Uchaguzi 2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

Uchaguzi 2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

Kiufupi ili CCM ionfoke madarakani inatakiwa.
[emoji117]CCM IPASUKE VIPANDE VIPANDE
[emoji117]System iamue hapa TISS,JWTZ na TANPOL
[emoji117]WANANCHI TUAMUE

kinyume na hapo haitawezekana eti Lema,Lissu na wengine kubadili chochote hasa kwa katiba tulionayo na system ya nchi ilivyo.
Wananchi wameshaamua,shida ni hayo makundi mengine
 
Moyo wangu unasema pambana hadi kieleweke, akili yangu inasema waachie washenzi wanaotaka hili litokee niondoke nitarudi Tanzania after 5 years wakiwa wameishanyooka wajue kosa wanalolifanya. Nilikuja kupig kura tu kumrudisha matako chato, hakuna haja ya kuendelea kukaa hapa na vilaza kila kona.

Ni either tukatae uchaguzi au watu wote wajitoe waache bunge liwe 100% ccm peke yake ili watu wanyoshwe kwelikweli wajue umuhimu wa upinzani maana hadi sasa hivi wanaomtetea jiwe wanahisi upinzani kama vile wametumwa na wazungu, watanzania ni washenzi sijawahi ona
Nenda, tena usirudi kabisa
 
Fatuma karume aliwahi sema ipambaniwe tume huru ajabu hakuna aliyesikiliza.

Sasa Bungeni wanarudi wenyewe na katiba itabadilishwa.
Afadhali wasingeitisha uchaguzi, maana sijui nani wanataka kumridhisha kuwa wamefanya uchaguzi wakati fujo na vitimbi kila mahali.
 
L
leo mtazungumza lugha zote. Hivi mfano mtu wapinzani mnafanyaga muda wa kufanya kazi jimboni kweli wakati muda wote ninyi ni kupinga maendeleo. Mnawachelewesha wananchi jana wamewachinja poleni sana.
Kama ni hivyo majimbo ya ccm yangekuwa mbali sana,lakini ndio yanayoongoza kwa shida ya maji,
 
Yashapita hayo
IMG-20201029-WA0001.jpg
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wamekamatwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi kama huu unaokwenda kuligawa taifa.
Tulia dawa iingie vizuri, acha kutapatapa. Manyumbu wa Mbowe ndio mpate akili sasa.
 
Wenye akili timamu ni sisi ambao hatujawahi kupiga kura wala hatutapiga kura mpaka tunaingia kaburini, ila tunaomba amani.
 
si wanafanya mazoezi ili walinde masla ya ccm ambao ni WEZI WA KURA.
Hivi huu uchaguzi mtajisifu mmeshinda?
Miaka yote polisi wanajiandaakuelekea uchaguzi, tena 2015 walinunua kabisa na magari ya maji ya washawasha. Hakuna kigeni chochote mwaka huu walicholalamikia ambacho hakijawahi kutokea huko nyuma, ni namna Upinzani ulivojipanga kudhibiti hizo mbinu maana zipo siku zote na kila siku wanazilalamikia, sio leo wala jana hayo malalamiko ndugu.
 
Tanzania kwa sasa nafikiri wajinga ni wengi sana! Na huenda tatizo hili likaendelea kwa miongo mingi sana!

Kushangilia uhalifu ni laana
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wamekamatwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi kama huu unaokwenda kuligawa taifa.
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wamekamatwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi kama huu unaokwenda kuligawa taifa.
Mkuu Quinine, huu uchafuzi umekwishapita, tusubiri tu yatakayojiri kwa miaka mitano hii kama Mungu ataruhusu.

Haya yote uliyoandika hapa ni machozi ya samaki ndani ya maji, sina hakika kama wapinzani walichukua jukumu la kukusanya ushahidi usiotia mashaka na matukio yote haya uliyoyaorodhesha hapo juu, anagalau wananchi nao wawe na uhakika na kilichotokea.
Hakuna lolote ambalo wapinzani wangeweza kufanya ili kuyazuia yote haya bila ya wananchi wenyewe kukataa hayo yaliyofanywa.
 
Kwa kuingiza kura feki tu.
Wananchi Wana Imani na nyie.
Mna NEC ,mna polisi,mna jeshi,mna ZEC .
lakini bado na kura feki mnatumia[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Ccm mmefanya uchaguzi wa aibu Sana.
Hamna Cha kujivunia mwaka huu labda mseme mnajivunia NEC na zec yenu.
Wananchi wana imani na Ccm. Wapinzani watabaki na ofisi zao za vyama wakinywa kahawa.
 
si wanafanya mazoezi ili walinde masla ya ccm ambao ni WEZI WA KURA.
Hivi huu uchaguzi mtajisifu mmeshinda?
kwani si mlisema mtalinda kura na mmejipanga na kujiapiza kabisa kuwa safari hii hakuna wakuwaibia?? sasa haya malalamiko yanatoka wapi? CCM wamewazidi mbinu au wamekuja na mbinu mpya??
 
Kwa kuingiza kura feki tu.
Wananchi Wana Imani na nyie.
Mna NEC ,mna polisi,mna jeshi,mna ZEC .
lakini bado na kura feki mnatumia[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Ccm mmefanya uchaguzi wa aibu Sana.
Hamna Cha kujivunia mwaka huu labda mseme mnajivunia NEC na zec yenu.
Kura feki zinaingizwa vipi? Idadi ya wapiga kura lazima iendane na matokeo.
 
Back
Top Bottom