Sio propaganda ameandika Hawachi nduguyo katika imani mwanzo mwa uziWaooW.. Kaka mpendwa ndg raia mwenzangu Karibu hapo umenena maneno asilimia kubwa ushaingiza mguu mmoja ktk Uisalamu ..Amini usiamni Hakuna mambo ya jambia wala kutukana ktk uislam.. hizo uzisikiazo na jazba binafsi na Samahani kusema DMP (Daily Media Propagandas) Nakuhakikishia kuna Amani na ridhaa ya nafsi hutoipata kokote...
Kesho kutwa April tunapokea Mwezi mtukufu wa RAMADHANI nawe utahakikisha... Tafadhwal karibu ktk dini yenye DEMOKRASIA pana na huru. (hata ukitaka wake 4 utapatiwa..muhimu uwe vizuri)
Sasa manabii na mitume wote wa kale kabla ya ujio wa mwamedi na dini yake watajibu kwa lugha gani?Qur'an imetetemshwa kwa lugha ya kiarabu, na hata kaburini na siku ya hukumu tutaulizwa kwa lugha ya kiarabu. Na sio kiswahili, kikurya, kiingereza wala lugha yoyote ile.
Wazungu wamewapotosheni nyie viumbe 😂😂
Alafu mkakopi maneno ya wahuni mkayaweka kwenye kitabu chenu?
Ebu chukua noti ya 1000 uliyo itafuta kwa nguvu yako alafu nenda mbele ya kituo cha polisi kaichane, au kanunue bendera ya taifa nenda kaichome moto ili tukuone ushujaa wako wa kutetea upuuzi uko wapi.
Ndiyo Mungu atamwadhibu ila serikali imemsaidiatu kumlinda na hasira za Watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muislamu hawezi chana injiri katu,sababu tunatambua uwepo wake licha ya mapungufu ila kimetoka kwa allah.tatizo watu wengi ktk wagalatia hawana elimu ya kitabu hicho wanacho jinasibisha nacho kuwa chakwao,na pia hawatambui historia za mitume walikuja vipi na kwampangilio upi.ndio maana haishangazi kiongozi wa kigaratia kula nguruwe au waumini kunywa pombe na wala hawaoni kama nikosa. Huyo hakuwa wakupeleka gerezani unapoona mmea mbaya unachipua ktk mimea ilio nafaida usahihi ni kuuondoa ule mbaya ndio lugha yakueleweka
Sent using Jamii Forums mobile app
Muwe waelewa bac ninyi manaswara/wayahudi weuc Hebu lete hilo andiko/ aya inayosema hayo unayoropoka!!
Tena afukuzwe kabisaNdio maana amekamatwa akapambane na sheria za nchi kwa mujibu wa katiba, Sasa amaesimamishwa kazi kwa sababu gani wakati tukio alilofanya halihusiani na kazi yake? Kwa mfano, je, mbunge akikamatwa kwa sababu ya uvunjifu wa amani spika humfukuza bungeni?
Shukran ndg D'Witt J.. karibu sana ktk hii multi Nation. FYI mwenyeezi Mungu ndiye aliyetuumba sote na kutupa viungo sawiya na Ndimi(ulimi) tunazungumza na kuelewka hivyo Mtukufu Mungu husikia lugha na lafudhi zote, nae ndiyo mwenye haki na uaamuzi akitakacho na kumpa amtakae.!!Sio propaganda ameandika Hawachi nduguyo katika imani mwanzo mwa uzi
Unachanganya kwa mifano isiyoendana fedha na bendera ya taifa ni alama za taifa, sheria inasema hivyo ukichana au kudhalilisha ni kosa kisheria. Hii ni kwamujibu wa civics tuliyofundishwa form one.
Sasa vitabu vya dini na vingine vyote havina sheria inayolazimisha mtu avitunze kikubwa asichafue mazingira akiwa anavichoma au kuvichana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chaajabu sijui kwanini polisi wamempeleka gerezani! Wangemuacha tu ili wengine wapate pepo kupitia mgongo wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani kuchana kitabu ndio imekua jau kiasi hicho? Dah kweli duniani kuna vituko.
Mungu wako anaejitetea yuko wapi?hatuangamii kwa sababu ya mafuta sisi.baki hukohuko kwenye mungu wako anaejitetea,hatukushawishi uje huku kwa mungu asiyejitetea.Majina yote unayoona yanafaa kuyaita ita tu uislam utabaki pale pale.ila mkileta za kuleta ni mwendo wakujilipua tuSasa kwa staili hii unadhani kuna mtu ataacha kuuita uislamu ni ugaidi?
Unadhani mimi nitashawishika kuwa muumini wa imani hiyo ambayo Mungu wake hawezi kujitetea?
Waislamu,wapewe pongezi,kwa kutomgusa,kumpiga au kumtukana,wakati akifanya ujinga huo.Kwa hiyo wenye dini ni wastaarabu,sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una hakika gani,kama huyu,aliyechana Qur'an,kama ana dini.Yaonyesha wazi ni mpagani.Hakuna mkristo,anayefanya mambo kama haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kitu kinaitwa Ethical issues amevuja maadili jamii lazma, uheshimu dini nyingine hata kama wewe sio muumini wa dini hiyo.
kile kitabu sio kama vile vya nyambari nyangwine, au riwaya na tamthilia
Kama nakuelewa vileSerikali imepima nidhamu na mihemko ya wenye misimamo mikali, kwamba je bado mtaani watu wanamihemuko au lah!!
Trust me ingekua kipindi kile ni maandamano morogoro nzima.
Jibu ni kwamba hata wakiiba kura hakuna wakufurukuta mtaani
Sent using Jamii Forums mobile app