Uchaguzi 2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

Uchaguzi 2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

Mnatengeneza sinema halaf mnashindwa kuimalizia then mnakuja kupiga mayowe jf,,tulieni matokeo yazid wanyong'oneza
 
Mwisho wa Lissu wako, wenye akili tulijua anakuja kuwaua chadema. Huwezi kumshinda rais aliye madarakani kwa kumtukana. Nilijaribu kuwahusia nyie vibaraka wa Chadema hamkunisikiliza.
Wewe mjinga hujumu lolote muda utawafundisha
 
Mleta mada si Rais wenu wa mtandaoni aliwambia kuwa atawaingiza barabarani, una lialia nini sasa?

Labda tu nikuulize baada ya Kamanda mkuu kutangazwa kuwa kashindwa mpaka Sasa hivi Makamanda wake mmeshaingia barabara ngapi?
Akikujib nitag
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wamekamatwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi kama huu unaokwenda kuligawa taifa.
🤣🤣🤣 nilijua tu mkianza kugaragazwa hamtakosa vya kusingizia 😂😂😂
Hapo ni wabunge tu mnagaragazwa hivo Je hako kabelgiji kenu kanachotetea ubepari katagaragazwa na Magufuli vibaya mno.
Mbowe harudi Bungeni, Sugu Harudi, saivi namsubiri lema Arusha nione kama atarudi Bungeni .
 
Hapo ndio huwa sielew kabisa, yan hatujuagi namna ya kujikwamua lakin kwenye kushangilia ujinga na upuuz watu wapo mstari wa mbele aisee hii nchii hii..
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza we kaa kwa kutulia, hii nchi ina wenyewe na haiwezi kuwa vile wewe unataka iwe .
 
Hapo ndio huwa sielew kabisa, yan hatujuagi namna ya kujikwamua lakin kwenye kushangilia ujinga na upuuz watu wapo mstari wa mbele aisee hii nchii hii..
Ujinga walio ufanya umevunja record ya ujinga!!
Tutegemeye mwanga!
Kenge adi atokee damu masikioni ndio huwa anasikia!
Pengine haya matokeo yaka Wafundisha hawa wajinga na wanao shangilia ujinga wa kiwango cha SG
 
SAFI SANA CCM ITAKUWA INALETA MAENDELEO TANZANIA ITAKUWA KAMA SOUTH AFRICA
 
Back
Top Bottom