Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Kiakiliccm wanadhani watakuwa katika ardhi tofauti.Usiombee hilo na wala usitamani litokee jambo kama hilo hata wewe hutokaa kwa amani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiakiliccm wanadhani watakuwa katika ardhi tofauti.Usiombee hilo na wala usitamani litokee jambo kama hilo hata wewe hutokaa kwa amani.
mi nimeyapenda magufuli ameifanya ccm ipendwe zaidi kwa miaka 190 ijayoKituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.
Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wametekwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.
Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.
Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.
Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.
Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda, matokeo ambayo yanakwenda kuunda bunge la chama kimoja.
Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi huu yanayokwenda kuligawa taifa.
usitutishe in maalim seif voiceHard days are coming
Nikikuuliza hapo nini kimekiukwa kwenye uchaguzi ambacho kipo kisheria sidhani kama utakuwa na majibu yenye evidence zaidi tu ya vijistori vya vijiweni eti ooooh...wameiba kura.....ooooh...wamezima mitandao ya kijamiaa....oooh...sijui nn ushenzi mtupu.Yan hawa Mathug ndio unasema wenyewe ? mzee are you serious ? me sijasema kwamba kuna namna nataka iwe, hii nchi ina katiba na ina sheria, whatever is done should be governed by laws, sasa wanachofanya hawa mathug ndio unataka iwe sheria ? Kuna muda huwa siwaelew watu wa humu kwa namna maelezo yao yanatoka anaweza akawa anatembea na mkewe barabaran alafu akatokea jamaa kamtandika dole la kati jamaa ukamwangalia ukamwacha sababu ni mwenyewe, come on man, be genuine hata kwa siku moja.
Huu siyo uchaguzi ni maigizo ya CCM kupata kibali cha kubakia sanduku la kuraKama kuna mtu atasema huu ulikua uchaguzi ! Haihitaji kujua ukichaa wake uko hatua ipi
Wenye Akili huko CCM mnategemea wizi wa kura kubaka uchaguzi siyo?Mwisho wa Lissu wako, wenye akili tulijua anakuja kuwaua chadema. Huwezi kumshinda rais aliye madarakani kwa kumtukana. Nilijaribu kuwahusia nyie vibaraka wa Chadema hamkunisikiliza.
No good days are coming , believe me!Hard days are coming
Hama kama hupendeezwiMimi ni Mwana CCM bt kuna mambo yanafanywa daaaaa
Wewe ni mbumbumbu juha zuzu kilaza kaa na upumbavu wako huko unaposhinda ukivuta Bangi, kajadili uchakachuaji na wizi wa kura siyo lazima kukaa popote Duniani kote wanajua upumbavu wenu acha kujitoa fahamuNikikuuliza hapo nini kimekiukwa kwenye uchaguzi ambacho kipo kisheria sidhani kama utakuwa na majibu yenye evidence zaidi tu ya vijistori vya vijiweni eti ooooh...wameiba kura.....ooooh...wamezima mitandao ya kijamiaa....oooh...sijui nn ushenzi mtupu.
CCM ipi hiyo? CCM ya mrundi? au ya Bashiru raia wa Rwanda? Tambua kuwa CCM inaenda kutumia pesa nyingi kunyamazisha watu kuwabambikia kesi kuwapiga risasi hakutakuwa na maendeleo kwani watatumia mda mwingi kudidimiza demokrasiaSAFI SANA CCM ITAKUWA INALETA MAENDELEO TANZANIA ITAKUWA KAMA SOUTH AFRICA
Bunge haramu la kishetani linaenda kutunga Sheria za hovyo na Nchi itaendeshwa kidikteta mnoWamebaki bendera fuata upepo.Bunge lisilo na mvuto wa kulifuatilia, wakizima tv kwa sasa ni sawa tu.
Na kubaka bila kingaCCM wamelawiti uchaguzi.Huu siyo wizi wa kura!
By the way wewe hukuwa msimamizi wa uchaguzi kwa hiyo huwezi kunisumbua akili.Wewe ni mbumbumbu juha zuzu kilaza kaa na upumbavu wako huko unaposhinda ukivuta Bangi, kajadili uchakachuaji na wizi wa kura siyo lazima kukaa popote Duniani kote wanajua upumbavu wenu acha kujitoa fahamu
Acha uongo. Toadie ushahidi wa madai yako. Tunawaelewa kwa uongo. Hatutaki madai ya jumlajumla. Kubalini kuwa mmeshindwaKituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.
Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wametekwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.
Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.
Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.
Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.
Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda, matokeo ambayo yanakwenda kuunda bunge la chama kimoja.
Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi huu yanayokwenda kuligawa taifa.
Wewe ni mnufaika wa kuwapora wafanyabiashara mali zao lazima ufurahie ufedhuri wakemi nimeyapenda magufuli ameifanya ccm ipendwe zaidi kwa miaka 190 ijayo
Akili yako si ipo kwa polepole itasumbuka vipi? Wewe si unaishi kwa kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu kaburu Mkoloni mweusi huna unachokijua zaidi ya kuwaza mambo yasiyo na tija kwa Taifa, NECCCM Tumeccm na Polisiccm ni vyombo binafsi vya CCM hakuna Haki hapoBy the way wewe hukuwa msimamizi wa uchaguzi kwa hiyo huwezi kunisumbua akili...
CCM badala ya kuiba kura wamelawiti uchaguzi!Na kubaka bila kinga