Mtu ukiwa na pesa, somesha mwanao international schools, achana na hizi exam based schools or education

Mtu ukiwa na pesa, somesha mwanao international schools, achana na hizi exam based schools or education

Hivi inamaana hatuwezi kubadilisha mitaala ya hizi shule zetu ziwe kama za kimataifa. Najiuliza tu. Kwani hatuwezi au ni nini shida
Sio kitu cha mchezo, ni zoezi linalohitaji mabadiliko ya almost kila kitu, seikali inakwepa hiyo gharama.
 
Unajifariji tu. Scholarship unapata lakini haina maana kuwa ubora wako uko kama wa graduate wa IST. Walimu wanafundisha hapo chuo kikuu lakini hawawezi kujieleza kwa Kiingereza na wamepata maskolaship za UK, US, Australia.. wamefanya PhD nk huko.
Pia angesema baada ya hiyo PhD amefanya nini cha maana
 
Umekuwa mbongo toka lini??
Geza Ulole njoo umuone mtu wako

Umesoma na kumuelewa huyo au umezama kwenye mahaba yako kwangu na kunichanganya na Mbongo mwezio. Ameeleza ukweli, huwa mna matatizo sana nimefanya kazi na nyie watu, kwanza kwenye vikao vilivyohudhuriwa na watu wa mataifa mbali mbali ndio huwa mnaganda hadi basi, tena vkao vya kwenu huko huko, yaani kikao kinafanyika Dar, humo kuna Watz, Wakenya, Waganda, Wanigeria, Wahindi n.k. ila Watz kimyaaaaaa!!.....Utakuja kumskia wakati wa mapumziko mnapokunywa kahawa.

Lakini pia nimewahi kufanya kazi na Watz waliosomea aidha Kenya, au international schools za Bongo au Ulaya, hawa usipime, huwa moto full balaa, jamaa anajieleza tena kwa kujiamini, anatirirka ngeli na kutoa points balaa belua, anamiliki kikao chote......msipokua makini haitokuja siku mabango kama haya hapa yaishe...

ajira.jpg
 
Mbona mimi nimesoma Kayumba na nimeenda kufanya kazi nje kwenye hizo nchi ulizozitaja.
Na hata sasa hivi kazi zangu ninazoomba ni za nje na nacompete na watu wa mataifa mbalimbali na hapo utasemaje?uoga wenu ndio umaskini wenu,ni confidence tu ndio inawaangusha watu hakuna kingine
Danganya watoto wadogo wenzio. Sisi watu wazima tunajua jinsi lugha, hata kama ni Kisukuma, inavyoweza kusaidia. Lugha ni muhimu sana kwenye kupata kazi international ambazo zinalipa vizuri.

Sisi tuliobahatika kutembea nje, unakutana na Waganda, Wakenya, Wanigeria... Watanzania ni shida kuwapata nje. Lugha inatuangusha. Mtanzania akifika Dar anaona amemaliza dunia, anatafuta kiwanja Chamazi, anajenga, ananunua Rav4, anaanza kula ugali hapo huku siku zikienda. Ukoo mzima unamwona tajiri. Na yeye akipigiwa simu za kuombwa 5,000/= kutoka kijijini anajiona amefika kileleni.

Kuna maisha zaidi ya Dar na kuna kazi zinalipa vizuri huko nje lakini lazima lugha za kigeni zipande hasa Kiingereza.
 
Nimesoma Kayumba pia. Hivi ninavyoandika niko nje ya Tanzania. Mimi mmoja kuwa nje, haina maana kuwa ni rahisi kwa Watanzania wote waliosoma Kayumba kuja kufanya kazi nje ya Tanzania. I am NOT the typical Tanzanian. Kama haujajifunza Kisukuma, confidence haiwezi kukufundisha Kisukuma. Hauwezi kusimama mbele ya watu eti kwa vile una confidence, ukafanya interview katika Kifaransa wakati haujawahi kujifunza kifaransa. Huo ni uongo na ubishi usiokuwa na maana. Kuomba kazi kila mtu anaweza kuomba, issue ni kupata. Kwa hiyo kuomba kwako siyo ushahidi wa kitu chochote.
Mbona mimi nimesoma Kayumba na nimeenda kufanya kazi nje kwenye hizo nchi ulizozitaja.
Na hata sasa hivi kazi zangu ninazoomba ni za nje na nacompete na watu wa mataifa mbalimbali na hapo utasemaje?uoga wenu ndio umaskini wenu,ni confidence tu ndio inawaangusha watu hakuna kingine
 
Wanaisaidia dunia, ndio maana wanaitwa international. Wako UN, WB, WHO, UNICEF... Sijui kama unaweza kuwapata Halmashauri ya Wilaya ya Bahi hawa.
Hawa mbona wana branches zao kila mahali duniani na pia wanaajiri watu wa aina zote.
Ni kichwa chako tu pamoja na connections za wajanja wa mjini unaweza kupata kazi kwa hawa jamaa acheni kudanganyana.
 
