Mtu ukiwa na pesa, somesha mwanao international schools, achana na hizi exam based schools or education

Mtu ukiwa na pesa, somesha mwanao international schools, achana na hizi exam based schools or education

Acha uoga.

Kati ya watoto 100 wanaosoma huko uma ni 10 tu wanaotoka na elimu stahiki..na hao ni akili zao binafsi, 90 huudhuria tu kuitika jina na kuhesabu namba.
Sio kweli.. Nimesoma shule za umma kuanzia darasa la kwanza mpaka chuo kikuu..
Vitabu vinavyotumika kwenye shule zote ni vile vile.. Abott, Nelcon nk.. Tofauti ni zile mbwembwe za Kimombo na walimu wa private kufuata ratiba.
Other wise the output is the same.
 
Sasa kinachosahaulika hapo pesa zangu ndio zitakuwa zimemsaidia sio hizo shule.
Kwani kuna wale watoto wa kiarabu wanaomiliki biashara ya mabus na magorofa pale kariakoo pia walisoma kwenye shule hizo?
Ni sawa pesa ndiyo zimesaidia kimuweka karibu na wenye pesa ili na yeye baadae aje kuwa na pesa
Mimi napinga hoja ya international School inakuza vipaji
 
Its 13:46 right now in beijing Time , winter is here , all i can say is THERE IS NO BETTER EDUCATION in TANZANIA compared to the INTERNATIONAL ONES, why saying so 1. Mtaala na kila kitu tunachotumia kwenye kufundisha watoto wetu ni tumerithi na kufata kila kitu kutoka kwa hao wazungu tunaowaponda hapa
2. Wenzetu wana advance kila siku sisi tumebaki na elimu ya kukariri na practical hamna kabisa
3. Wenzetu wanasoma in deep and unaona elimu ni Fun , huichukii wala huboreki kusoma na unasoma kile unachokipenda na utabobea hata kwenye somo moja kwenye ngazi za chuo

Nimeandika haraka hope nimeeleweka , mimi nimebahatika kusoma nje ya nchi sehem tofaut tofaut na nashukuru Mungu pia wazaz waliweza nipatia hiyo elimu , ila ki ukweli wenzetu wako mbali sana dunian, niko china hapa mwaka sita sasa nilipotokea india kuchua degree yangu ya computer engineering , wakat niko india ndio naanza kujifunza coding za lugha tofauti chuoni mwaka wa kwanza , wenzangu washasoma coding za computer tokea wako secondary form one , wanakuwa kidato na wanasoma basics in many things , watoto wa international hawana ulimbukeni wa kila kitu , mtu anajua deep n yuko educated in general knowldge , tuponde ila tupende kusema ukweli hamna mtu asiyependa mtoto wake asome shule kama IST bwana , embu mkapatembelee muone au mtembelee hata insta page zao , sio umbea tu , watu wako advance sana dunian , hao wa international ndio wagunduz wa vitu vyote dunian , watoa misaada kwetu na ndio CEOs n DIRECTORS wa kila kitu hata bongo , huwez choma milion 70 kwa mwaka kwa secondary kwa mtoto alafu asubirie ajira 15000 za uncle MAGU , kutembea kwangu na kusoma nje kumenijengea confidence , nimekutana na watoto wa viongozi wakubwa Africa , marafiki , nimekuza upeo , technology kila kitu , anyways nimeongea sana but nimesikitika kujua kuwa WABONGO NI KUPONDA HATA BILA KUELEWA TUNAPONDA NINI ... kumbuka mimi sio limbukeni aswell WAKISHUA since DAY 1 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mswahili kutupa
 
Sio kweli.. Nimesoma shule za umma kuanzia darasa la kwanza mpaka chuo kikuu..
Vitabu vinavyotumika kwenye shule zote ni vile vile.. Abott, Nelcon nk.. Tofauti ni zile mbwembwe za Kimombo na walimu wa private kufuata ratiba.
Other wise the output is the same.
You Fall in those 10. You were lucky.
 
