Mtuhumiwa wa Ubakaji amwambia Mwandishi wa Habari “Afu we Camera man nikimaliza kesi ntakutafuta”

Mtuhumiwa wa Ubakaji amwambia Mwandishi wa Habari “Afu we Camera man nikimaliza kesi ntakutafuta”

Nikuhakikishie tu wanaenda kufungwa na uzuri hukumu yao haicheleweshwi kutokana na kesi kusikilizwa mfululizo.

Usiniulize kwanini nasema hivi ila jua tu wanakula mvua nzito.
Hamna kitu hapo hamna ataefungwa hapo nimemaliza hivi kabisa tanzania hii ifunge askari mnajifurahisha tu na kupoteza mda kudanganyana huyo demu kashaliwa na hamna watalofanywa
 
Back
Top Bottom