Hahaha naona wewe ndio ushapata mlango wa kutokea kwa kutafuta kuhamisha mjadala , si umeona sasa nilikusihi kwenye paragraph ya mwisho na hukunielewa.. hahaha eti ili Muhammad apate picha gani, kumbe hata hujui hiyo habari ya Dhil Qarnain ilianzaje mpaka ikafikia hapo, eti 300 BC ndo umeona ajabu, na ya manabii wengine yaliyozungumzwa kwenye Qur'an kina Adam, Noah, Idriss, Daud, Solomon, Ibrahim, Musa mbona hujajiuliza ilikuwa B.C ngapi ? Yaani hapo ndo umedhihirisha uko mtupu kwenye masuala haya... Mkuu bora utafute mada nyingine ya kujadili, hii itakuwa too big for you my dear bro..