Its 13:46 right now in beijing Time , winter is here , all i can say is THERE IS NO BETTER EDUCATION in TANZANIA compared to the INTERNATIONAL ONES, why saying so 1. Mtaala na kila kitu tunachotumia kwenye kufundisha watoto wetu ni tumerithi na kufata kila kitu kutoka kwa hao wazungu tunaowaponda hapa
2. Wenzetu wana advance kila siku sisi tumebaki na elimu ya kukariri na practical hamna kabisa
3. Wenzetu wanasoma in deep and unaona elimu ni Fun , huichukii wala huboreki kusoma na unasoma kile unachokipenda na utabobea hata kwenye somo moja kwenye ngazi za chuo

Nimeandika haraka hope nimeeleweka , mimi nimebahatika kusoma nje ya nchi sehem tofaut tofaut na nashukuru Mungu pia wazaz waliweza nipatia hiyo elimu , ila ki ukweli wenzetu wako mbali sana dunian, niko china hapa mwaka sita sasa nilipotokea india kuchua degree yangu ya computer engineering , wakat niko india ndio naanza kujifunza coding za lugha tofauti chuoni mwaka wa kwanza , wenzangu washasoma coding za computer tokea wako secondary form one , wanakuwa kidato na wanasoma basics in many things , watoto wa international hawana ulimbukeni wa kila kitu , mtu anajua deep n yuko educated in general knowldge , tuponde ila tupende kusema ukweli hamna mtu asiyependa mtoto wake asome shule kama IST bwana , embu mkapatembelee muone au mtembelee hata insta page zao , sio umbea tu , watu wako advance sana dunian , hao wa international ndio wagunduz wa vitu vyote dunian , watoa misaada kwetu na ndio CEOs n DIRECTORS wa kila kitu hata bongo , huwez choma milion 70 kwa mwaka kwa secondary kwa mtoto alafu asubirie ajira 15000 za uncle MAGU , kutembea kwangu na kusoma nje kumenijengea confidence , nimekutana na watoto wa viongozi wakubwa Africa , marafiki , nimekuza upeo , technology kila kitu , anyways nimeongea sana but nimesikitika kujua kuwa WABONGO NI KUPONDA HATA BILA KUELEWA TUNAPONDA NINI ... kumbuka mimi sio limbukeni aswell WAKISHUA since DAY 1 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mswahili kutupa
Nilianza kukuamini unalo sema ni kweli lakini kuna mahali umeanza ku 'blow your own trumpet'........sio vizuri mtu alie elimika kuanza kujisifia utajiri wenu
 
Mfumo wa elimu wa tanzania ni mbovu .ukowa na hela peleka international school
 
uzuri wa International schools, A-levels zao mtoto anachagua anachotaka mfano masomo yanakuwa matatu

mfano, Information Technology Art, and Modern Foreign Languages pia French, Spanish au German pia kuna masomo ya art kama English language na Literature in English pia History ipo .....

Hapo tukumbuke mtoto anaingia A_level ya IS akiwa na age 16 and above na 40 ni E, 50 ni D, 60 C the likes kule juu 80 ni A

Pia watoto wote wa international school na wazazi wao wanatarget International universities UK, US versities na the likes....

Mtoto akifanya CIA (Cambridge Intn'l Assesment) paper's anakuwa assessed na AS ambayo inakuwa Internal assessed na external assessed internal walimu wa ndam wanakukagua na kukupa marks ya mitihani yako then inatumwa IB huko wanafanya external assessment ambako ndo wanakupa qualifications ambazo zitakuruhusu ukasome vyuo vya nje mfano Harvard na vingine........

kuna wanaosomea art tu mda wote ni kudesign michoro, wanaosomea Economics ambao kwao wanajifunza uchumi kwa mapana yake kwa kurelate na intn'l market, kuna wanaosomea fasihi(literature in English japo huwa wanatakiwa wasome na English ili fasihi yao itumie lugha inayoeleweka ma fasaha....

