Umewaza kimaskini sana, hapo tulipo ndiyo tunaweza sisi kama sisi. kuna vipaji huko kwenye shule zetu hatare, tatizo la wabongo kuiga kila kitu hawaachi kupenda vya wenzeo, akibuni afisa Elimu mswahili wanaponda. akibuni mtoto wa kizungu nzuri hiyoo!
Viongozi sioni aliyesoma huko labda Dr Mwinyi lkn intern ship Muhimbili hakufanya vizuri hapo alipo usajili hana, labda apewe sasa kwa kujipendekeza, Asha Mahita amepata lkn bado mburura mweupe tu. alifanya nini cha maana TMK? siyo wote wanafanya vizuri,
Kumlea mwana changanya na Mungu akutunzie, na kukuzia uzuri, angalia sasa mzee Joseph Nyerere hakuna hata mtoto wake mmoja anayerindima katika Medani za kimataifa, hata kitaifa tu! walisoma huko!! sanasana aliyejitahidi, Cap. Makongoro lkn mlevi, Marehemu Andrew Nyerere alishindwa kuwa mbunifu kunako kazi yake ika muua.