Mtu ukiwa na pesa, somesha mwanao international schools, achana na hizi exam based schools or education

Mtu ukiwa na pesa, somesha mwanao international schools, achana na hizi exam based schools or education

Acha ujinga wako! Usijilinganishe na Wachina ambao hawasomi ktk Kiingereza. Kama mchina haongei Kiingereza ni sawa kwa vile anasoma ktk Kichina. Mama yako anasoma katika kiingereza sekondari mpaka anapata PhD halafu hawezi kuongea Kiingereza unamtetea nini?

Elimu mbovu. Acha kutetea ujinga wako na kujifariji. Kiingereza ni lugha kwa Mwiingereza ambaye anaweza kuongea bila kwenda shule. Mama yako huko Usukumani anaweza kuongea Kiingereza bila kwenda shule? Bichwa limetuna kwenye utosi kama Jiwe na mdomo umeanzia kwenye sikio na kuishia kwenye sikio lingine kama mkurugenzi wa NEC.

kwa hasira hizi wewe hata tukikupeleka huko IST kwa pesa za biko bado utarudi 0.

umasikini ni sumu kubwa sana,hata hao watoto wa watu wenye pesa,wanaonekana kuwa vyema sababu hawajui harufu ya umasikini ikoje.
 
Sio Kweli, English is not Su-**** language.
-
English ni Inteenational Language na ukikijua kwa ufasaha ni added advantage kwenye Safari yako ya maisha.
-
Ni kweli kujua English sio Ishara ya Akili nyingi but ukiwa umesoma na ukaweza kuongea English kwa Ufasaha maana yake wewe ni intellectuel na ni rahisi kuaminika.
-
Huwezi kuukataa ukweli huo kama una wish kufanya kazi internationally.
-
English is beautiful bwana. Ukijua English na kifaransa kwa Ufasaha, my friend usiwe na bahati tu .
-
Wenzetu wanapima intellectuel ya mtu kwa uwezo wake wa kujieleza kwa ufasaha.

graduate akiisoma hii coment yako anainama chini.
 
kwa hasira hizi wewe hata tukikupeleka huko IST kwa pesa za biko bado utarudi 0.

umasikini ni sumu kubwa sana,hata hao watoto wa watu wenye pesa,wanaonekana kuwa vyema sababu hawajui harufu ya umasikini ikoje.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi ni mzee. Nilisoma shule za Nyerere na nimefanikiwa. Ni kati ya Watanzania wachache waliofanikiwa pamoja na kusoma Kayumba. IST labda uongelee wajukuu zangu. Siyo mimi tena.
kwa hasira hizi wewe hata tukikupeleka huko IST kwa pesa za biko bado utarudi 0.

umasikini ni sumu kubwa sana,hata hao watoto wa watu wenye pesa,wanaonekana kuwa vyema sababu hawajui harufu ya umasikini ikoje.
 
Walimu wangapi wana Master katika specialty zao Tanzania? IST lazima uwe na Masters degree ili uwe mwalimu. Tusiongee mambo kujifurahisha. Serikali inatoa vibali vya walimu wa TRUE international school kwa kadiri ya mahitaji ya shule hizo. Nina uzoefu na international schools - nje ya Tanzania na ndani. Nimewahi kuwa mjumbe wa bodi ya shule moja kwa miaka 3.
Mimi marafiki zangu kabisa wanafundisha tena Hadi science international School of Tanganyika, Hopac iko mbezi na Braebrum international na wamesoma bongo hii, english watu wanajua sema hawako fluent Ila ukizoea kawaida, na hata kutoa kibali Cha watu wengi hvo serikali haitoi kamwe.
 
Bado hujaonesha faida ya kusoma huko international School.
Issue sio kutaja tu kuwa watoto wanaosoma huko wanafundishwa kingereza kizuri, life skills, competency and analytical skills.

Ufafanuzi wako ungejikita kujustfy unachokiongea kina mashiko kiasi gani kwa kutumia mifano hai katika jamii zetu.

Wako wapi good professors waliopitia shule hizo

Wako wapi noble economist waliopitia huko

Wako wapi intelligent politicians waliopitia huko

Wako wapi great Scientists waliopitia huko

Wako wapi Clever IT personnels waliopitia huko etc.

Nachotaka utuonyeshe kwa mifano hai products za international Schools ambao wameleta positive impact kwenye jamii zetu.

Usije ukaleta - story za ninao washikaji wangu nawajua wamepitia international Schools nowadays unawaona wanakula bata uhindini, Unyamwezini-US au uharabuni etc .

