Ok! utagundua kwamba wengi wanaosoma huko ni watoto wa wakubwa hivyo ni lazima wawe na chance kubwa.Nina mashaka kama umesoma. Ungekuwa umesoma na kuelimika ungegundua mwanzisha mada hakusema kuwa wote wanaosoma huko kajamba nani wanaishia pabaya ila ameongelea zaidi wenye chance kubwa.
Huu ushoga ndo maadili ya kitajiri...Hivi maadili ya kitanzania ni yapi hasa, ambayo hao wazungu hawana?
Manake naona wenzetu wana maadili kuliko sisi, Sisi tuna uvivu mwingi, hatujali muda, wizi wizi tukipewa nafasi n.k
Labda maadili ya kimaskini ndio tunayo.
Wanafaulu owa ukariri shule hasa hizi za binafsi zinakarrisha Sana wanafunzHuwezi kufaulu katika viwango vya juu kama huna hizo analytical skills, hakuna mitihani inayotungwa kwa ajili ya wanafunzi wanaokariri labda ujitungie mwenyewe.
Kwani University ni lazima ziwe za bongo, tatizo lako unakariri na unaonekana kabisa uko brainwashed, sawa nimesoma za sirikali at the basic level but kwenye University with International reputation..vp wewe..Never.
University zetu hawana tofauti na sekondari, mentality yao ni ile ile, ufaulu. Ndio maana wanafunzi wanasoma wawe na GPA kubwa basi.
Yaani usome elimu ya msingi, sekondari jumla miaka 13 halafu uje kupata exposure university kwa miaka 3? Kua serious mkuu.
Lakini kuna mahala nimeona umeseam ulisoma shule za "sirikali", nimekuelewa.
Cc. Mzee wa chatu.Unajifariji tu. Scholarship unapata lakini haina maana kuwa ubora wako uko kama wa graduate wa IST. Walimu wanafundisha hapo chuo kikuu lakini hawawezi kujieleza kwa Kiingereza na wamepata skolaship za UK, US, Australia.. wamefanya PhD nk huko.
Tatizo lipo kwa wanafunzi wengi na hao unakuta hawasomi hata vitabu kupanua uelewa wao, muda mwingi ni kusolve past papers. Kwa hiyo nakubaliana na hoja kwamba elimu yetu inawaandaa zaidi vijana kufaulu mitihani.Wanafaulu owa ukariri shule hasa hizi za binafsi zinakarrisha Sana wanafunz
HAKUNA kabisaa analytical skills
Pia curriculum ya Tz NI exam based Kama hujui had mjengi mtoto kujitegemea hata mitihani inayotungwa na ufundisaji kwa ujumla kunapenga kumsaiidia mtoto kufaulu mtihani
Watoto wanatankiwa kuangalia Katika nyanja tofauti Kuna talents ,creativity nk acha ubishi
Mwaka Jana nimeshhidia watoto wamedisco pale udsm Tena form six walikuwa na div one kaliii
Shida wanakadirishwa
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ph.D kama ya Magufuli ni kielelezo kwamba Ph.D si lazima iwe usomi.
Kwa mfano.Magufuli ana matatizo ya kujieleza, Kiingereza na Kiswahili. Maana ingekuwa Kiingereza tungesema ni lugha ya kigeni.
Na hapo unaweza kuona tatizo la elimu za kukariri mambo badala ya kuelewa.
Mkuu sio wote, ila shule haziingili someone privacy mfano hizo mambo na dini (japo kuna int'l za dini kama HOPAC) japo kuna dogo wa HOPAC way back alitoa speech ya kuhamasisha ushoga kwenye international day guess ni mwakajuzi, ikabidi shule ikanushe vikali ,Tatizo hizi international schools hata watoto wa kiume wanakua kama madem tu sijui kwanin au ndo mitaala yao.
Mtoto akifeli IST ni sawa na mtu umechana mkeka,tena sio umechana bali ni Umeurarua mkeka,Unaletewa taaarifa na uongozi mwanao anatakiwa arudie mwaka mzima,mwaka ambao ADA na makorokoro yote ni 23.5M - 25M Hii kama sio kurarua mkeka ni nini?
Mtu anaeweza somesha mtoto International ni yule mwenye income ya not less of 20M per month,yani kama kwa mwezi huna income hiyo internatinal isikilize tu humu JF tuki iongelea na kuipgia story.
Hamna ubishi kwamba huko ndipo penye ELIMU huko kote wala sibishi na sidhani kama kuna mende yeyote humu ataeweza kubisha,swala lililopo mezani ni Dooooo hapa tunaongelea Doooo wajua nini maana ya Dooo wewe,sio dooor ya mlango naongelea Doooo....hehehehe
Nitavimba sana town,ntakua na kiburi sana ila kiburi cha kusomesha international sijafikia na nadhani hata muda huo ukifika wanangu nao watakua washamaliza kusoma,hebu msinipe stress zingine mimi Pale maromboso nafasi zipo pananitosha vizuri tu,st patrick ipo panantosha vizuri tu acha akadanganywe huko huko na walimu sina namna.
ila international wajuba ni story zingine ishu sio kumiliki Mercedes-Benz Maybach Exelero ishu ni kuihudumia hii ndinga,ishu sio ADA ishu ni zile vi cost vya hapa na pale,kubabeki unaweza jikuta unaimba Mwambie Farao nimeokoka kwenye kundi la alshabaab wewe mwenyewe yani.
