Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Duh ulisha yashuhudia haya au ndio bado uko na fikra za watu weupe.
 
Bahati mbaya zaidi baada ya miaka kadhaa kupita navyo vitaonekana ni uongo kama vinavyoonekana vingine. MATERIALISM BELIEVED IN THEIR OWN PROVED FACTS NOT FROM OTHER.
Umevisoma au unabashiri jumla jumla tu?

Hujathibitisha Mungu yupo bado.
 
Hapo kwenye aya ya mwisho kabisa "............ambayo Mungu aliyaona" !!!!!!!??
Mungu haoni na haitaji kuona.. Mungu anajua kila ktu kabla hakijatokea sababu vyote anaamua yeye kipi kitokee na kwa wakat gan.
 
Kwa iyo mkuu unamaanisha jamaa ana mwili wa erick omondi alafu analazimisha kuvaa 'pichu' ya lemutuz[emoji50]
 
Bahati mbaya zaidi baada ya miaka kadhaa kupita navyo vitaonekana ni uongo kama vinavyoonekana vingine. MATERIALISM BELIEVED IN THEIR OWN PROVED FACTS NOT FROM OTHER.
Shukurani ya Punda mateke.

Hapa unatumia teknolojia zinazotokana ma sayansi hiyo hiyo unayoiponda.
 
Umepita juu juu sana
 
Umevisoma au unabashiri jumla jumla tu?

Hujathibitisha Mungu yupo bado.
Sijaonge kuhusu mungu kwenye comment yangu hebu isome vizuri. Nachotaka kukuuliza hivyo vitabu yaliyoandikwa humo umeyaprove mwenyewe isije ikawa nao ni makajanja kama huyo Muhammad au Yesu.
 
Umepita juu juu sana
Hilo nalo ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo angeweka neno lake kwenye DNA. Hakuna mtu angelipitia juu juu.

Kama yupo, kwa nini hakufanya hivyo?
 
Kama kweli nina mawazo mafu, basi hilo nalo linathibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeumba kiume cheneye mawazo mafu.
Kwa iyo wew unataka mshahara bila kufanya kaz! !![emoji113]
 
Sijaonge kuhusu mungu kwenye comment yangu hebu isome vizuri. Nachotaka kukuuliza hivyo vitabu yaliyoandikwa humo umeyaprove mwenyewe isije ikawa nao ni makajanja kama huyo Muhammad au Yesu.
Soma ujihakikishie mwenyewe tujadili hapa.

Ukiniuliza mimi halafu nikakudanganya, kama hujasoma utajuaje?

Au kama nimeelewa vibaya nikakupotosha, utajuaje?

Soma na wewe utoe chako kutokana na ulivyosoma.

Usisubiri kutafuniwa na mtu.
 
Swali la msingi la mtoa mada limejibiwa sasa aya mengine sijui hakuna Mungu mara mohamad sijui kaongea na mungu yafunguliwe uzi mwengine pia tutayajibu hakuna matata
Hiwezi kuyajibu kwa sababu huna jibu.

Huna jibu kwa sanabu huyo Mungu hayupo.

Acha kusingizia uzi mwingine.
 
Yani jamaa kaandika uzi alafu tayari kajiandalia na majibu ya na tayari ana mtazamo wake kaja kuweka hapa ili watu wajue mtazamo wake juu ya jambo husika sasa yote ya ya nini si ungebaki na mtazamo wako huko huko unasoma Quran masaa matatu then unajifanya umeshaielewa yote angali aya moja inafanyiwa tafsiri takribani siku nzima
 
Kwa sababu alijua watatokea vichwa ngum km wew ambao utawapa lift kweny gari alafu bado atakuuliza mbona gari lako huwashi AC
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…