Madogo wa O-level wanadeal na IGCSE na kwa hapa Tz kuna masomo ya kawaida kama ya sec tu hadi kiswahili ukitoa IST ambako sijui
 
Unazungumziaje shule za seminary ambazo wanatumia necta? Kama lengo ni kuwa international mkataa kwao ni mtumwa. Upo wapi uzalendo?

Hata niwe bilionea mwanangu atasoma seminary - uru seminary, st James, maua seminary these are the best seminary schools in Tanzania.
Mbali na passmark kupata selection tu ni ishu.
Seminary ni nzr kumjenga mtu kifikira lakini kimaisha hasa ya kimahusiano na wasichana ni changamoto Kwa seminarians.


Mimi nilisoma seminary huko Rubya seminary toka darasa la sita Hadi form six nakiri kwamba nilipata shida Sana katika kujenga mahusiano .Akili yangu ilikaa kiume sana
 
Nilianza kukuamini unalo sema ni kweli lakini kuna mahali umeanza ku 'blow your own trumpet'........sio vizuri mtu alie elimika kuanza kujisifia utajiri wenu

Nah man nimeongezea spice kwenye soup ndugu si unajua i barely comment humu JF [emoji23]ila nimegundua ni kitu wengi wanapenda kuponda na kujisifia but kiukweli huwa ni mfatiliaji wa uzi paka mwisho kama unanikamata akili , especially uzi kama hizi za elimu na maisha yetu sote watanzania , hiyo conclusion nimeweka kupata challenges za humu ambazo ndio watu hupenda kuponda , just for fun, but incase anyone wants anything from CHINA dealing with TECHNOLOGY , holla +86 176 2401 0050 , soon ntaanza vloggin kwenye hizi mambo za tech , so lets network Guys
 
Si kweli. Tunaona changamoto sana kwa hawa waliosoma Kayumba na kubahatika kufika level za kimataifa kwenye kazi za kimataifa.
-
Wengine walifanikiwa kufika level hizo kwa Connection tu. Kwa mfano nafanya kazi na Mtanzania mwenzangu kwenye International Organizational nchini Nambia, huyu Mdada amepata kazi kwenye hiyo Organization kwa sababu tu Ndugu yake ni Balozi wa Namibia.
-
Imemlazimu kufanya short course kuanzia Lugha mpaka Communications Skills na nyinginezo kwa sababu yeye mwenyewe anajionea aibu.
-
Hizo International school zinawajenga watoto vizuri sana hata kwa KUFIKIRI na kujiamini na mzazi ukiwa msimamizi mzuri wa mtoto wako atafika mbali sana na atakuwa very presentable kwa fadhila za International Schools.
-
It is very serious issue sisi tulio kwenye International Organization tunaona mengi na tunaona changamoto ya Mfumo wetu wa elimu na Africa kwa Ujumla.
-
Ukiona Kayumba yupo kwenye hizi Organization na anafanya vyema ujue huyo kaji mix sana na anapenda kujifunza vitu mbalimbali au ana exposure ya maisha.
-
Kwanza sisi wabongo hata kuongea hatujui, sijui kwa nini ! Sio English wala Kiswahili, hatujui kuongea na wala hatufikirii tunachongea.
-
Ukitaka kuona hilo angalia wasanii wetu wanavyojibu maswali, angalia wachezaji mpira wakihojiwa akiwemo Samatha, zero kabisa, njoo kwenye ngazi za viongozi, zero kabisa, sio Kiswahili wala English.
-
Msanii anaejua kuongea vyema Kiswahili na English ni Sepetu na Vanesi na Kiongozi ni Mkapa na January tu.
-
Shida ipo sana eneo hili na ndio maana once it comes about International Interviews , yaani WATZD huwa ni wa mwisho na hapo unakuta mtu ana vyeti vizuri na pass Marks zake.

