Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,506
- 2,518
Swali lingine unajua maandiko ya kiislam yameshuka kwa mida wa miaka mingap?.
Na wakat yanashuka nani alikuwa akiyaandika?
Duh ulisha yashuhudia haya au ndio bado uko na fikra za watu weupe.Ha matope gani juu lizamie?
Kisayansi maji ni H2o sasa maji yakikaribia jua molecules za hydrogen na oxygen zina separate through evaporation .
Jua ina composition kubwa ya hydrogen na oxygen ikiongozeka combustion (burning) ina take place
Huo ndio ushahidi wangu
Huo wa kuzama kwenye tope ni mawazo ya kitoto na ya kijima
Umevisoma au unabashiri jumla jumla tu?Bahati mbaya zaidi baada ya miaka kadhaa kupita navyo vitaonekana ni uongo kama vinavyoonekana vingine. MATERIALISM BELIEVED IN THEIR OWN PROVED FACTS NOT FROM OTHER.
Naomba unipe chimbuko ya neno Allah limetoka wapi? Historia yakeAllah ni jina la M/Mungu ambae hana mshirika wala mpnzani.
Hapo kwenye aya ya mwisho kabisa "............ambayo Mungu aliyaona" !!!!!!!??Kwani katika aya hiyo ambayo nimeinukuu ni nani anayeongea hapo? Ni Muhammad au Mungu pekee? Je,Ni Mungu na Muhammad au Dhul-Qarnaini? Ni nani anayemueleza Muhammad kuwa ikiwa kuna watu wanakuuuliza habari za Dhul-Qarnaini,sisi tutakupatia historia yake? Naomba utueleze ni nani hasa hapo anayempa Muhammad stori za Dhul-Qarnaini.Ikiwa ni Mungu,si ina maana ndiye aliyemuona Dhul-Qarnaini akiliona Jua likizama katika matope au vipi? Na kama Mungu aliliona Jua likizama katika matope kama alivyoliona Dhul-Qarnaini ni wapi kuna utata au uongo? Na kama ndivyo,nimekosea wapi kusema Muhammad ndiye aliyeliona Jua likizama katika matope?Hivi huelewi kuwa Muhammad anasema kwa kinywa cha Mungu yale yale ambayo Mungu aliyaona?
Kwa iyo mkuu unamaanisha jamaa ana mwili wa erick omondi alafu analazimisha kuvaa 'pichu' ya lemutuz[emoji50]Hahaha naona wewe ndio ushapata mlango wa kutokea kwa kutafuta kuhamisha mjadala , si umeona sasa nilikusihi kwenye paragraph ya mwisho na hukunielewa.. hahaha eti ili Muhammad apate picha gani, kumbe hata hujui hiyo habari ya Dhil Qarnain ilianzaje mpaka ikafikia hapo, eti 300 BC ndo umeona ajabu, na ya manabii wengine yaliyozungumzwa kwenye Qur'an kina Adam, Noah, Idriss, Daud, Solomon, Ibrahim, Musa mbona hujajiuliza ilikuwa B.C ngapi ? Yaani hapo ndo umedhihirisha uko mtupu kwenye masuala haya... Mkuu bora utafute mada nyingine ya kujadili, hii itakuwa too big for you my dear bro..
Shukurani ya Punda mateke.Bahati mbaya zaidi baada ya miaka kadhaa kupita navyo vitaonekana ni uongo kama vinavyoonekana vingine. MATERIALISM BELIEVED IN THEIR OWN PROVED FACTS NOT FROM OTHER.
Umepita juu juu sanaMimi nilivyosoma Quran nikakutana na aya inasema kuna watu Mungu kawafanya mioyo yao iwe migumu wasimjue, akawaziba macho na masikio wasimjue, halafu Mungu huyo huyo atawahukumu watu hao hao kwa kutomjua Mungu, nikaona hiki kitabu ni cha kijinga sana.
Sijaonge kuhusu mungu kwenye comment yangu hebu isome vizuri. Nachotaka kukuuliza hivyo vitabu yaliyoandikwa humo umeyaprove mwenyewe isije ikawa nao ni makajanja kama huyo Muhammad au Yesu.Umevisoma au unabashiri jumla jumla tu?
Hujathibitisha Mungu yupo bado.
Hilo nalo ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.Umepita juu juu sana
Kwa iyo wew unataka mshahara bila kufanya kaz! !![emoji113]Kama kweli nina mawazo mafu, basi hilo nalo linathibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Angekuwepo, asingeumba kiume cheneye mawazo mafu.
Soma ujihakikishie mwenyewe tujadili hapa.Sijaonge kuhusu mungu kwenye comment yangu hebu isome vizuri. Nachotaka kukuuliza hivyo vitabu yaliyoandikwa humo umeyaprove mwenyewe isije ikawa nao ni makajanja kama huyo Muhammad au Yesu.
Mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao kazi haihitajiki, kila kitu kiko sawa siku zote bila kazi?Kwa iyo wew unataka mshahara bila kufanya kaz! !![emoji113]
Na wewe unafurahi, umekubali Quran ina uongo?Ahahahahahahahhhaha awez fanikiwa hoja yake imekufa wako wengi humu mtu anatoa mada kama great thinker kumbe ni mfia dini
Hujathibitisha Mungu yupo.hoja yako iko wap
Hiwezi kuyajibu kwa sababu huna jibu.Swali la msingi la mtoa mada limejibiwa sasa aya mengine sijui hakuna Mungu mara mohamad sijui kaongea na mungu yafunguliwe uzi mwengine pia tutayajibu hakuna matata
Kwa sababu alijua watatokea vichwa ngum km wew ambao utawapa lift kweny gari alafu bado atakuuliza mbona gari lako huwashi ACMungu huyo angekuwepo, asingetupa gharama isiyo na lazima ya kuhitaji kitabu kumuelewa.
Angetuumba ubongo tayari umesha download habari zote za kitabu kumuelewa.
Ukiona unaambiwa kuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na uwezo wote, halafu habari zake zimeandikwa katika kitabu, jua huyo aliyeandikwa kwenye kitabu si huyo Mungu anayesemwa.
Kwa sababu Mungu mjuzi hivyo, mwenye uwezo hivyo na upendo hivyo angetupa yote yaliyo katika kitabu katika vichwa vyetu tusingehitaji kuhangaika kujifunza lugha nyingine, kutafsiri, kubishana kuhusu tafsiri na uhjinga mwingine mwingi.
Kwa nini atupe kazi ya ziada viumbe wake anaotupenda wakati ana uwezo wa kurahisisha mambo hayo kwa kutupa kila kitu kichwani?
Alishindwa kuwaumba wasiwe vichwa ngumu?Kwa sababu alijua watatokea vichwa ngum km wew ambao utawapa lift kweny gari alafu bado atakuuliza mbona gari lako huwashi AC