Mtu ukiwa na pesa, somesha mwanao international schools, achana na hizi exam based schools or education

Mtu ukiwa na pesa, somesha mwanao international schools, achana na hizi exam based schools or education

COVID what ?

USA ilitaka Waafrica waende bure for COVID WHAT management! Think my words
Shida sana hii
Siyo kila Mtanzania anaye hudhuria training yeyote, na mahali popote Duniani , atokee Tanzania Unayoishi na kuijua weye! na si Wa TZ wote lazima watakwe au kudhaminiwa na USA, simple logic.
 
Wangapi wana hizo unazoita Juhudi na Allah na hawajafika huko, how do you explain that ?
Hakika Wengi wana wanazo hizo nazoziita juhudi, ndiyo maana tuna ajili walimu kila iitwapo leo, na Miskitini wamtafuta Allah yumo ndani yao. na siyo mpaka wafike huko unako dhani na kutaka weye La hasha!. watu wana marengo na talanta tofauti tofauti maishani mwao. hapo walipo ndo walitaka wafike. hakika nataka ujue pasi shaka kuwa palipo na Allah! wa kweli hapashindwi kitu.
 
Hakika Wengi wana wanazo hizo nazoziita juhudi, ndiyo maana tuna ajili walimu kila iitwapo leo, na Miskitini wamtafuta Allah yumo ndani yao. na siyo mpaka wafike huko unako dhani na kutaka weye La hasha!. watu wana marengo na talanta tofauti tofauti maishani mwao. hapo walipo ndo walitaka wafike. hakika nataka ujue pasi shaka kuwa palipo na Allah! wa kweli hapashindwi kitu.

Okay sawa sawa. Are you he or she !?
 
Shida sana hii
Siyo kila Mtanzania anaye hudhuria training yeyote, na mahali popote Duniani , atokee Tanzania Unayoishi na kuijua weye! na si Wa TZ wote lazima watakwe au kudhaminiwa na USA, simple logic.

Sawa sawa
 
Hivi inamaana hatuwezi kubadilisha mitaala ya hizi shule zetu ziwe kama za kimataifa. Najiuliza tu. Kwani hatuwezi au ni nini shida

Tatizo lugha ya kufundishia mzee baba. Mwalimu mwenyewe anapata shida kuilewa lugha anayofundishia halafu utegemee mwanafunzi aelewe na kuwa na analytical skills??
Tubadilishe lugha uone mziki wake kama hatujawa na wataalam wa kufa mtu.
 
Je hao wanaosoma Kayumba wana msaada gani Kwa hao wakulima na wafugaji??

Kama hao wa IST Wana msaada kwao binafsi na familia zao..je Hilo sio Jambo jema??

Hao kina ASAs ni exceptional cases hata
Huko USA wanaofanikiwa kuanzisha biashara na kuajiri wengine ni asilimia moja tu..

Dhana ya elimu Bora isipimwe na uwezo wa kuajiri wengine
Mradi hawarudi kuwa mzigo Kwa jamii basi elimu imewasaidia
Uwezo wa kuajiri wengine unaweza kuwa ni kigezo kimoja wapo maana hata huko nje tunakokusifia si kwamba kila mtu kajiajiri. Lakini pia na wewe unaweza kuleta vigezo vingine na kuvijengea hoja badala ya kusema tu nilichoandika mimi hakitoshelezi.
Kuhusu IST kuwa msaada kwao binafsi na familia zao, hayta wa Kayumba pia ni msaada kwao na familia zao kwa uwezo wao. Je tuishie kuwa kila mtu asome kwaajili ya maendeleo yake binafsi na siyo ya jamii? ndio purpose ya elimu?

Hoja yangu ilikuwa ni vigezo gani wanavyotumia kusema elimu hiyo ni bora zaidi (ukiacha uwezo wa kujieleza kwa kingereza). Nimewafikirisha tu kwamba angalau tutumie kigezo cha uwezo wa elimu kutatua matatizo yaliyopo kwenye jamii ya Tanzania whether imepatikana international au Kayumba. Kama elimu ya intenational haiwezi kutatua changamoto za jamii kama hii ya Kayumba maana yake ni kwamba Tanzania kama nchi tutazidi kuwa masikini. Elimu yoyote ile ingekuwa bora zaidi kama ingeweza ku deal na matatizo yaliyopo kwenye context yetu sisi waTanzania. Ni mtazamo wangu tu.
 
Mbona wengine tumesoma hizi hizi shule za sirikali, tena shule ya msingi kijijini kwa babu kuongea kilugha mwanzo mwisho lakini tumefanikiwa kupata scholorship kusoma Masters na PhD kwenye international universities ambazo zipo kwenye world ranking ya 10 bora, what happened?
Usingekuwa unaandika hivi, kama Una pH kweli, andiko lako lisingejikita kututajia kuwa una Phd, bali ungeleta nini tufanye kuondoa mawazo ya walioleta mada
 
Uwezo wa kuajiri wengine unaweza kuwa ni kigezo kimoja wapo maana hata huko nje tunakokusifia si kwamba kila mtu kajiajiri. Lakini pia na wewe unaweza kuleta vigezo vingine na kuvijengea hoja badala ya kusema tu nilichoandika mimi hakitoshelezi.
Kuhusu IST kuwa msaada kwao binafsi na familia zao, hayta wa Kayumba pia ni msaada kwao na familia zao kwa uwezo wao. Je tuishie kuwa kila mtu asome kwaajili ya maendeleo yake binafsi na siyo ya jamii? ndio purpose ya elimu?