Wanaisaidia dunia, ndio maana wanaitwa international. Wako UN, WB, WHO, UNICEF... Sijui kama unaweza kuwapata Halmashauri ya Wilaya ya Bahi hawa.
Wanatakiwa kufanya kwenye national level ili kuinua taifa, that's my opinion. Kama tuna wahitimu katika level ya kimataifa lakini maisha yetu bado duni, kuna faida gani hapo?
 
Interview ninazofanyaga huwa natumia kiingereza hiki hiki cha saint kayumba na napasua.
Hawajawahi kuniuliza eti nilisoma IST au la wanachoconsider ni competence yangu tu.
Au wewe ulishawahi kuulizwa huko ulipo kwamba hii lugha unayozungumza umejifunzia wapi?
Nimesoma Kayumba pia. Hivi ninavyoandika niko nje ya Tanzania. Mimi mmoja kuwa nje, haina maana kuwa ni rahisi kwa Watanzania wote waliosoma Kayumba kuja kufanya kazi nje ya Tanzania. I am NOT the typical Tanzanian. Kama haujajifunza Kisukuma, confidence haiwezi kukufundisha Kisukuma. Hauwezi kusimama mbele ya watu eti kwa vile una confidence, ukafanya interview katika Kifaransa wakati haujawahi kujifunza kifaransa. Huo ni uongo na ubishi usiokuwa na maana.
 
Tupe asilimia. TID anawakilisha % ngapi ya watoto waliopita international school? Mimi sina pesa tu ya kupeleka huko wanangu. Ningekuwa nazo ningepeleka huko.

mkuu hata hao watu wenye kipato si kwamba wanapeleka watoto huko sababu ya ubora wa elimu,au wana malengo ya juu sana na watoto wao.laaa

sababu ni kwamba wanaona kayumba hazilingani na hadhi walizonazo.kwanza hao watoto hawako kwenye utegemezi wa ajira baada ya kuhitimu.huwezi mlipia mtoto ada ya milioni 45 kwa mwaka,eti aje aajiriwe kazi za milioni mbili kwa mwezi.

kwahiyo mkuu,tubadili hata namna ya kufikiri tu hata hapa tulipo,kuna watu elimu sio nyenzo ya ukombozi wa maisha yao tena,ila ni sehemu tu ya maisha.
 
Ulilo-quote lilikuwa jibu kwa swali la mchangiaji. Kasome tena swali na jibu, utaelewa. Hapa umedandia treni kwa mbele.

Lakini hata hivyo kama wana branch duniani kote, kwa nini utegemee kijana aliyemaliza IST afanye kazi UNICEF Tanzania tu? Aneweza kuwa UNICEF Kenya, WHO Nigeria... Kwa hiyo kuuliza kuwa wamelifanyia nini taifa is irrelevant. Hawa wanatayarishwa kutumikia dunia, siyo taifa.
Hawa mbona wana branches zao kila mahali duniani na pia wanaajiri watu wa aina zote.
Ni kichwa chako tu pamoja na connections za wajanja wa mjini unaweza kupata kazi kwa hawa jamaa acheni kudanganyana.
 
Ni kweli mkuu maisha sio kukariri.
Ndio maana kuna swali niliuliza mwanzoni je kuna watu wale wanaomiliki mabus na magorofa kariakoo walisoma International schools?hakuna aliyenijibu
mkuu hata hao watu wenye kipato si kwamba wanapeleka watoto huko sababu ya ubora wa elimu,au wana malengo ya juu sana na watoto wao.laaa

sababu ni kwamba wanaona kayumba hazilingani na hadhi walizonazo.kwanza hao watoto hawako kwenye utegemezi wa ajira baada ya kuhitimu.huwezi mlipia mtoto ada ya milioni 45 kwa mwaka,eti aje aajiriwe kazi za milioni mbili kwa mwezi.

kwahiyo mkuu,tubadili hata namna ya kufikiri tu hata hapa tulipo,kuna watu elimu sio nyenzo ya ukombozi wa maisha yao tena,ila ni sehemu tu ya maisha.
 
