Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

lazima afukuzwe kazi mana anaowahudumia ni watu na wanadini na miongini mwao waislam wakiwepo,
amekiuka maadili ya kazi
hawezi toa huduma kwa usawa that why anachuki ya kidini
Mkuu angeshindwa kutoa huduma kwa mtu ambaye si dini yake huko kazini hapo kweli tungeona kosa ila alichofanya sioni kuhusiana na kazi yake.
 

Huyu kufukuzwa kazi ni sawa, ingawa Mimi ni Morisot
 
Uchawi unathibitishwa kivipi?
Wameuwa mtu asie kuwa na hatia kama kosa lake ni uchawi.

Uchawi unathibitishwa kwa athari na kuna ishara za kujua uchawi na kujua mtu amefanyiwa uchawi, huyo mpaka amepewa hiyo hukumu watu wamejiridhisha ndio maana kauliwa.

Sasa unapokubali kwamba ni mchawi kisha unakanusha kwa kusema ni mtu ambae hana hatia, inaonyesha ni kwa namna gani hujui unacho egemea. Huu ujinga huwa nauona jf pekee watu wajadili jambo wasilokuwa na elimj nalo.
 
Abuu Dharr,
Hapo ndo mutakua mmefanya busara kuliko kuchinja ..ila all in all jamaa kakosea. ...maana ujinga mdogo unaeza Leta machafuko nchi nzima....na ukweli wasingemkamata polisi..huyu angekua akhera madukani....
 
Hapatetewi makaratasi,kinachotetewa ni uvunjifu wa amani.Wafikiri kitendo,cha kukashifu imani ya mtu ni kidogo?Lakini waislam,wa eneo husika,wapewe pongezi,kwa kuwa wavumilivu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haiwezi kumwachia , yule kasema( kaandika) kutokana imani yake anaweza akatoa reference lakini yy kaichana Quran ,sijui Ana reference gani
Si inakera lakini kwa mtu anaeamini kwamba Yesu ni Mungu? Reference ya imani ya mtu mwingine inaweza kutumika kwa imani ya mtu mwingine?

Kijana amekosema kuchana hicho kitabu lakini kama kutakuwa na majadiliano huru mahakamani, ni nani anayeweza kuonesha pasipo shaka Quran tukufu ni nini? Jee iliyohifahdiwa kwenye CD/Flash mtu akiifuta nayo itaheshabika ni kosa?

Kama taifa tutoke kwenye kushabikia vitu visivyojenga Imani zetu badala yake tuingie kwenye kupambana na huyo "Shetani" anayetufanya sisi tuwe watu waovu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…