Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.

Naona wewe unafikiria mimi nimesoma Kurani kwa kudokoa.Hayo mambo ya manabii wa zamani subiria muda wake ukifika utabaki mdomo wazi.Kumbe najadiliana na mtu aliyekariri Kurani.Hapa nimeanza kutikisa Kurani kwa kipengele kimoja tu katika Sayansi.Nina mambo mengi sana.Kwa hiyo, stay tuned.Mimi huwa siandiki mambo ya kubumba hata siku moja.Ukiona naandika maana yake nimefanya utafiti.

Mpaka leo huelewi Kurani imejaa nini na Muhammad mambo hayo alikuwa anayatoa wapi? Tulia utapewa moja baada ya jingine tena kwa ushahidi mzito.
 
Dhu'l Qarnnain inasemekana ni Alexander the Barbarian ila mohamed bin abdullah kama kawaida yake aliisikia hii story akaicopy ovyo!!!

hekaya zake ni nyingi tu

the earth is flat like a carpet-quran 2:22
there are 7 earths-quran 65:12
the sun and moon chase one another-quran 36:38-40
the sky would fall on earth if allah didn't hold it up-quran 22:65
quran 31:31 ships sailing through the sea is a miracle by allah
bukhari kitabul ta'abir
"seeing a black woman in a dream is the sign of an oncoming epidermic"
 
Za kuambiwa changanya na za kwako

Nichanganye na zangu kwa kujiongeza kivipi?Kwamba Kurani haijaandikwa na Mungu na kisha kufungwa na kupewa Malaika Gabrieli na kisha akawa anasoma mstari mmoja baada ya mwingine kwa Muhammad?
 
kwani wewe unaposikiaga waswahili wakiizungumzia mbingu "" huwa unawasikia wakimaamisha nini" Mimi namaanisha" hiyo rangi ya blue " onayoonekana angani" so Kama wewe waiongelea hiyo " mbona watu wanapita " hapo
Kwa kiswahili chetu neno anga lina maana ya uwazi uliopo kuanzia usawa wa ardhi kwenda juu uliojaa hewa za aina mbalimbali pia humo Nyota, mwezi na jua vipo humo. Lakini anga kwa maana ya FIRMAMENT ina maana ni kitu kinachotenganisha maji yaliyo juu ya mbingu na yaliyo chini. Rejea GENESIS 1:6-9 "Mungu akasema," NA liwe ANGA katikati ya MAJI na MAJI. Mungu akalifanya Anga, akayatenga yale MAJI YALIYO JUU YA ANGA NA YALE MAJI YALIYO CHINI YA ANGA; ikawa hivyo. Mungu akaliita lile ANGA Mbingu. 9.Mungu akasema Maji yaliyo chini ya Mbingu yakusanyike mahali pamoja. ..

MY WORDS.
Anga linalosema na neno la Mungu ni zaidi ya uwazi uliojaa hewa na gas mbalimbali bali anga ni pamoja na paa linaloifunika dunia ambalo pia paa hilo limebeba maji yaliokuwa juu ya mbingu.
 

Hongera mkuu!Leo tuna moja tu hili la Jua kutua katika matope.Bado kuna mambo ya historia yalivyoandikwa visivyo.Mambo ya kisayansi yalivyoelezwa visivyo.Bado mambo ya Lugha ya Kiarabu kuandikwa visivyo na lugha ya Kiarabu kuchanganywa na lugha zingine wakati Kurani inadaiwa kushushwa kwa Kurani pekee! Stay tuned!
 
ndio maji ya matope jua linapozama😀🙁🙁🙁
 
Daah...huu uzi uko jukwaa sahihi kabisa maana una hoja nzito sana. Kama na kwenye kitabu cha wakristu cha Biblia kuna sentensi inayosema Joshua alisimamisha jua....je huu si ushahidi kuwa Mungu anasema Jua ndilo huzunguka dunia na siyo vinginenvyo?
Kwa hiyo ilitakiwa iwe alisimamisha dunia?
 

Nimependa sana mstari wa mwisho mkuu.
 
Kwaiyo kwa mujibu wa hizo picha unakubali jua linaweza kuonekana linazama katika matope,maji au nyuma ya mlima?

