushabiki wa kisiasa
 
Polepole alisema tutawafundisha adabu, safi sana JPM mbele kwa mbele Hapa kazi Tu! Chama cha ukoo ambacho kimekuwa kinafadhiliwa na wapiga kura bila kunawa mikono. nileteeni ile Tindo nimalizie kuibomoa hii takataka.
 
Mchakato wa Katiba ndo bye bye. Na Tume huru ndiyo basi tena. Watetezi wa wananchi wametolewa nje, wamebaki watetezi wa serikali[emoji31][emoji31][emoji31]
Wamebaki bendera fuata upepo.Bunge lisilo na mvuto wa kulifuatilia, wakizima tv kwa sasa ni sawa tu.
 
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza we kaa kwa kutulia, hii nchi ina wenyewe na haiwezi kuwa vile wewe unataka iwe .

Yan hawa Mathug ndio unasema wenyewe ? mzee are you serious ? me sijasema kwamba kuna namna nataka iwe, hii nchi ina katiba na ina sheria, whatever is done should be governed by laws, sasa wanachofanya hawa mathug ndio unataka iwe sheria ? Kuna muda huwa siwaelew watu wa humu kwa namna maelezo yao yanatoka anaweza akawa anatembea na mkewe barabaran alafu akatokea jamaa kamtandika dole la kati jamaa ukamwangalia ukamwacha sababu ni mwenyewe, come on man, be genuine hata kwa siku moja.
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wametekwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda, matokeo ambayo yanakwenda kuunda bunge la chama kimoja.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi huu yanayokwenda kuligawa taifa.
😂😂 Ajax 13 vvv Venlo 0
 
Wembe ni ule ule ..... .... Ding ......Dong!
 
Back
Top Bottom