Mzee,laiti kama Dr. Mahera akiligundua jina lako unalogombea hakika hutatokea kwenye karatasi za kura.Acha ujinga wako! Usijilinganishe na Wachina ambao hawasomi ktk Kiingereza. Kama mchina haongei Kiingereza ni sawa kwa vile anasoma ktk Kichina. Mama yako anasoma katika kiingereza sekondari mpaka anapata PhD halafu hawezi kuongea Kiingereza unamtetea nini?
Elimu mbovu. Acha kutetea ujinga wako na kujifariji. Kiingereza ni lugha kwa Mwiingereza ambaye anaweza kuongea bila kwenda shule. Mama yako huko Usukumani anaweza kuongea Kiingereza bila kwenda shule? Bichwa limetuna kwenye utosi kama Jiwe na mdomo umeanzia kwenye sikio na kuishia kwenye sikio lingine kama mkurugenzi wa NEC.
Upo sahihi kabisa kuna mtu kasema eti walimu wa Tz ni assistant teachers kwa kuwapeleka watoto chooni.....hajui 70 ya walimu wa international school ukitoa IST ambayo sijui ni pure Tanzanians....Mimi naona mitaala ya kufundishia maana walimu waliotoka vyuo vyetu nao hufundisha hzo shule wakutoka nje ni wachache Sana,
Kutokana na shule zao kukuza vipaji nilitegemea kuwaona wakiipeleka bongo movie international, music, mpira na fani nyingine nyingi ila siwaoni humoWe umewaona wapi hao international scholars, ushawaona kwenye hizo ajira za halmashauri au kariakoo wanamiliki meza?
Uandishi wako unatia mashaka, hata shule unazosema umeenda nina mashaka kama ulienda.Kwani University ni lazima ziwe za bongo, tatizo lako unakariri na unaonekana kabisa uko brainwashed, sawa nimesoma za sirikali at the basic level but kwenye University with International reputation..vp wewe..
Mimi sizikubali sana hizo international school kwasababu mkifika Chuo kikuu,hakuna Significance difference ya wale waliosoma St.Kayumba na waliosoma International.
Mdogo wangu anasoma hapo Montsory mkuu, kwahiyo akimaliza atabahatika kupata kibarua au sio??Upo sahihi kabisa kuna mtu kasema eti walimu wa Tz ni assistant teachers kwa kuwapeleka watoto chooni.....hajui 70 ya walimu wa international school ukitoa IST ambayo sijui ni pure Tanzanians....
Kuna waTanzania wanafundisha ila sio A-levels nafikiri (wakufundisha A-levels wapo wachache) ila kuanzia PYP inayohusisha Nursery na MYP....nimetaja Nursery hapo ili kuonesha waTz wanafundisha Int'l schools maana wazungu wanaheshimu sana miaka midogo na elimu ya mtoto mdogo maana wanajua ndio age ambayo mtoto atajifunza vitu vingi vitakavyomshape..... Hii inaonesha they trust Tanzanians
Montessorry wanayotumia international schools kwa watoto wadogo mbona inafundisha na vyuo vya dar tena kimoja kinaitwa Montessory kabisa....
Ulikuwa sahihi kabisa madam.
Unaweza. Na ndiyo wafaulu wengi Tanzania wanavyofaulu. Nimesoma shule za Tanzania na za nje ya Tanzania hivyo niliona tofauti ya ufundishaji, ufanyaji mitihani na uelewa wa wahitimu.Huwezi kufaulu katika viwango vya juu kama huna hizo analytical skills, hakuna mitihani inayotungwa kwa ajili ya wanafunzi wanaokariri labda ujitungie mwenyewe.
Kuna correlation kubwa kabisa kati ya watoto wa wakubwa vs elimu nzuri vs chances nzuri. Hivi vitu vinaendana ndugu yangu. Kumbuka mimi sisemi kuwa watoto wanaosoma shule za kawaida hawaina akili bali nasema aina ya elimu wanayoipata siyo nzuri. Shule nyingi za Tanzania ndiyo zilivyo na ndiyo maana unaweza kukuta mtu amesoma mpaka akapata Phd tena kw kutumia lugha ya kiingereza lakini anashindwa kujieleza kwenye mambo ya kawaida kabisa.Ok! utagundua kwamba wengi wanaosoma huko ni watoto wa wakubwa hivyo ni lazima wawe na chance kubwa.