Mimi siwezi kutoa majibu kwa kuangalia picha tu! Mbona unataka kunipeleka katika kufikiri kama Mende? Kwa hiyo, unataka mimi kunifikirisha kuwa nikiona tu Picha ya mtu nisiyemfahamu nihitimishe kuwa ni wewe? Yaani nione picha hizo kisha nihitimishe kuwa ni Jua hilo? Vipi kama hicho ninachokiona katika picha zako ni Tochi kubwa sana ndio inaonekana katika hizo picha zako?
 
Sikupingi kwa mifano ya kisayansa ila hizo zimeelezea kituo ambapo jua likitua atakuta watu aliotakiwa awakute aina maana jua linatua tu na ndio maana binadamu awez kanyaga maji akatembea kwa jua lakn kiiman watu wametembea kwenye maji ni mambo ya kiiman kwa muktadha maalum
 


Suala la Yesu kutembea juu ya maji, suala la kubadilisha maji kuwa mvinyo na kujaza makombo ya samaki wawili wasiojaa hata robo ya kikapu kwenye vikapu kumi. Kisa cha Mussa kapiga maji kwa fimbo yakagawanyika, Joshua kusimamisha Jua ambalo halizunguki,YOTE HAYO ni miujiza.Sasa naomba kuuliza kuwa suala linaloongelewa na Muhammad mintarafu sula la Jua kuzama ni muujiza ndio ulikuwa unatokea?
 
Basi ukifika mda wa machweo tupigie picha wewe jua alafu tutakuambia kile tunachokiona linazama wapi.
 
Ila Yoshua aliekasimamisha Jua sio uongo? Na vipi sayansi inasemaje mtu akifa anaweza kufufuka kama Biblia inavyotuaminisha juu ya Yesu na Lazaro au napo tumepigwa?

ahaa! Huko huko kwenye imani Kuna sababu ya kuamini! ILI JAMBO LITHIBITIKE UKWELIBWAKE LAZIMA KUWE NA MASHAHIDI WAWILI HADI WATATU [emoji117] hivyo kisa cha Jushua na Yesu MASHAHIDI WALIO SHUHUDIA WAMETIMIA...sasa kama hicho kisa cha jua kuzama matopeni tuwekee hata Dalili za mashahidi!
 
Nimekuuliza hivyo sababu wewe umemuuliza mtu huko juu kwamba lini Muhammad alienda Mekodonia akaliona hilo jua linazama kwenye tope sasa ndio nakauliza hiyo habari anayesimuliwa kuliona ni Muhammad au Dhel qanain?

Kasome upya Kurani mkuu!Kafanye hivyo kwa faida yako.Mungu aongelee suala la Alexander the Great kwa Muhammad kwa faida gani hasa? Kuna relevance gani katika hicho kisa cha Alexander kuliona Jua likizama na jamii ambayo Muhammad alikusudiwa kupeleka huo Ujumbe? Kwa mfano,nikuulize leo kwa Uislamu wako, hicho kisa cha Alexander the Great kuliona Jua likizama katika matope kinakusaidiaje wewe katika maisha kiasi kwamba hata hiyo aya isalie humo kwenye Kurani?
 
Mimi sipo kiimani nipo kisayansi hayo mambo tunathibisha vipi kisayansi?
 
Basi ukifika mda wa machweo tupigie picha wewe jua alafu tutakuambia kile tunachokiona linazama wapi.

Mkuu hata nikikupigia picha haitasaidia kujibu hoja iliyo mbele yako.Usipende kunitoa kwenye reli.Kapige picha wewe mbashara na majibu utayapata.Hoja hapa ni kwamba ikiwa Mungu alikuwa kwa mjibu wa Aya hiyo ya Kurani anamuadithia Muhammad alichokiona Alexander the Great(Dhul-Qarnaini), ina maana Mungu naye si alikuwa analiona Jua likitua katika matope au vipi? Na kama ndivyo,kama Muhammad ameripoti habari hiyo sawa sawa na alivyoadithiwa na Mungu, si ina maana Muhammad naye aliamini stori hiyo au vipi?

Hiyo ndio hoja inayohitaji majibu.Mambo mengine ni kujaribu kututoa katika reli tu.
 

Ni sehemu gani sasa hapo lilipotua Jua halafu akawakuta hao watu? Ni sehemu gani mahali hapo duniani? Na watu gani hao au ni akina nani ambao walikuwa hapo Jua lilipotua kama njia ya kuwa-iedentify?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…