Its 13:46 right now in beijing Time , winter is here , all i can say is THERE IS NO BETTER EDUCATION in TANZANIA compared to the INTERNATIONAL ONES, why saying so 1. Mtaala na kila kitu tunachotumia kwenye kufundisha watoto wetu ni tumerithi na kufata kila kitu kutoka kwa hao wazungu tunaowaponda hapa
2. Wenzetu wana advance kila siku sisi tumebaki na elimu ya kukariri na practical hamna kabisa
3. Wenzetu wanasoma in deep and unaona elimu ni Fun , huichukii wala huboreki kusoma na unasoma kile unachokipenda na utabobea hata kwenye somo moja kwenye ngazi za chuo
Nimeandika haraka hope nimeeleweka , mimi nimebahatika kusoma nje ya nchi sehem tofaut tofaut na nashukuru Mungu pia wazaz waliweza nipatia hiyo elimu , ila ki ukweli wenzetu wako mbali sana dunian, niko china hapa mwaka sita sasa nilipotokea india kuchua degree yangu ya computer engineering , wakat niko india ndio naanza kujifunza coding za lugha tofauti chuoni mwaka wa kwanza , wenzangu washasoma coding za computer tokea wako secondary form one , wanakuwa kidato na wanasoma basics in many things , watoto wa international hawana ulimbukeni wa kila kitu , mtu anajua deep n yuko educated in general knowldge , tuponde ila tupende kusema ukweli hamna mtu asiyependa mtoto wake asome shule kama IST bwana , embu mkapatembelee muone au mtembelee hata insta page zao , sio umbea tu , watu wako advance sana dunian , hao wa international ndio wagunduz wa vitu vyote dunian , watoa misaada kwetu na ndio CEOs n DIRECTORS wa kila kitu hata bongo , huwez choma milion 70 kwa mwaka kwa secondary kwa mtoto alafu asubirie ajira 15000 za uncle MAGU , kutembea kwangu na kusoma nje kumenijengea confidence , nimekutana na watoto wa viongozi wakubwa Africa , marafiki , nimekuza upeo , technology kila kitu , anyways nimeongea sana but nimesikitika kujua kuwa WABONGO NI KUPONDA HATA BILA KUELEWA TUNAPONDA NINI ... kumbuka mimi sio limbukeni aswell WAKISHUA since DAY 1 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mswahili kutupa