Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
we kinakuuma nini acha unoko famba we.Wakati wa uongozi wa aliyekua DG wa NSSF William ERIO NSSF ilijaa matumizi mabaya ya fedha za shirika mpaka kufikia kumlipa mfanyakazi sh milioni 26 za UHAMISHO akitoka makao makuu Posta akihamia ofisi ya Kinondoni DSM.
Maajabu kama haya unayapata nchi zenye mfumo wa hovyo katika Taasisi.
Acha ujinga mtu anaeleza ufisadi wa Erio wewe unataka kumtetea, sasa keshatumbuliwa sjui utamlamba nani tena miguuwe kinakuuma nini acha unoko famba we.
Si mlisema serikali ya JPM ndio serikali nzuri kushinda zote zilizopita? Mkajinasibu kuwa hakuna rushwa wala mlungule,,hamkuishia hapo mkasema sasa wanyonge na masikini kama mlivyo wabatiza kuwa sasa shida zao kwishaWakati wa uongozi wa aliyekua DG wa NSSF William ERIO NSSF ilijaa matumizi mabaya ya fedha za shirika mpaka kufikia kumlipa mfanyakazi sh milioni 26 za UHAMISHO akitoka makao makuu Posta akihamia ofisi ya Kinondoni DSM.
Maajabu kama haya unayapata nchi zenye mfumo wa hovyo katika Taasisi.
Mv Dar es Salaam , hahaaaaa iliisha hivihivi kama wingu vile, hatari sana nchi hiiMbwembwe tu hizo mbona yeye mwenyewe JPM alishindwa kutapika 1.5 trillion alishindwa kutapika hela za kivuko kibovu kilichonunuliwa akiwa waziri wa ujenzi tena wizara yake ndiyo ilikinunua? alishindwa tapika nyumba aliyompa hawara yake?
Ni aina ya wizi piaMashirika mengi huwa wanafanya hivi Ili kuwasaidia wastaafu maana mtaani kigumu na upatikanaji wa mafao ni kizungumkute
Wakati wa uongozi wa aliyekua DG wa NSSF William ERIO NSSF ilijaa matumizi mabaya ya fedha za shirika mpaka kufikia kumlipa mfanyakazi sh milioni 26 za UHAMISHO akitoka makao makuu Posta akihamia ofisi ya Kinondoni DSM.
Maajabu kama haya unayapata nchi zenye mfumo wa hovyo katika Taasisi.
Kisheria za utumishi wa Umma kwa uhamisho huo huyu jamaa alipaswa kulipwa disturbance allowance tu( posho ya usumbufu kwa kuhamishwa kituo cha kazi) kwasababu umbali wa kituo kipya anachoenda hauzidi kilometa 5 na yuko ndani ya mji mmoja!! Ukipiga hesabu ili upate hiyo disturbance allowance ya 26M ina maana Gross Salary yake kwa mwezi ni Tsh 21,666,666/=. Sasa hapa najiuliza huyu jamaa alikuwa na mshahara huu kwa mwezi? Huu ni Wizi!! Kwa sababu alishajulikana naomba TAKUKURU waingie kazini Akazitapike hela hizo na alioshirikiana nao. Watu hamuwalipi mafao yao kazi kuwazungusha tu kumbe mijitu yenyewe Mijizi tu!! Nina hasira sana!!! Anayeweza peleka information hii TAKUKURU apeleke fasta!!
[emoji51][emoji51][emoji51]
Angekuwepo Magufuli haya mambo yasingetokea lakini nyie mliokuwa mnamponda sasa mnaanza kulia lia!Aya bila Shaka yametokea JPM akiwa Bado hai
Joji Paka MutuJPM yupi mkuu?
Ufisadi hauwezi kuisha ila unapungua.Si tulikubaliana Ufisadi wote uliisha kwenye Serikali ya Shujaa wa Afrika?
Unajitoa ufahamu hujui alikua raisSasa magufuli hapo anahusikaje
Mkuu nakutafuta nilipoteza sm...pls help
Sasa akiwa rais anafuatilia hata malipo ya transfers kweli[emoji848][emoji848][emoji848]Unajitoa ufahamu hujui alikua rais
Unachukuaje fuso kuhama ofisi , ? maana haingii akilini ati alihama na makazi
Ikiwa chini ya CCM, so laumu CCM na siyo nchi.Wakati wa uongozi wa aliyekua DG wa NSSF William ERIO NSSF ilijaa matumizi mabaya ya fedha za shirika mpaka kufikia kumlipa mfanyakazi sh milioni 26 za UHAMISHO akitoka makao makuu Posta akihamia ofisi ya Kinondoni DSM.
Maajabu kama haya unayapata nchi zenye mfumo wa hovyo katika Taasisi.
ccm ni chawa.Sasa akiwa rais anafuatilia hata malipo ya transfers kweli[emoji848][emoji848][emoji848]
Unashangaa 26m erio na genge lake wakiwa ppf walikuwa wanajilipa hadi 500m kila baada ya miaka miwili ilopelekea chief account kufukuzwa kwa kutaka kuingilia wizi ule,Wakati wa uongozi wa aliyekua DG wa NSSF William ERIO NSSF ilijaa matumizi mabaya ya fedha za shirika mpaka kufikia kumlipa mfanyakazi sh milioni 26 za UHAMISHO akitoka makao makuu Posta akihamia ofisi ya Kinondoni DSM.
Maajabu kama haya unayapata nchi zenye mfumo wa hovyo katika Taasisi.