Kwenye viongozi umemwacha Lissu na balozi Mahiga
 
serikali ya ccm kwenye ilani yake imeahidi kuboredha elimu ktk shule za kata, naamini ikifanya hivyo basi hakuna haja ya kila mzazi kutamani kumpeleka mtoto wake international schools
 
Hivi inamaana hatuwezi kubadilisha mitaala ya hizi shule zetu ziwe kama za kimataifa. Najiuliza tu. Kwani hatuwezi au ni nini shida
HAIWEZEKANI.
Lengo ni kutengeneza watawala na watawaliwa, majina yale yake yataendelea kutawala na moja ya sababu ni hii mitaala. Wao watoto wao wanaenda kusoma huko umataifani kabisaaa.

Waliobahatika kusoma hizo za kimataifa hapa nchini, ukiona amefeli kuwa ofisho flani, basi kuna njia anaikamata vizuri tu, mcheki Pfunky...MJ n.k
 
Hivi inamaana hatuwezi kubadilisha mitaala ya hizi shule zetu ziwe kama za kimataifa. Najiuliza tu. Kwani hatuwezi au ni nini shida

Una badilisha mtaala hao walimu umewafundisha?
Walimu wenyewe ni matatizo matupu...

Elimu huanza na mwalimu
 
Ni sawa pesa ndiyo zimesaidia kimuweka karibu na wenye pesa ili na yeye baadae aje kuwa na pesa
Mimi napinga hoja ya international School inakuza vipaji
hiyo ni kweli upo sahihi.
Kuna jamaa fulani nawajua walichaguliwa kwenda mzumbe form 5 baada ya kuanza muhula wa kwanza na kukutana na magenius kule waliburuzwa sana na watabe wakanyoosha mikono baadae wakakimbia na kwenda kusoma IST kule wakaanza kuonekana vipanga eti
 
Walimu Watanzania wanaofundisha international school wanaitwa assistant teachers. Ni wasaidizi wa walimu ambao wengi ni wageni. Kazi yao kubwa siyo kufundisha ni kuwasaidia walimu. Kama watoto bado ni wadogo sana, kuwasaidia kwenda msalani nk. Kama umesoma shule za sekondari za serikali kama mimi utakuwa unajua ninachokisema. Walimu wangu wa sekondari walikuwa hawawezi kuzungumza sentensi 2 za Kiingereza kwa ufasaha bila ya kuweka Kiswahili. Hata chuo kikuu ni hivyo hivyo. Sijui wewe unaongea walimu gani hao? Tofautisha pia international schools na English medium schools. Tusije kuwa tunaongelea vitu viwili tofauti.
Mimi marafiki zangu kabisa wanafundisha tena Hadi science international School of Tanganyika, Hopac iko mbezi na Braebrum international na wamesoma bongo hii, english watu wanajua sema hawako fluent Ila ukizoea kawaida, na hata kutoa kibali Cha watu wengi hvo serikali haitoi kamwe.
 
Bado hujaonesha faida ya kusoma huko international School.
Issue sio kutaja tu kuwa watoto wanaosoma huko wanafundishwa kingereza kizuri, life skills, competency and analytical skills.

Ufafanuzi wako ungejikita kujustfy unachokiongea kina mashiko kiasi gani kwa kutumia mifano hai katika jamii zetu.

Wako wapi good professors waliopitia shule hizo

Wako wapi noble economist waliopitia huko

Wako wapi intelligent politicians waliopitia huko

Wako wapi great Scientists waliopitia huko

Wako wapi Clever IT personnels waliopitia huko etc.

Nachotaka utuonyeshe kwa mifano hai products za international Schools ambao wameleta positive impact kwenye jamii zetu.

