Uchaguzi 2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

Uchaguzi 2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

Waliolinda kura zao wameshauliwa na ccm huko Pemba.
Wengine wameshaogopa.
Watu 10 kuuliwa unafikiri ni mchezo?.
kwani si mlisema mtalinda kura na mmejipanga na kujiapiza kabisa kuwa safari hii hakuna wakuwaibia?? sasa haya malalamiko yanatoka wapi? CCM wamewazidi mbinu au wamekuja na mbinu mpya??
 
nia yenu mnataka watu wafe amani itoke.
Tunajua tangu mwezi wa 8 mwaka huu polisi walikuwa wanafanya mazoezi ya ziada kwa ajili ya kuja kupiga watu kwenye uchaguzi huu.
Swali la msingi Kama hamtaki upinzani Tanzania uchaguzi mnafanya wa nini?
Sasa nawewe hebu kawaulize Viongozi wako kuwa Kama walijua uchaguzi hautakuwa wa huru na haki kwanini walishiriki uchaguzi?

Kwani isingewezekana kususia Kama walivyosusia kwenye serikali za mitaa?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Tuliwambia toka 2015 piganieni tume huru, nyie mkaishia kujadili kingereza cha Magu.,

Yani toka 2015 mlichofanikiwa ni kujadili kingereza cha Magu tu.
Kama unajua tume siyo huru unashangilia kitu gani sasa.
 
Waliolinda kura zao wameshauliwa na ccm huko Pemba.
Wengine wameshaogopa.
Watu 10 kuuliwa unafikiri ni mchezo?.
Braza Pemba hakuna mwaka wa uchaguzi ambao hakujawahi kuwa na fujo na vifo, labda ulete stori nyingine na labda uniambie kwahiyo mlikuwa mnatishia nyau kuwa mtalinda kura??
 
Huu NI uchaguzi au UCHAFUZI?.
sema wameshiriki UCHAFUZI SIO UCHAGUZI.rekebisha kwanza hapo
Sasa nawewe hebu kawaulize Viongozi wako kuwa Kama walijua uchaguzi hautakuwa wa huru na haki kwanini walishiriki uchaguzi?

Kwani isingewezekana kususia Kama walivyosusia kwenye serikali za mitaa?
 
Usiombee hilo na wala usitamani litokee jambo kama hilo hata wewe hutokaa kwa amani.
Tanzania siyo Palestina Wala sudani kwahiyo nikutoe tu wasiwasi kuwa "expect nothing to happen in Tanzania after this generale election 2020"
 
Nimekwambia waliolinda kura zao wameshauliwa huko Zanzibar.
SISI WENGINE TUMEISHAINGIWA NA HOFU NA UOGA.
Mmeshinda nyie..
kwani nani ANALALAMIKA?.
sisi tunasema tu ule ukweli kuwa kwenye uchafuzi huu kuna kura feki zimekamatwa.
sasa akili kichwani kwako.
Braza Pemba hakuna mwaka wa uchaguzi ambao hakujawahi kuwa na fujo na vifo, labda ulete stori nyingine na labda uniambie kwahiyo mlikuwa mnatishia nyau kuwa mtalinda kura??
 
Mchakato wa Katiba ndo bye bye. Na Tume huru ndiyo basi tena. Watetezi wa wananchi wametolewa nje, wamebaki watetezi wa serikali[emoji31][emoji31][emoji31]
Upinzani hawakuwa serious Sana Kama alivyo Lissu kwenye kudai katiba mpya na Tume huru.Lissu alivyopigwa Risasi Upinzani ukaishia pale,hata hizi kura chache ambazo Upinzani wamepata Ni baada ya Lissu kurejea
 
Kwa hyo mnafanya haya yote ili upinzani use mtawale milele?
Si mseme tu mnafuta vyama vya upinzani?
Sasa nawewe hebu kawaulize Viongozi wako kuwa Kama walijua uchaguzi hautakuwa wa huru na haki kwanini walishiriki uchaguzi?

Kwani isingewezekana kususia Kama walivyosusia kwenye serikali za mitaa?
 
Nimekwambia waliolinda kura zao wameshauliwa huko Zanzibar.
SISI WENGINE TUMEISHAINGIWA NA HOFU NA UOGA.
Mmeshinda nyie..
kwani nani ANALALAMIKA?.
sisi tunasema tu ule ukweli kuwa kwenye uchafuzi huu kuna kura feki zimekamatwa.
sasa akili kichwani kwako.
Hawakushinda uchaguzi wamepora majimbo na Urais hakuna uchaguzi umefanyika sasa
 
Watanzania sisi Ni majinga Sana sijui kwanini hayajui faida ya upinzani bungeni yaan nimeshangaa hasa wafanyakaz wa serikalini yaan yote yako ccm afu maoga mno sijui hua wanafikiri wakipigia upinzani akishinda atawafukuza kazi huo woga wanatoaga wapi sijui au tatzo elimu daaah hii nchi inabidi kiundwe kikundi cha waasi ili kiitoe ccm na genge lake kwa hii tume na kura Bado sana
 
Back
Top Bottom