Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Hahaha hakuambiwa ukiichana utajiua yeye aliambiwa ukichana utakufa....au ulitaka amsaidie allah mwa kujiua?
Vema pumzi mali yako. Na hutaelewa kamweKuchana hadharani kuna kuhusu nini wakati kitabu kakinunua yeye? Kosa kama kachukua cha mtu mwingine haya mambo ni kuendekeza upuuzi tu kwani vitabu kama hivyo vimeisha madukani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes hiyo ni kweli , Bob Marley ni schoolar kuliko profesa wa jalalaniUmesomea wapi ujinga?
Ni sheria ipi inasema wanaofanyiwa citation ni scholars tu? Hata nikimnukuu kichaa nitafanya citation so long as sio maneno yangu.
FidQ anaweza kuwa scholar kuliko scholars wenyewe kama akina Kabudi na Dr. Jiwe. Ndo maana nilisema there's more content to that sentence kuliko unavyodhani na ndo elimu yenyewe.
kwani yeye chizi?Si angechoma biblia
Mimi kwani naumia? Hata chembe!
amechana karatasi yenye maandishiya Qurani...
Kiini cha hoja yangu umekiona? Hivi kabla ya utaalam wa kuchapisha kutokea Quran ilikuwa unaijuaje kwamba hii ni Quran? Maana enzi za mtume Mohamed (S.A.W) mitambo ya uchapishaji haikuwepo?Aliyefuta kafuta hadharani?Hata huyu,angechana mafichoni,nani angemuona?Na yasingemfika hayo,yakukaa korokoroni.
Mwambie aache mihemuko kama ndivyo mbona kwenye swala la tito yeye kama waziri hakuhusika ila kamanda wa polisi wa mkoa husika mbona na swala la morogoro asimwachie kamanda wa mkoa huo,jaffo asijisahau cheo alichonacho ni dhamana kwa watanzania asitugawe watanzania kwa ujinga wa mtu mmoja.Hili suala mkuu halina tofauti na la Nabii Tito ambaye alikamatwa pasina sababu ya msingi toka,toka siku ile niliona kabisa jinsi hii serikali inavyojihusisha na masuala ya kidini.
Hilo jamaa ni punguwani ndiyomaana nimelipuuza tu, eti nisimnukuu kama vile huu mtandao ni babaake.
Hoja zako nimezipenda SANA kwani zimejaa mantiki ya hali ya juu sana. Lakini hebu tuanzie hapa, Qur'aan nini?Ndio amechana Qur'aan yenyewe.
Hoja zako nimezipenda SANA kwani zimejaa mantiki ya hali ya juu sana. Lakini hebu tuanzie hapa, Qur'aan nini?
kwanini achane, hiyo ndio hoja yakujadiliwa tuachane na kutetea ujinga. Mpaka anakichana maana yake alidhamilia na kuna kitu alikuwa anakijaribuAlichana akiwa wapi, kwa nini achane?
Ni suala la hekima tu ya mtu,ila ulabu twanya sana na huingizia taifa mapato mengi sana!Kitwanga ulevi umemtoa uwaziri muhimu sana, hilo nalo la kujisifu?
Imo katika Biblia, Mithali 20:1 "Mvinyo hudhihaki, kileo huleta ugomvi; Na akosaye kwa vitu hivyo hana hekima."
This is why i don't like Islam.Kwa nini wamemuacha wasingempiga jambia moja la kichwa.
Swadaqta wa Amanata... Ndg mpendwa usijiangushe wala usijshushe..hiyo hoyo ilmu ulanayo ina msingi mwema na imara katika dini hii adhimu... hapa IMANI ya KIISLAM ndiyo thamani itakayo kubeba hapa duniani na Akher inshaAllah ..Ndio amechana Qur'aan yenyewe.
Waislamu wenye kulichukulia jambo hili kwa jazba, hawana elimu juu ya Uislamu wao, hilo mosi.
Pili,kuna kitu kilichopelekea hili, tumeusiwa sana tusioende mijadala ya dini, kwani mara nyingi hupelekea kutukaniwa vipenzi vyetu (Allah, mtume wetu, na mitume na manabii wengine na waja wema walio pita). Kwahiyo tunatakiwa kujiepusha na mijadala hasa sisi ambao hatuna elimu ya hii dini.
Tatu, uvumilivu jambo la msingi sana ukiwa katika nchi kama hizi ambazo hazitawaliwi kiislamu, kwani kuondoa udhia katika nchi kama hizi kunataka elimu na maarifa mapana tena kwa kuangalia faida na hasara.
Nne, ningekuwa mimi ndio mwenye mamlaka, huyo mtu ningemuachia, ila najua Allah aliye juu hatomuacha hivi hivi, atamlioa stahiki yake tu kwa namna anayoijua Allah.