Usije ukaleta - story za ninao washikaji wangu nawajua wamepitia international Schools nowadays unawaona wanakula bata uhindini, Unyamwezini-US au uharabuni etc .

Ulaji wa bata usikutishe ...ladha ya Mbuye zinazovaa less wig na zile pisi kali za kitaaa kwa Aziz Ali zote zinafanana tu.

By the way.... product nyingi zilizopita international Schools ndo dezain za watoto wa kishua. Akili zao zinaweza endesha maisha yao wenyewe ya kulala vitandani na vijibwa na paka wadogo. Akiweza Sana Ni kufuga nywele na kuziwekea super black au kufuga rasta. Kifupi Hawa watoto hawana faida yoyote mbali na kuwa kero kwenye jamii.

Group hili la vijana wa international Schools, wengi hubahatika kuwa na uhakika wa kuishi kutokana na background za wazazi wao ambao kwa investment zao zinawezesha vijana wao kuwa na uhakika wa kwenda club hata mara 3 kwa week.

However, maelezo yote haya hayajalenga kudiscourage wazazi kuwapatia vijana wao elimu bora. Ila nilitaka mleta uzi aboreshe andiko lake ili liwe na ushawishi
 
Si kweli. Tunaona changamoto sana kwa hawa waliosoma Kayumba na kubahatika kufika level za kimataifa kwenye kazi za kimataifa.
-
Wengine walifanikiwa kufika level hizo kwa Connection tu. Kwa mfano nafanya kazi na Mtanzania mwenzangu kwenye International Organizational nchini Nambia, huyu Mdada amepata kazi kwenye hiyo Organization kwa sababu tu Ndugu yake ni Balozi wa Namibia.
-
Imemlazimu kufanya short course kuanzia Lugha mpaka Communications Skills na nyinginezo kwa sababu yeye mwenyewe anajionea aibu.
-
Hizo International school zinawajenga watoto vizuri sana hata kwa KUFIKIRI na kujiamini na mzazi ukiwa msimamizi mzuri wa mtoto wako atafika mbali sana na atakuwa very presentable kwa fadhila za International Schools.
-
It is very serious issue sisi tulio kwenye International Organization tunaona mengi na tunaona changamoto ya Mfumo wetu wa elimu na Africa kwa Ujumla.
-
Ukiona Kayumba yupo kwenye hizi Organization na anafanya vyema ujue huyo kaji mix sana na anapenda kujifunza vitu mbalimbali au ana exposure ya maisha.
-
Kwanza sisi wabongo hata kuongea hatujui, sijui kwa nini ! Sio English wala Kiswahili, hatujui kuongea na wala hatufikirii tunachongea.
-
Ukitaka kuona hilo angalia wasanii wetu wanavyojibu maswali, angalia wachezaji mpira wakihojiwa akiwemo Samatha, zero kabisa, njoo kwenye ngazi za viongozi, zero kabisa, sio Kiswahili wala English.
-
Msanii anaejua kuongea vyema Kiswahili na English ni Sepetu na Vanesi na Kiongozi ni Mkapa na January tu.
-
Shida ipo sana eneo hili na ndio maana once it comes about International Interviews , yaani WATZD huwa ni wa mwisho na hapo unakuta mtu ana vyeti vizuri na pass Marks zake.
Hao wasanii uliowataja, sio kuwa mazingira ndiyo yanayowabeba mkuu? Vanesa anazungumza kimalkia kizuri sana, ila usisahau hiyo wala si lugha yake ya kwanza, kifaransa akitisha zaidi. Nadhani hata Wema, ni mzuri zaidi kwenye Swanglishi. Wamezaliwa ubalozini huko kwa weupe, watoto wa Sumari, Kota n.k

Kuna binti anaitwa Happiness Timanywa, naye katika 21yrs, anavitu ambavyo sisi hatujawahi kuviwaza.

Pesa, kisha nguvu.
 
Back
Top Bottom