Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
CCM inatumia ruzuku kujijenga na kupata wanachama safi kama JPM. CHADEMA wanatumia ruzuku kunywa konyagi na kuvuta bangi.Ruzuku ya CCM inaliwa kwa kazi haramu za kishetani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM inatumia ruzuku kujijenga na kupata wanachama safi kama JPM. CHADEMA wanatumia ruzuku kunywa konyagi na kuvuta bangi.Ruzuku ya CCM inaliwa kwa kazi haramu za kishetani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Tuliwambia toka 2015 piganieni tume huru, nyie mkaishia kujadili kingereza cha Magu.,Mimi ni mpinzani, ila haya mengine tumeyataka wenyewe.
Ulipigwa vitani , unaingia tena vitani na adui yuleyule huku hujabadili jambo. CCM walishajiwekea mazingira haramu ya ushindi
Ushahidi uletewe hapo gheto unaposhinda ukivuta Bangi?Hizi habari zinakuja baada ya kushindwa?? Lete na ushahidi otherwise ni porojo tuuuuu
Wabunge wa upinzani walikuwa wanavuta posho alafu wanatoka nje. Unajifanya umesahau?Hakuna bunge tena kuna ushetani unaenda kula posho Dodoma
Ruzuku ya CCM inatumika kuidhoofisha kuihujumu chadema na kuua upinzani kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzaniCcm inatumia ruzuku kujijenga na kupata wanachama safi kama JPM. Chadema wanatumia ruzuku kunywa konyagi na kuvuta bangi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwani kigogo si alisema atasaidia kuwatangaza wapinzani kwa kuhack tume? Imekuwaje sasa?Hakuna baraka ridhaa ya watanzania hiyo Serikali itakuwa haramu na ya kishetani
Ama kweli CCM kazi wanaijua, inabidi kukubali matokeo tu bwashee. Kwa sasa kilichobaki ni kutafakari ni kitu gani opposition ilikosea na kujipanga upya.Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.
Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wamekamatwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.
Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.
Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.
Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.
Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi kama huu unaokwenda kuligawa taifa.
Wamebaka uchaguziCcm wameamua kukomba kila kitu.
Wewe pia hukuwa na kitambulisho cha kura?Umesahau walio-vote sio waliokuwa registrd tu, kuna tuliotumia passport, nida id, leseni ya udereva n.k wote hatukuwa registered,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mungu huyuhuyu mliemkejeli wakati wa maombi ya corona?Tutamlilia mungu kimya kimya mpaka mashetani yenu yawanyonge wenyewe
Bangi na konyagi unatumia wewe. Nawasemea watanzania wenye akili.Wananchi wa wapi unawasemea? au wananchi wa hapo unapovuta Bangi?
Swali ni kuwa kura zimekamatwa ila mbona waliokamatwa nazo hawaoneshwi kote, tunaoneshwa makaratasi tu, huu ni uongo
Sio Watanzania, sema wasimamiziTwende state house na Watanzania tumesema Magu, Samia tano tena.
Oooh Yesssssss.