Ulaji wa bata usikutishe ...ladha ya Mbuye zinazovaa less wig na zile pisi kali za kitaaa kwa Aziz Ali zote zinafanana tu.

By the way.... product nyingi zilizopita international Schools ndo dezain za watoto wa kishua. Akili zao zinaweza endesha maisha yao wenyewe ya kulala vitandani na vijibwa na paka wadogo. Akiweza Sana Ni kufuga nywele na kuziwekea super black au kufuga rasta. Kifupi Hawa watoto hawana faida yoyote mbali na kuwa kero kwenye jamii.

Group hili la vijana wa international Schools, wengi hubahatika kuwa na uhakika wa kuishi kutokana na background za wazazi wao ambao kwa investment zao zinawezesha vijana wao kuwa na uhakika wa kwenda club hata mara 3 kwa week.

However, maelezo yote haya hayajalenga kudiscourage wazazi kuwapatia vijana wao elimu bora. Ila nilitaka mleta uzi aboreshe andiko lake ili liwe na ushawishi
Mkuu umemaliza kila kitu hapa.
Na mada imeishia hapa atakayeendelea kukubishia hapa huyo ana matatizo.
Angalia maisha anayoishi msanii TID yale ndio mfano wa watoto waliosoma kwenye shule hizo.
 
Cha ajabu huyo alikuwa mwalimu wa watoto wetu. Je, unategemea hao watoto waongee Kiingereza? Ni ndoto ya mchana kweupe.
Kuna mkuu mmoja alikuwa anatoa maagizo kwa wachina, Aisee kile kiingereza chake anatakiwa aoongee mtoto wa la nne B.
 
Walimu wangapi wana Master katika specialty zao Tanzania? IST lazima uwe na Masters degree ili uwe mwalimu. Tusiongee mambo kujifurahisha. Serikali inatoa vibali vya walimu wa TRUE international school kwa kadiri ya mahitaji ya shule hizo. Nina uzoefu na international schools - nje ya Tanzania na ndani. Nimewahi kuwa mjumbe wa bodi ya shule moja kwa miaka 3.
Sasa hao ninao wa fahamu walikuwa na bachelor ya kawaida wakaenda Soma master's udsm Kuna mmoja wa nje na sio kwamba yeye ana maajabu Hans tofauti na walimu wetu, pia Kuna walimu Hadi wa msingi. Mie mwenyewe nafanya international expert mbona nao hufundishwa pia na sie wabongo, wao wako tu fluently Ila hawana jipya, hata hzo shule ni mitaala yao tu tofauti na vile wanafunzi hufundishwa ubunifu zaidi ya ku cremisha kupata division/ GPA kubwa, same applies to vyuo vya nje vinafundisha zaidi ubunifu, na ku solve problem za kijamii kuliko huku kwetu watu wanasoma wafaulu.
 
Tupe asilimia. TID anawakilisha % ngapi ya watoto waliopita international school? Mimi sina pesa tu ya kupeleka huko wanangu. Ningekuwa nazo ningepeleka huko.
Mkuu umemaliza kila kitu hapa.
Na mada imeishia hapa atakayeendelea kukubishia hapa huyo ana matatizo.
Angalia maisha anayoishi msanii TID yale ndio mfano wa watoto waliosoma kwenye shule hizo.
 
Una bahati sana kuwa na marafiki wengi hivyo, wote walimu, wote walikuwa na bachelor, na wote wakaamua kwenda kusoma Masters, na wote baada ya kumaliza wakapata kazi international school!
Sasa hao ninao wa fahamu walikuwa na bachelor ya kawaida wakaenda Soma master's udsm Kuna mmoja wa nje na sio kwamba yeye ana maajabu Hans tofauti na walimu wetu, pia Kuna walimu Hadi wa msingi. Mie mwenyewe nafanya international expert mbona nao hufundishwa pia na sie wabongo, wao wako tu fluently Ila hawana jipya, hata hzo shule ni mitaala yao tu tofauti na vile wanafunzi hufundishwa ubunifu zaidi ya ku cremisha kupata division/ GPA kubwa, same applies to vyuo vya nje vinafundisha zaidi ubunifu, na ku solve problem za kijamii kuliko huku kwetu watu wanasoma wafaulu.
 