Nakubaliana nawe kwa kiasi. Na hili ni jibu kwa yule anayesema eti hao wa international school wamelifanyia nini taifa.
mkuu hata hao watu wenye kipato si kwamba wanapeleka watoto huko sababu ya ubora wa elimu,au wana malengo ya juu sana na watoto wao.laaa

sababu ni kwamba wanaona kayumba hazilingani na hadhi walizonazo.kwanza hao watoto hawako kwenye utegemezi wa ajira baada ya kuhitimu.huwezi mlipia mtoto ada ya milioni 45 kwa mwaka,eti aje aajiriwe kazi za milioni mbili kwa mwezi.

kwahiyo mkuu,tubadili hata namna ya kufikiri tu hata hapa tulipo,kuna watu elimu sio nyenzo ya ukombozi wa maisha yao tena,ila ni sehemu tu ya maisha.
 
Arguments zao zinaonyesha wazi kuwa umesoma Kayumba. Na bila shaka wewe ni mwana-CCM. Hakuna mtu mwenye record ya elimu ya watu wanaomiliki maghorofa Kariakoo hapa. Nadhani hata serikali haina. Kama unazo tupe basi.

Kama unaona maghorofa ndicho unachohitaji maishani, tafuta basi. Kila mtu ana kitu chake anachotafuta. Maghorofa haiwezi kuwa target ya watu wote waliosoma international schools. Hata kama wana ambition ya maghorofa siyo lazima yawe Kariakoo. Yanaweza kuwa Nairobi, New York...
Ni kweli mkuu maisha sio kukariri.
Ndio maana kuna swali niliuliza mwanzoni je kuna watu wale wanaomiliki mabus na magorofa kariakoo walisoma International schools?hakuna aliyenijibu
 
Majority ya watu wanaomiliki mabus na magorofa hawana hayo makaratasi yenu na wanaongea kiswahili tu kiingereza ni kwa mbali sana
Arguments zao zinaonyesha wazi kuwa umesoma Kayumba. Na bila shaka wewe ni mwana-CCM. Hakuna mtu mwenye record ya elimu ya watu wanaomiliki maghorofa Kariakoo hapa. Nadhani hata serikali haina. Kama unazo tupe basi.
 
Uko sahihi
"Ukiwa na hela peleka international school"

Hii statement tu inatosha kusema mfumo wa elimu nchini ni mbovu kabisa. Haiwezekani elimu ibague walio nacho na wasio nacho, pia hii ni proof kuwa sisi ni masikini, the haves and have-nots ndio inafanya tuwe na Kayumba Vs international. Otherwise tungekuwa kama Finland au Scandinavian countries na mifumo bora kabisa ya elimu ambayo hata mwafrika akienda huko anasoma beeee(bure)
 
Kayumba mkubwa wewe. Sitakujibu tena. Nimegundua wewe ni wa aina gani.

Kumbe matamanio yako ni maghorofa na mabasi! Mi nilifikiri tunaongelea elimu nzuri. Basi katafute mabasi na maghorofa. Kwa upande wangu nimeufunga mjadala na wewe.
Majority ya watu wanaomiliki mabus na magorofa hawana hayo makaratasi yenu na wanaongea kiswahili tu kiingereza ni kwa mbali sana
 
Mbona wengine tumesoma hizi hizi shule za sirikali, tena shule ya msingi kijijini kwa babu kuongea kilugha mwanzo mwisho lakini tumefanikiwa kupata scholorship kusoma Masters na PhD kwenye international universities ambazo zipo kwenye world ranking ya 10 bora, what happened?
Haongelei asilimia 1 ya watz, anaongelea wote! Wanagapi wanapata fursa kama yako?
 
Utasubiri sana mtu kuja kuinua maisha yako. Hata CCM wameshindwa kufanya hivyo miaka 60 baada ya uhuru, pamoja na kukusanya kodi miaka yote hiyo.
Wanatakiwa kufanya kwenye national level ili kuinua taifa, that's my opinion. Kama tuna wahitimu katika level ya kimataifa lakini maisha yetu bado duni, kuna faida gani hapo?
 
Back
Top Bottom