The king mswati
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 787
- 825
😂😂😂Mchakato wa Katiba ndo bye bye. Na Tume huru ndiyo basi tena. Watetezi wa wananchi wametolewa nje, wamebaki watetezi wa serikali[emoji31][emoji31][emoji31]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Mchakato wa Katiba ndo bye bye. Na Tume huru ndiyo basi tena. Watetezi wa wananchi wametolewa nje, wamebaki watetezi wa serikali[emoji31][emoji31][emoji31]
Wewe mjinga hujumu lolote muda utawafundishaMwisho wa Lissu wako, wenye akili tulijua anakuja kuwaua chadema. Huwezi kumshinda rais aliye madarakani kwa kumtukana. Nilijaribu kuwahusia nyie vibaraka wa Chadema hamkunisikiliza.
Akikujib nitagMleta mada si Rais wenu wa mtandaoni aliwambia kuwa atawaingiza barabarani, una lialia nini sasa?
Labda tu nikuulize baada ya Kamanda mkuu kutangazwa kuwa kashindwa mpaka Sasa hivi Makamanda wake mmeshaingia barabara ngapi?
Nitarudi siku jiwe likishawanyoosha vizuri mmejifunza umuhimu wa kua na mawazo mbadala. Kwa sasa hivi siwezi kaa na vilaza. Jiwe lisipoondoka sirudi kabisa, mfe wenyewe shenziNenda, tena usirudi kabisa
🤣🤣🤣 nilijua tu mkianza kugaragazwa hamtakosa vya kusingizia 😂😂😂Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.
Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wamekamatwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.
Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.
Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.
Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.
Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda.
Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi kama huu unaokwenda kuligawa taifa.
Siku zote masikini na wajinga hawajitambuwi
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza we kaa kwa kutulia, hii nchi ina wenyewe na haiwezi kuwa vile wewe unataka iwe .Hapo ndio huwa sielew kabisa, yan hatujuagi namna ya kujikwamua lakin kwenye kushangilia ujinga na upuuz watu wapo mstari wa mbele aisee hii nchii hii..
Ujinga walio ufanya umevunja record ya ujinga!!Hapo ndio huwa sielew kabisa, yan hatujuagi namna ya kujikwamua lakin kwenye kushangilia ujinga na upuuz watu wapo mstari wa mbele aisee hii nchii hii..
Dunia ina wenyewe piaJambo usilolijua ni kama usiku wa giza we kaa kwa kutulia, hii nchi ina wenyewe na haiwezi kuwa vile wewe unataka iwe .
Kama unajua hilo basi jua kuwa Classes lazima tu ziwepo ili Dunia Iende mbele isibaki dormantDunia ina wenyewe pia
Tuliwaambia Chadema imemaliza mvuto. Wananchi hawaitaki hamkusikia.Ndio mwisho wako wa kufikiri ulipo fika wajinga ninyi mnafakiri watu wote ni wajinga kama ninyi mkimbie na mpira alafu tushangilie
Hukuwi lolote subiri mtaone CCM ilipo wadumbukiza mtatafuna meno mpo ndani ya 18Kama unajua hilo basi jua kuwa Classes lazima tu ziwepo ili Dunia Iende mbele isibaki dormant
Nyie ni vipofu hamjuwi muendako subiri mtafikaTuliwaambia Chadema imemaliza mvuto. Wananchi hawaitaki hamkusikia.
Lakini mlisema mnaenda the Hague
Hahahaha [emoji28][emoji38] Poleni upinzani