Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Ulitaka kusema nini mkuu mbona umezibwa mdomo 😁😁😁😁nasoma komenti…
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka kusema nini mkuu mbona umezibwa mdomo 😁😁😁😁nasoma komenti…
Aaliyyah kila nikiona mambo ya chakula chakula nakukumbuka....Yeah, court martial wanautaratibu wa tofauti kabisa, unahojiwa mara chache tu kisha unapigwa risasi.
Kwa hiyo mwanajeshi ukimleta kwenye mahakama za kiraia, anaona kama ni wali biriani.
Usije kukimbia comment ama jukwaa hili.Hamna kitu hapo hamna ataefungwa hapo nimemaliza hivi kabisa tanzania hii ifunge askari mnajifurahisha tu na kupoteza mda kudanganyana huyo demu kashaliwa na hamna watalofanywa
Mkuu naomba tuongee vizri hapa..Alitembea na msichana wa mtaani (under 18 Ila hakuwa mwanafunzi)
Kitu Gani kinampa nguvu ya kutamka hayo Tena mbele ya askariWatuhumiwa wanne wa kesi ya Ubakaji na ulawiti ambao ni Askari wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) MT 140105 Clinton Damas maarufu Nyundo, Amini Lema maarufu Kindamba, Nickson Jackson maarufu Machuche na Askari wa Jeshi la Magereza C 1693 Praygod Mushi wakiondolewa mahakamani jioni hii kurudishwa mahabusu mpaka Agosti 28, 2024 ambapo kesi hiyo itaendelea tena.
Nyundo na wenzake wakati wakitoka Mahakamani mmoja wao alisikika akimwambia Cameraman kuwa akifanikiwa kumaliza kesi yao atamtafuta "Wewe cameraman nikimaliza kesi nitakutafuta" Endelea Kufuatilia kurasa Zetu kufahamu Kuhusu kilichojiri Mahakamani kuhusu Kesi hii leo Agosti 23, 2024.
Amewazoea jua pia na yeye ni mmoja wao mkuu...Kitu Gani kinampa nguvu ya kutamka hayo Tena mbele ya askari
Mzee wa kuweka oder kama kawaida yake naona kaweka tena oder Kwa mwandishi wa habari kama alivyoweka kwenye tukio kwamba "yeye akiingia ni Mavi tu mimi Mavi tu"
Hakuna ushahidi wa kuwatia hatianiKesi yao adhabu ni jela maisha....hawawezi kuchomoka hao WAHUNI na kama wakichomoka basi sheria zetu zitakuwa za ovyo sana.
Hakuna ushahidi wa kuwatia hatiani
Hao hawafungwi
Wataachiliwa huru
Hawajabaka wala kulawiti huo ushahidi haupo wazi.
Mtu aliyebakwa ushahidi unaonekana hapa hapo, Sasa huyo kabakwa mwezi wa nne,ashaoga ashasugua huo uchi Kwa maji na sabuni watapata wapi ushahidi.
dogo unaongea hadithi. Kapteni wa jwtz alifungwa kifungo miaka ya 2002 akiwa huko alijinyonga. waliomuua Swebe askari wa jkt walifungwa maisha. sijui unaongea nini. ni kweli tz ni nchi ya kipumbavu lakini amini kwamba hao machalii ni mbuzi wa kafara wanakwenda na maji. yule aliyewatuma kuna namna buku kuruka kesi bila hata kulindwa. madogo ni viazi imekula kwaoHamna kitu hapo tanzania hii haifungi askari yaani ufunge afande tanzania askari tanzania anapigiwa magoti demu kashaliwa na hamna watalofanywa hao
Kesi za ubakaji haziko hivo,Ingekuwa hivyo basi jinai ingekuwa na muda wa kuisha , yaani ukibaka na ukaonwa halafu mtu akaenda kuoga inafuta jinai? Hakuna ushahidi wa kimazingira? So daktari unadhani alienda kuthibitisha nini hata kama miezi minne imepita?
humu unaweza kudhani unaongea na mtu kumbe hazijatimia. wanapayuka usenge madogo.Ingekuwa hivyo basi jinai ingekuwa na muda wa kuisha , yaani ukibaka na ukaonwa halafu mtu akaenda kuoga inafuta jinai? Hakuna ushahidi wa kimazingira? So daktari unadhani alienda kuthibitisha nini hata kama miezi minne imepita?
Hana lolote huyo asifikiri kila mtu ni mdada. Camera man angempa namba ya simu kabisaWatuhumiwa wanne wa kesi ya Ubakaji na ulawiti ambao ni Askari wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) MT 140105 Clinton Damas maarufu Nyundo, Amini Lema maarufu Kindamba, Nickson Jackson maarufu Machuche na Askari wa Jeshi la Magereza C 1693 Praygod Mushi wakiondolewa mahakamani jioni hii kurudishwa mahabusu mpaka Agosti 28, 2024 ambapo kesi hiyo itaendelea tena.
Nyundo na wenzake wakati wakitoka Mahakamani mmoja wao alisikika akimwambia Cameraman kuwa akifanikiwa kumaliza kesi yao atamtafuta "Wewe cameraman nikimaliza kesi nitakutafuta" Endelea Kufuatilia kurasa Zetu kufahamu Kuhusu kilichojiri Mahakamani kuhusu Kesi hii leo Agosti 23, 2024.
kalikua kananyonywa Mtalimbo kaangalie tena vizuriHako kajamaa kalikuwa upande gan kwenye video
nani aliyemuona akujibuHivi ni camera man au camera woman
Vijana wamepewa Baraka kulindwa na na jeshi ya kumlawiti na kufira wananchiWatuhumiwa wanne wa kesi ya Ubakaji na ulawiti ambao ni Askari wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) MT 140105 Clinton Damas maarufu Nyundo, Amini Lema maarufu Kindamba, Nickson Jackson maarufu Machuche na Askari wa Jeshi la Magereza C 1693 Praygod Mushi wakiondolewa mahakamani jioni hii kurudishwa mahabusu mpaka Agosti 28, 2024 ambapo kesi hiyo itaendelea tena.
Nyundo na wenzake wakati wakitoka Mahakamani mmoja wao alisikika akimwambia Cameraman kuwa akifanikiwa kumaliza kesi yao atamtafuta "Wewe cameraman nikimaliza kesi nitakutafuta" Endelea Kufuatilia kurasa Zetu kufahamu Kuhusu kilichojiri Mahakamani kuhusu Kesi hii leo Agosti 23, 2024.