Mtuhumiwa wa Ubakaji amwambia Mwandishi wa Habari “Afu we Camera man nikimaliza kesi ntakutafuta”

Mtuhumiwa wa Ubakaji amwambia Mwandishi wa Habari “Afu we Camera man nikimaliza kesi ntakutafuta”

Watuhumiwa wanne wa kesi ya Ubakaji na ulawiti ambao ni Askari wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) MT 140105 Clinton Damas maarufu Nyundo, Amini Lema maarufu Kindamba, Nickson Jackson maarufu Machuche na Askari wa Jeshi la Magereza C 1693 Praygod Mushi wakiondolewa mahakamani jioni hii kurudishwa mahabusu mpaka Agosti 28, 2024 ambapo kesi hiyo itaendelea tena.

Nyundo na wenzake wakati wakitoka Mahakamani mmoja wao alisikika akimwambia Cameraman kuwa akifanikiwa kumaliza kesi yao atamtafuta "Wewe cameraman nikimaliza kesi nitakutafuta" Endelea Kufuatilia kurasa Zetu kufahamu Kuhusu kilichojiri Mahakamani kuhusu Kesi hii leo Agosti 23, 2024.

NYUMDO

KINDAMBA

MACHUCHE
 
Watuhumiwa wanne wa kesi ya Ubakaji na ulawiti ambao ni Askari wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) MT 140105 Clinton Damas maarufu Nyundo, Amini Lema maarufu Kindamba, Nickson Jackson maarufu Machuche na Askari wa Jeshi la Magereza C 1693 Praygod Mushi wakiondolewa mahakamani jioni hii kurudishwa mahabusu mpaka Agosti 28, 2024 ambapo kesi hiyo itaendelea tena.

Nyundo na wenzake wakati wakitoka Mahakamani mmoja wao alisikika akimwambia Cameraman kuwa akifanikiwa kumaliza kesi yao atamtafuta "Wewe cameraman nikimaliza kesi nitakutafuta" Endelea Kufuatilia kurasa Zetu kufahamu Kuhusu kilichojiri Mahakamani kuhusu Kesi hii leo Agosti 23, 2024.

Kibaka huyu
 
Keshahakikishiwa kuwa atatoka huyo na ataendelea kutumikia kitengo chake cha ulawiti.

Jamaa kakubuhu mpaka anatamani wapiga picha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana, japo inahuzunisha, lol
 
Nyundo ni anajiamini balaaa, kwanza alivyokua anarukia defender, unabaki kupigwa na butwaaa.

Yulee kweli ni Mjedaa, naamini haswaaa. Woiiiiiih
Kwanza ashitakiwe pia kosa LA kutishia usalama wa mtu, mxxxiiiieeew zake.
 
Ni utovu wa nidhamu wa Hali ya juu sana,kwanza kwa binadamu aliyelelewa ktk maadili mazuri hapo anajua ni kosa kabisa kuingilia kazi ya mtu pia ni wazi Kuna shida katika makuzi ya sasa maana kwa Hali aliyonayo mtuhumiwa angekuwa anajuta. Na pengine kuwa mtu wa sala na toba na pia mtu mtulivu maana ni kwa Nini awe yeye na siyo mtu mwingine,hili Ndo swala la msingi angekuwa anajiuliza.Naisi wazazi wa Leo Kuna sehemu tunakosea,Ina maana akitoka afanye Tena jinai,duh Dunia inapitia pabaya sana.
Umeandika kitu ambacho kwa mara ya kwanza niliposikiliza hiyo clip nilikiona, MALEZI MABAYA hivi nguvu ya kujibu vile kaitoa wapi? Hao madogo wasichoelewa sasa hivi wanasiasa wanacheza na upepo wa wananchi sanaa hao WATAFUNGWA TU kwa vyovyote ili tu kuwapa watu imani na serikali hao madogo kwa malezi yao duni waliyoyapata ipo siku akili itawakaa sawa
 
Dah!Ila kweli,hakuna kinachoshindikana kwenye Tanzania hii ya kulindana
Tena watanzania walivyo wajinga wanazidi kumtaja afande ndio mwenye kosa baada ya kudili na Hawa dagaa waliofanya ubakaji wanamtaja afande yaani afande mwenye cheo kikubwa unamuunganisha kwenye kesi hii kama sio kutaka Hawa jamaa wasifungwe nini ndio maana jamaa wanajiamini watanzania wenyewe hawajielewi hivyo hamna kesi hapo
 
Back
Top Bottom