Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,268
na mimi nakwambia hakuna kitu kipya ambacho mwaka huu mnalalamikia ambacho hakijawahi tokea, mlikuwa na mkakati gani??kama mnahofu hata ya kupigania haki yenu basi hamuwezi ongoza hii nchi.Nimekwambia waliolinda kura zao wameshauliwa huko Zanzibar.
SISI WENGINE TUMEISHAINGIWA NA HOFU NA UOGA.
Mmeshinda nyie..
kwani nani ANALALAMIKA?.
sisi tunasema tu ule ukweli kuwa kwenye uchafuzi huu kuna kura feki zimekamatwa.
sasa akili kichwani kwako.