Uchaguzi 2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

Uchaguzi 2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wamekamatwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi kama huu unaokwenda kuligawa taifa.
Usinitafutie ban wewe. Nilikueleza vipi? Moshi mjini Mmeng'oka pia. Wapi Sugu wako?
 
Ccm wametia aibu Sana huu UCHAFUZI.
Tangu vyama vingi vuanze mbinu zao NI zile zile.
HADI KWA MAGUFULI IIII?.
Mtu ambae wanaamini anakubalika lakini bado wanaiba kuraa?
CCM wanataka kufuta vyama vingi Nchi isalie na chama kimoja tu ipitishwe katiba awe Rais wa milele kama China
 
Tatizo ni hao askari ambao wanaish maisha yakikolo vibaya mno na bado wanatetea, haya wamebaki CCM pekeyao bungeni tutaona mausenge yenu huko bungeni tutakuwa tunacheka tu, utakuta wanaoshangilia wengi ndugu zao vijijin hata viatu hawana ila sababu wao wapo mjini wanaona sawa tu, me huwa nawashangaa sana watu wana level za ubinafsi za hali ya juu
Siku zote masikini na wajinga hawajitambuwi
 
Upinzani hawakuwa serious Sana Kama alivyo Lissu kwenye kudai katiba mpya na Tume huru.Lissu alivyopigwa Risasi Upinzani ukaishia pale,hata hizi kura chache ambazo Upinzani wamepata Ni baada ya Lissu kurejea
Hmm hii siyo sahihi bali ni bora huu ubabe uluotumika kuyahalalisha haya basi Ungetumika kuzuia tusiingie kwenye uchaguzi na tungekuwa tumeokoa fedha nyingi sana zilizopotezwa kwenye igizo hili... Na mwisho tungetumia hizo fedha kuendelea na ujenzi wa taifa letu walah...
 
Usinitafutie ban wewe. Nilikueleza vipi? Moshi mjini Mmeng'oka pia. Wapi Sugu wako?
We mjinga kweli nadhani unaongoza kwa ujinga unatisha watu wenye akili zao wenyewe ngese kweli mtu mjinga siku zote hatumii akili hutumia vitisho
 
Unataka upinzani Tanzania ufanye nini ili kuzuia huo udanganyifu wa ccm na NEC?.
Ikiwa mahakama ipo chini ya ccm.jwtz ,polisi,magereza wote wapo CCM.
Ebu SHAURI upinzani wafanye nini?.
Wapi waende kudai haki zao?
Wizi ambao ni wa style ileile upinzani unaoulalamikia na hawana mikakati yoyote kuizuia.
 
We mjinga kweli nadhani unaongoza kwa ujinga unatisha watu wenye akili zao wenyewe ngese kweli mtu mjinga siku zote hatumii akili hutumia vitisho
Aitaki kujadiliana na mpuuzi wewe. Ukikua utajua
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wamekamatwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi kama huu unaokwenda kuligawa taifa.
Tunafanya pate leo kama hushangilii ni wewe
 
Huna hujuwalo zaidi ya kuendeshwa na mfumo wa wizi
Mwisho wa Lissu wako, wenye akili tulijua anakuja kuwaua chadema. Huwezi kumshinda rais aliye madarakani kwa kumtukana. Nilijaribu kuwahusia nyie vibaraka wa Chadema hamkunisikiliza.
 
Back
Top Bottom