gambaliko2020
Member
- Sep 16, 2020
- 5
- 12
Lione hili nalo bichwa kama Lisu.
Kujieleza kwa kiingereza siyo kigezo cha kuelimika .
Kiingereza ni lugha tu kama kisukuma
Hiyo o'level ilikuwa ya kupangiwa na serikali. Lugha niliyo kuwa naiweza ni ya kijijini kwetu, kiswahili kuongea ni mpaka kuwe na gamba la konokono kuvalishwa shingoni (ongea kiswahili). Umeme niliujulia form oneHahaa...mtoto akiwa bright huhitaji kumpeleka mashule yenye majina makubwa sijui ada mil. 10. Mwache hapo hapo ila habari yake wataipata tu kwenye matokeo ya kitaifa. Mimi ilinigharimu niliposoma O-level private ambapo kila kipindi mwalimu anaingia, shida ikaja A-level mwalimu humwoni na material unajitafutia. Kwenye mazingira kama hayo ndo utamwona mwanafunzi ambaye ni kichwa.....
Wanapewa mafunzo wakiwa kazini... kwa upande wa HR unahitaji kuondoa, kujengea uwezo, na kuajiri walimu zaidi ya 100,000 sio mchezo. Hao utakaowaondoa inamaanisha lazima "redundancy" ipite sasa malipo yake ndio balaa; piga hesabu hapo kila mmoja alipwe average 100,000,000 unazungumzia more than 10tr/- redundancy ya walimu halafu uanzishe ajira mpya ku-replace hao walioondolewa. Hiyo ni HR peke yake; njoo kwenye miundombinu; vitabu; n.k. Si mnataka ISO-certification?
Jiulize, kwanini hao watoto wa mabalozi wasisome shule za mitaala ya nchi husika?Mkuu kuna world scholars kibao ambao hawajakanyaga hizo international schools na wanaheshimika kwenye field zao. Nafikiri hizo shule zimeanzishwa purposely kwa ajili ya watoto wa mabalozi kwenye nchi husika, hakuna jipya...
Nimewahi kufundisha shule za namna hii na kwa kweli ninakubaliana na hilo. Ukifanya ulinganisho wa namna ambavyo ujifunzaji unavyozingatia maendeleo ya mtoto katika nyanja zote katika shule za mitaala ya kimataifa, kwa upande wa pili wa mtaala wa serikali ni kama stadi na ujuzi wa kumuandaa mtoto wa karne ya 21 ni kama hazipo kabisa.Mtu ukiwa na hela ya kueleweka ama kama unataka kuwekeza kweli kwa watoto wako, wasomeshe international schools au shule zenye mitaala ya kimataifa.
Hizi shule zenye mitaala ya kimataifa zinawajenga watoto kwenye analytical skills, reasoning, logic, creativity, competence na mambo kama hayo.
Ukikutana na mtoto wa darasa la 6 wa hizi shule, reasoning yake ama analytical skills zake ni sawa na kijana wa form six wa necta schools.
Shule hizi hazilengi kuona mtoto anapata nini au maksi gani darasani bali kuibua talents nyingine alizonazo mtoto sio hizi za necta ambazo zimejikita kwenye ufaulu tu wa mwanafunzi.
Ukitaka kuwekeza kwenye elimu ya kweli kwa mwanao na kama uwezo upo peleka mwanao shule zenye mitaala ya kimataifa.
[emoji23][emoji23]my twin huyoOkay ,na huyo Kwenye picha ni Wewe ?
Hawa watoto hawasomi kwa kutoboa, kukariri maswali ya physics sijui hesabu za mody physics.
Hawa wanajifunza elimu ya kuwasaidia kukabiliana na mazingira yanayowazunguka ambalo ndio dhumuni kuu la elimu.
Hizi za necta eti unakuta hadi wanazuia wazazi kwenda kumuona mtoto eti utamharibia concentration, sasa hiyo elimu ama ujinga, kwamba mzazi ukitembelea mtoto utamvuruga asifanye vizuri? Ujinga ujinga mtupu kwenye elimu ya necta.
Tatizo serikali ingekua na international schools zake ambazo ziko affordable
Wee wasema ndugu,Hasara kuwa na Baba kama Wewe
Kuwa mjumbe wa Bodi wa Shule kumenisaidia kufahamu mengi juu ya hizi shule za serikali.Hizi shule za serikali siku hizi zimejaa siasa na mihemuko. Syllabus haifuatwi,kuna wataalamu wa elimu wanaojiita wakuu wa shule na maafsa elimu wa halmashauri kutwa kubuni vitu vya ajabu ajabu mara;
Wanafunzi wanakatazwa kusoma masomo mengine wasome Civics na Kiswahili eti wapate 'D' mbili za cheti.
Kuna baadhi wanaambiwa waache kabisa kusoma somo la hisabati. Wengine wanakatazwa walimu wasifundishe badala yake wawape wanafunzi mitihani na wasolve! Jumlisha mitihani ya inter- school, pre - mock,Mock,pre NECTA ,Terminal,Mid-term nk. Kunawafanya walimu wasifundishe kabisaa. Maagizo ya mara kwa mara toka kwa wabunifu wa wilayani na ubunifu wa mkuu wa Shule yasiyofuata na kuzingatia syllabus sio tu yanapunguza maana ya mtaala pia malengo yaliyokusudiwa.
