Uchaguzi 2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

Uchaguzi 2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

Mimi ni mpinzani, ila haya mengine tumeyataka wenyewe.
Ulipigwa vitani , unaingia tena vitani na adui yuleyule huku hujabadili jambo. CCM walishajiwekea mazingira haramu ya ushindi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Tuliwambia toka 2015 piganieni tume huru, nyie mkaishia kujadili kingereza cha Magu.,

Yani toka 2015 mlichofanikiwa ni kujadili kingereza cha Magu tu.
 
Ccm inatumia ruzuku kujijenga na kupata wanachama safi kama JPM. Chadema wanatumia ruzuku kunywa konyagi na kuvuta bangi.
Ruzuku ya CCM inatumika kuidhoofisha kuihujumu chadema na kuua upinzani kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wamekamatwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi kama huu unaokwenda kuligawa taifa.
Ama kweli CCM kazi wanaijua, inabidi kukubali matokeo tu bwashee. Kwa sasa kilichobaki ni kutafakari ni kitu gani opposition ilikosea na kujipanga upya.
 
Natabiri kutokea mpasuko mkubwa ndani ya CCM kutokana na dhuluma walioufanyia upinzani sasa wanaenda kutafunana wenyewe kwa wenyewe
 
Moyo wangu unasema pambana hadi kieleweke, akili yangu inasema waachie washenzi wanaotaka hili litokee niondoke nitarudi Tanzania after 5 years wakiwa wameishanyooka wajue kosa wanalolifanya. Nilikuja kupig kura tu kumrudisha matako chato, hakuna haja ya kuendelea kukaa hapa na vilaza kila kona.

Ni either tukatae uchaguzi au watu wote wajitoe waache bunge liwe 100% ccm peke yake ili watu wanyoshwe kwelikweli wajue umuhimu wa upinzani maana hadi sasa hivi wanaomtetea jiwe wanahisi upinzani kama vile wametumwa na wazungu, watanzania ni washenzi sijawahi ona
 
Swali ni kuwa kura zimekamatwa ila mbona waliokamatwa nazo hawaoneshwi kote, tunaoneshwa makaratasi tu, huu ni uongo
84371603-38FC-48FA-81C0-0B188F04699C.jpeg
 
Kiufupi ili CCM iondoke madarakani inatakiwa.
[emoji117]CCM IPASUKE VIPANDE VIPANDE
[emoji117]System iamue hapa TISS, JWTZ na TANPOL
[emoji117]WANANCHI TUAMUE

Kinyume na hapo haitawezekana eti Lema, Lissu na wengine kubadili chochote hasa kwa katiba tulionayo na system ya nchi ilivyo.
 
Back
Top Bottom