Hoja yangu ilikuwa ni vigezo gani wanavyotumia kusema elimu hiyo ni bora zaidi (ukiacha uwezo wa kujieleza kwa kingereza). Nimewafikirisha tu kwamba angalau tutumie kigezo cha uwezo wa elimu kutatua matatizo yaliyopo kwenye jamii ya Tanzania whether imepatikana international au Kayumba. Kama elimu ya intenational haiwezi kutatua changamoto za jamii kama hii ya Kayumba maana yake ni kwamba Tanzania kama nchi tutazidi kuwa masikini. Elimu yoyote ile ingekuwa bora zaidi kama ingeweza ku deal na matatizo yaliyopo kwenye context yetu sisi waTanzania. Ni mtazamo wangu tu.
I hear you Mkuu venine.

Huu ni mtazamo wangu wa elimu ya IST.

Sijasoma kujaribu kutatua matatizo ya nchi. Bali nasoma kujielimisha, kujua kupanga fikra zangu vizuri, kupanua ubongo wangu kielimu, kuandika mawazo vizuri, kuwasiliana vizuri na wengine kwa lugha za kigeni na kadhalika. Kujiajiri au kuajiriwa sio lengu la elimu kwa mtazamo wangu. Elimu ni kufunguo ubongo wako utumike vizuri.

Pia, kwenda Harvard au vyuo vingine vya ivy league haimaanishi kuwa utatajirika ukihetimu. Hii inategemea na mtu kwa mtu. Kuna rafiki wanafanya kazi non-profit org na wanaishi maisha ya kawaida sio ya kitajiri.

Pia inategemea na somo ulilisoma.
Mhitimu wa Filosofia na mhitimu wa Biochemistry kama wakiamua kuajiriwa, mmoja atapewa mshahara mkubwa zaidi kuliko mwingine japokuwa wote ni wahitimu wa Harvard.

Vile vile, Mfilosofia anaweza kuandika vitabu au kufungua biashara inayoweza kumtajirisha kuliko mhitimu wa biochemistry.

Inategemea unataka nini katika maisha yako.

Binafsi, faida kubwa ya elimu ya IST zaidi ya serikali au private school nyingine ni networking.
Alumi Association ya IST inakufungulia milango kila kona ya dunia. Unakutana na wanafunzi wa nchi 100, wanarudi kwao, wanakuwa mabalozi, mawaziri, CEO wa makampuni, billionaire, madaktari na kadhalika.
Kwa Tanzania, unasoma na watoto wa watu muhimu Tanzania.

Kama una shida ya kibarua watakusaidia kwa mikono miwili iwe New York, Tokyo au DR Congo. Ukihitaji kufungua biashara au kuuza kitu nchini kwao, watakusaidia vile vile.

This network is priceless.

Binafsi, sioni kuwa Mzalendo ni kufanya kazi Tanzania kwa kutumia elimu niliyopata. Nikipeleka pesa za kigeni katika benki ya Tanzania pia ni uzalendo. Uzalendo pia unakuja rahisi baada ya kushiba, sio kabla.

Haya ni maoni yangu na sitegemea wewe utakuwa na mtazazo kama wangu.
 
Hivi inamaana hatuwezi kubadilisha mitaala ya hizi shule zetu ziwe kama za kimataifa. Najiuliza tu. Kwani hatuwezi au ni nini shida
Mitahala ya kawaida ili kiwafanya watu kuwa na uwezo Mdogo wa kuhoji. Tanzania zaidi uijuavyo
 
Sasa hao ninao wa fahamu walikuwa na bachelor ya kawaida wakaenda Soma master's udsm Kuna mmoja wa nje na sio kwamba yeye ana maajabu Hans tofauti na walimu wetu, pia Kuna walimu Hadi wa msingi. Mie mwenyewe nafanya international expert mbona nao hufundishwa pia na sie wabongo, wao wako tu fluently Ila hawana jipya, hata hzo shule ni mitaala yao tu tofauti na vile wanafunzi hufundishwa ubunifu zaidi ya ku cremisha kupata division/ GPA kubwa, same applies to vyuo vya nje vinafundisha zaidi ubunifu, na ku solve problem za kijamii kuliko huku kwetu watu wanasoma wafaulu.
ila msister mm naamni unayoyasema kwa sababu kwa upande wangu naona udsm inatoa walimu wazuri tu maana nilio bahatika kufundishwa na walimu hao walikua good kwa sababu walikua wanaelaza Hadi nje ya makaratasi
 
ila msister mm naamni unayoyasema kwa sababu kwa upande wangu naona udsm inatoa walimu wazuri tu maana nilio bahatika kufundishwa na walimu hao walikua good kwa sababu walikua wanaelaza Hadi nje ya makaratasi

UDSM ya kina Kabudi na Kitila?[emoji276]
 
Unajifariji tu. Scholarship unapata lakini haina maana kuwa ubora wako uko kama wa graduate wa IST. Walimu wanafundisha hapo chuo kikuu lakini hawawezi kujieleza kwa Kiingereza na wamepata skolaship za UK, US, Australia.. wamefanya PhD nk huko.
Majanga!
 
Mpaka mtoto anamaliza shule, mfugale inanyanyuka na chenchi inabaki. [emoji2]
IMG_20201023_203301.jpg
 
Kusoma ndio kila kitu. Tuliosoma kufaulu mitihani kama waganga wa kienyeji vile. Tunapenda kuendesha mambo kama tunapiga ramli chonganishi...Elimu yetu ilianza kuvurugika late 80's and 90's. Sasa hivi mtoto wa vidudu anasoma muda mrefu kuliko mwanachuo. Sijui wanachosoma ni nini
ni kweli sema watu wengi hawajui kuwa tulikua na mfumo Bora mno ila niliambiwa waziri flani"x" alipewa rushwa
 
Back
Top Bottom