Katika kundi la watu 100 mpo wangap?... Hizi shule ni majanga tu...mnasoma kwa shida sanaa, walimu wa baadhi ya masomo hakuna..yaani nakumbuka kipindi nasoma tumemaliza primary, tukachaguliwa seco hizi za serikal...kuna jamaa mmoja hakuja akaenda soma shule moja hvii kubwa...na inasifika kwa kufaulu...akatoboa kwa ufaulu mkubwa...wakati huku sisi wa serikali tunapambania kombe wenyewe kama watoto wa mbwa...so sadMbona wengine tumesoma hizi hizi shule za sirikali, tena shule ya msingi kijijini kwa babu kuongea kilugha mwanzo mwisho lakini tumefanikiwa kupata scholorship kusoma Masters na PhD kwenye international universities ambazo zipo kwenye world ranking ya 10 bora, what happened?
Mkuu kuna world scholars kibao ambao hawajakanyaga hizo international schools na wanaheshimika kwenye field zao. Nafikiri hizo shule zimeanzishwa purposely kwa ajili ya watoto wa mabalozi kwenye nchi husika, hakuna jipya...
Lakini mbona kibongo talent nyingi zinatoka kwa watu ambao ni masikini na wasio na elimu kubwa
Mbona hatuoni hao international wakiongoza kwenye fani nyingi zinazotumia vipaji sana
Wewe ulitaka world-class scholars wote watoke international schools? Nani kasema hivyo? Your argument is based on the wrong promise. Twambie watoto wangapi wanasoma shule za kawaida na wangapi kati ya hao ni world-class scholars halafu twambie wangapi wanasoma international schools na wangapi kati ya hao ni world-class scholars. Wanaopita international schools is just a fraction ya wale wanaopita shule za kawaida. Unapofanya ulinganifu ni lazima uwe na numerators (x) na denominators (y). Hawezi kulinganisha mabilioni ya watoto wanaopita shule za kawaida na elfu kadhaa wanaopita katika international schools kwa idadi ya hao wachache waliokuwa world-class scholars kutoka katika mabilioni ya waliosoma huko kayumba.
Hivi inamaana hatuwezi kubadilisha mitaala ya hizi shule zetu ziwe kama za kimataifa. Najiuliza tu. Kwani hatuwezi au ni nini shida
Hii tushawahi fanyiwa...japo kwetu ilikuwa tofauti kidogo... Mwalim mkuu alitafuta wale wanafunzi ambao hawajiwezi kabisaaa ani...akawatia darasa moja afu wakawa wanafundishwa masomo machache mno, yaani kiswahili, english, history, civic .Kuwa mjumbe wa Bodi wa Shule kumenisaidia kufahamu mengi juu ya hizi shule za serikali.Hizi shule za serikali siku hizi zimejaa siasa na mihemuko. Syllabus haifuatwi,kuna wataalamu wa elimu wanaojiita wakuu wa shule na maafsa elimu wa halmashauri kutwa kubuni vitu vya ajabu ajabu mara;
Wanafunzi wanakatazwa kusoma masomo mengine wasome Civics na Kiswahili eti wapate 'D' mbili za cheti.
Kuna baadhi wanaambiwa waache kabisa kusoma somo la hisabati. Wengine wanakatazwa walimu wasifundishe badala yake wawape wanafunzi mitihani na wasolve! Jumlisha mitihani ya inter- school, pre - mock,Mock,pre NECTA ,Terminal,Mid-term nk. Kunawafanya walimu wasifundishe kabisaa. Maagizo ya mara kwa mara toka kwa wabunifu wa wilayani na ubunifu wa mkuu wa Shule yasiyofuata na kuzingatia syllabus sio tu yanapunguza maana ya mtaala pia malengo yaliyokusudiwa.
Hahaa...mtoto akiwa bright huhitaji kumpeleka mashule yenye majina makubwa sijui ada mil. 10. Mwache hapo hapo ila habari yake wataipata tu kwenye matokeo ya kitaifa. Mimi ilinigharimu niliposoma O-level private ambapo kila kipindi mwalimu anaingia, shida ikaja A-level mwalimu humwoni na material unajitafutia. Kwenye mazingira kama hayo ndo utamwona mwanafunzi ambaye ni kichwa.....
halafu nani ataipigia Kura ccm hapa ni LISU TU NA AMESHASEMA ATAFUMUA MITAALA HIIHivi inamaana hatuwezi kubadilisha mitaala ya hizi shule zetu ziwe kama za kimataifa. Najiuliza tu. Kwani hatuwezi au ni nini shida
Umewaza kimaskini sana, hapo tulipo ndiyo tunaweza sisi kama sisi. kuna vipaji huko kwenye shule zetu hatare, tatizo la wabongo kuiga kila kitu hawaachi kupenda vya wenzeo, akibuni afisa Elimu mswahili wanaponda. akibuni mtoto wa kizungu nzuri hiyoo!
Viongozi sioni aliyesoma huko labda Dr Mwinyi lkn intern ship Muhimbili hakufanya vizuri hapo alipo usajili hana, labda apewe sasa kwa kujipendekeza, Asha Mahita amepata lkn bado mburura mweupe tu. alifanya nini cha maana TMK? siyo wote wanafanya vizuri,
Kumlea mwana changanya na Mungu akutunzie, na kukuzia uzuri, angalia sasa mzee Joseph Nyerere hakuna hata mtoto wake mmoja anayerindima katika Medani za kimataifa, hata kitaifa tu! walisoma huko!! sanasana aliyejitahidi, Cap. Makongoro lkn mlevi, Marehemu Andrew Nyerere alishindwa kuwa mbunifu kunako kazi yake ika muua.