Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi?Huyu dogo anastahili msshtaka mengine ya kutishia maisha
Hivi ni cameraman? Mbona nasikia sauti ya kike?Keshahakikishiwa kuwa atatoka huyo na ataendelea kutumikia kitengo chake cha ulawiti.
Jamaa kakubuhu mpaka anatamani kamera man.
SadDuh aiseee hivyo anajiamini watashinda na kurudi uraiani
Wale watoto walilelewa boarding kuanzia chekechea mpaka sec. ndio wameanza 'kuvimba', wakichanganya watakutana na wa mzazi mmoja wameanza kuchangamka.Ni utovu wa nidhamu wa Hali ya juu sana,kwanza kwa binadamu aliyelelewa ktk maadili mazuri hapo anajua ni kosa kabisa kuingilia kazi ya mtu pia ni wazi Kuna shida katika makuzi ya sasa maana kwa Hali aliyonayo mtuhumiwa angekuwa anajuta. Na pengine kuwa mtu wa sala na toba na pia mtu mtulivu maana ni kwa Nini awe yeye na siyo mtu mwingine,hili Ndo swala la msingi angekuwa anajiuliza.Naisi wazazi wa Leo Kuna sehemu tunakosea,Ina maana akitoka afanye Tena jinai,duh Dunia inapitia pabaya sana.
Duh aiseee hivyo anajiamini watashinda na kurudi uraiani
Inaweza kuwa dalili ya kuchanganyikiwa pia.Ni utovu wa nidhamu wa Hali ya juu sana,kwanza kwa binadamu aliyelelewa ktk maadili mazuri hapo anajua ni kosa kabisa kuingilia kazi ya mtu pia ni wazi Kuna shida katika makuzi ya sasa maana kwa Hali aliyonayo mtuhumiwa angekuwa anajuta. Na pengine kuwa mtu wa sala na toba na pia mtu mtulivu maana ni kwa Nini awe yeye na siyo mtu mwingine,hili Ndo swala la msingi angekuwa anajiuliza.Naisi wazazi wa Leo Kuna sehemu tunakosea,Ina maana akitoka afanye Tena jinai,duh Dunia inapitia pabaya sana.
Ndio atishie kumtafuta hata kama mwanamke??Hivi ni cameraman? Mbona nasikia sauti ya kike?
Mwenye video aweke sio kale Kavita bangi wakati mchezo unaendeleaHako kajamaa kalikuwa upande gan kwenye video
Kampenda Dada +nyege attention ya kesi anajikuta superstar afu Dada naye kamjibu utanioa mende limefurahiiii.Inaweza kuwa dalili ya kuchanganyikiwa pia.