Uchaguzi 2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

Uchaguzi 2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wametekwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda, matokeo ambayo yanakwenda kuunda bunge la chama kimoja.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi huu yanayokwenda kuligawa taifa.
mi nimeyapenda magufuli ameifanya ccm ipendwe zaidi kwa miaka 190 ijayo
 
Yan hawa Mathug ndio unasema wenyewe ? mzee are you serious ? me sijasema kwamba kuna namna nataka iwe, hii nchi ina katiba na ina sheria, whatever is done should be governed by laws, sasa wanachofanya hawa mathug ndio unataka iwe sheria ? Kuna muda huwa siwaelew watu wa humu kwa namna maelezo yao yanatoka anaweza akawa anatembea na mkewe barabaran alafu akatokea jamaa kamtandika dole la kati jamaa ukamwangalia ukamwacha sababu ni mwenyewe, come on man, be genuine hata kwa siku moja.
Nikikuuliza hapo nini kimekiukwa kwenye uchaguzi ambacho kipo kisheria sidhani kama utakuwa na majibu yenye evidence zaidi tu ya vijistori vya vijiweni eti ooooh...wameiba kura.....ooooh...wamezima mitandao ya kijamiaa....oooh...sijui nn ushenzi mtupu.
 
Mwisho wa Lissu wako, wenye akili tulijua anakuja kuwaua chadema. Huwezi kumshinda rais aliye madarakani kwa kumtukana. Nilijaribu kuwahusia nyie vibaraka wa Chadema hamkunisikiliza.
Wenye Akili huko CCM mnategemea wizi wa kura kubaka uchaguzi siyo?
 
Nikikuuliza hapo nini kimekiukwa kwenye uchaguzi ambacho kipo kisheria sidhani kama utakuwa na majibu yenye evidence zaidi tu ya vijistori vya vijiweni eti ooooh...wameiba kura.....ooooh...wamezima mitandao ya kijamiaa....oooh...sijui nn ushenzi mtupu.
Wewe ni mbumbumbu juha zuzu kilaza kaa na upumbavu wako huko unaposhinda ukivuta Bangi, kajadili uchakachuaji na wizi wa kura siyo lazima kukaa popote Duniani kote wanajua upumbavu wenu acha kujitoa fahamu
 
SAFI SANA CCM ITAKUWA INALETA MAENDELEO TANZANIA ITAKUWA KAMA SOUTH AFRICA
CCM ipi hiyo? CCM ya mrundi? au ya Bashiru raia wa Rwanda? Tambua kuwa CCM inaenda kutumia pesa nyingi kunyamazisha watu kuwabambikia kesi kuwapiga risasi hakutakuwa na maendeleo kwani watatumia mda mwingi kudidimiza demokrasia
 
Wamebaki bendera fuata upepo.Bunge lisilo na mvuto wa kulifuatilia, wakizima tv kwa sasa ni sawa tu.
Bunge haramu la kishetani linaenda kutunga Sheria za hovyo na Nchi itaendeshwa kidikteta mno
 
Wewe ni mbumbumbu juha zuzu kilaza kaa na upumbavu wako huko unaposhinda ukivuta Bangi, kajadili uchakachuaji na wizi wa kura siyo lazima kukaa popote Duniani kote wanajua upumbavu wenu acha kujitoa fahamu
By the way wewe hukuwa msimamizi wa uchaguzi kwa hiyo huwezi kunisumbua akili.

NEC ndiyo chombo official kinachotoa taarifa za uchaguzi kwa watanzania wote.

So sina muda wa kuutilia manani upumbavu wako maana wewe siyo NEC.
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wametekwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda, matokeo ambayo yanakwenda kuunda bunge la chama kimoja.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi huu yanayokwenda kuligawa taifa.
Acha uongo. Toadie ushahidi wa madai yako. Tunawaelewa kwa uongo. Hatutaki madai ya jumlajumla. Kubalini kuwa mmeshindwa
 
Jana 28/10/2020 saa 12 jioni niliandika hivi [emoji22]
Ndio kinatokea
IMG_20201029_080340_956.JPG
 
By the way wewe hukuwa msimamizi wa uchaguzi kwa hiyo huwezi kunisumbua akili...
Akili yako si ipo kwa polepole itasumbuka vipi? Wewe si unaishi kwa kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu kaburu Mkoloni mweusi huna unachokijua zaidi ya kuwaza mambo yasiyo na tija kwa Taifa, NECCCM Tumeccm na Polisiccm ni vyombo binafsi vya CCM hakuna Haki hapo
 
Back
Top Bottom