Wanafaulu owa ukariri shule hasa hizi za binafsi zinakarrisha Sana wanafunz
HAKUNA kabisaa analytical skills
Pia curriculum ya Tz NI exam based Kama hujui had mjengi mtoto kujitegemea hata mitihani inayotungwa na ufundisaji kwa ujumla kunapenga kumsaiidia mtoto kufaulu mtihani
Watoto wanatankiwa kuangalia Katika nyanja tofauti Kuna talents ,creativity nk acha ubishi
Mwaka Jana nimeshhidia watoto wamedisco pale udsm Tena form six walikuwa na div one kaliii
Shida wanakadirishwa
Sent from my TECNO KA7 using
JamiiForums mobile app