Unajua ni Tanzania tu pekee ndio watu wake hufikiria mtu anayejua kiingereza au lugha ngeni ndio amefanikiwa kimaisha.
Bahati nzuri nilipata exposure ya kukaa na watu wa mataifa mbalimbali ya Ulaya na Asia.
Yaani ukiwaambia unataka kwenda kusoma ili ujue lugha ya kigeni watakucheka sana hadi mbavu zao ziwaume halafu mwisho watakuona limbukeni na kuachana na wewe.
Wao wanachokifanya wakienda ugenini nchi yoyote ile iwe ya kifaransa ama kiarabu au hata ya kiswahili wakifika watajifunza muda huo huo kwa kujichanganya na raia wa nchi hiyo.
Na mimi baada ya kuligundua hilo niliachana na ule ulimbukeni wa kysujudu lugha au kumuona mtu ni kichwa kwa sababu anajua lugha fulani,kwa hiyo ninachokifanya na mimi nikienda ugenini najifunza lugha yao muda huo huo.
 
Una bahati sana kuwa na marafiki wengi hivyo, wote walimu, wote walikuwa na bachelor, na wote wakaamua kwenda kusoma Masters, na wote baada ya kumaliza wakapata kazi international school!
[emoji23][emoji23][emoji23]kukutana na watu tofauti sio mbaya na Mimi nilikuwa na mentality hyo kuwa hzo shule Zina walimu kutoka sayari ya Mars Ila baada ya kuwadidosa nikajua ukweli ulivo, wengine walitokea kwenye hzo hzo shule ndio tukakutana wakijiendeleza. So shida sio walimu mtaala
 
Danganya watoto wadogo wenzio. Sisi watu wazima tunajua jinsi lugha, hata kama ni Kisukuma, inavyoweza kusaidia. Lugha ni muhimu sana kwenye kupata kazi international ambazo zinalipa vizuri.

Sisi tuliobahatika kutembea nje, unakutana na Waganda, Wakenya, Wanigeria... Watanzania ni shida kuwapata nje. Lugha inatuangusha. Mtanzania akifika Dar anaona amemaliza dunia, anatafuta kiwanja Chamazi, anajenga, ananunua Rav4, anaanza kula ugali hapo huku siku zikienda. Ukoo mzima unamwona tajiri. Na yeye akipigiwa simu za kuombwa 5,000/= kutoka kijijini anajiona amefika kileleni.

Kuna maisha zaidi ya Dar na kuna kazi zinalipa vizuri huko nje lakini lazima lugha za kigeni zipande hasa Kiingereza.
Unajua ni Tanzania tu pekee ndio watu wake hufikiria mtu anayejua kiingereza au lugha ngeni ndio amefanikiwa kimaisha.
Bahati nzuri nilipata exposure ya kukaa na watu wa mataifa mbalimbali ya Ulaya na Asia.
Yaani ukiwaambia unataka kwenda kusoma ili ujue lugha ya kigeni watakucheka sana hadi mbavu zao ziwaume halafu mwisho watakuona limbukeni na kuachana na wewe.
Wao wanachokifanya wakienda ugenini nchi yoyote ile iwe ya kifaransa ama kiarabu au hata ya kiswahili wakifika watajifunza muda huo huo kwa kujichanganya na raia wa nchi hiyo.
Na mimi baada ya kuligundua hilo niliachana na ule ulimbukeni wa kysujudu lugha au kumuona mtu ni kichwa kwa sababu anajua lugha fulani,kwa hiyo ninachokifanya na mimi nikienda ugenini najifunza lugha yao muda huo huo.
 
Mfumo wa elimu wa tanzania ni mbovu .ukowa na hela peleka international school
"Ukiwa na hela peleka international school"

Hii statement tu inatosha kusema mfumo wa elimu nchini ni mbovu kabisa. Haiwezekani elimu ibague walio nacho na wasio nacho, pia hii ni proof kuwa sisi ni masikini, the haves and have-nots ndio inafanya tuwe na Kayumba Vs international. Otherwise tungekuwa kama Finland au Scandinavian countries na mifumo bora kabisa ya elimu ambayo hata mwafrika akienda huko anasoma beeee(bure)
 
Nadhani serikali ijaribu kubuni mfumo mzuri utakaojengea wanafunzi ufahamu na uelewa wa kusoma na kuweza kutatua changamoto za mazingira yetu. Sio kusoma ma theory tu yaliyo solve nchi za ulaya na kusahau mazingira yetu na changamoto zake.
Pia sikuhizi primary hesabu ni mutliple choice, huko si ndo kufanya watoto wawe wavivu.
Hao wabunifu wa serikali nao wamepita mashule hayo hayo ya kukariri, watabuni nini? ndio hao hao wanaokuja na maswali ya multiplechoice hadi kwenye somo la hisabati.
 
Back
Top Bottom