Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Si hekima pekee. Soma...

1 Wakorintho 6:
9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Ulabu mtamu,Mwenyezi Mungu atatusamehe tu!
 
Hii ni mihemko isiyokuwa na maana ktk utumishi wa umma. Amemsimamisha kazi kwa kutumia kifungu kipi cha sheria za kazi? Kuna mahali pameandikwa kuwa mtumishi wa umma akichana kohorani asimamishwe kazi? Aache hizo. Analogia Malenga,

Sent using Jamii Forums mobile app
Unakumbuka ile kesi ya yule kijana aliesema Yesu si Mungu?, wakati wa Mwinyi..

Kwani yule jamaa alifungwa kwa kifungu gani cha sheria?..
 
Unakumbuka ile kesi ya yule kijana aliesema Yesu si Mungu?, wakati wa Mwinyi..

Kwani yule jamaa alifungwa kwa kifungu gani cha sheria?..
Yule kwani alikuwa mfanyakazi? Alisimamishwa kazi?
 
Mungu ninayemwamini amuhukumu mtu wa lugha yake, jinsia yake wala matendo yake maovu Mungu ninayemwamini anamuhukumu mtu kwa sababu moja tu ya kutokumuamini Kristo.

Matayo:28.19
Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
Matayo:28.20
na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
Marko:16.15
Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
Marko:16.16
Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
Marko:16.17
Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya;
Marko:16.18
watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
Matayo:24.14
Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja.

Ieleweke kwamba yeyote amuaminiye Kristo hawezi kutenda uovu
sasa kwanini ulimuuliza hao manabii wa mwanzo watahukumiwa kwa lugha gani?
 
Hakuna mtu anaefanya alitakalo kuna sheria zinatuzuia kufanya lolote tulitakalo.
mimi mbona nimeshachana nyingi tu na maisha yanaendelea , kwako ndio cha maana kwa wengine ni upumbavu tusilazimishane
 
Kitabu ambacho hakichanwi, au kukifanyia udjalilishaji mbele ya jamii, namba moja duniani inashikiliwa na quraan"

Maeneo mengine kufanya hivo ni sawa na kujitangazia kifo!

Kwenye quraan (bila kutaja kifungu) mwenyezi mungu alisema"( astaghafiru)"
Kupitia mtume wake.
S.A.W...."Nimewaachina dini yenu muilinde, lakini kitabu changu nitakilinda mimi"

Ukifanya maovu kwenye kile kitabu, hata kama hujakamtwa, uombe tu polisi wakuchukue ukakae eneo salama"

Sent using Redmi Y2
Acha vitisho wewe Mungu mwenyewe katulia wewe kiherehere cha nini ?
 
Kiukweli, mkusanyiko wa maandishi aliyochana Daniel Maleki SIYO Kurani bali ni sehemu tu (Juzuu ya 30) ya Kurani. Kurani maana yake kitabu kizima kilichokamilika, na siyo machapisho ya sehemu fulani kutoka Kurani. Kwa hiyo huo "utukufu" haupo kwenye chapisho la hiyo Juzuu ya 30.
 
mimi mbona nimeshachana nyingi tu na maisha yanaendelea , kwako ndio cha maana kwa wengine ni upumbavu tusilazimishane

You need to think out of the box. Ukiangalia huyu jamaa aliechana QUR-AN nae pia si ndio alikuwa analazimisha watu wasiamini dini nyengine zaidi ya dini anayoiamini? Umeshindwa kuona kuwa kitendo chake kinaweza kuanzisha umwagaji wa damu? Labda huna kumbukumbu kubwa lakni kuna sehemu nyingi duniani watu wameuana kwa sababu iliyoanza na mtu kuchana au kuchoma bible au Qur-an. Ugomvi huwa unaanzishwa na mtu mmoja tu na watu huanza kupandisha ghadhabu na kuanza kuumizana, Tanzania hatuhitaji hili. Kila mtu ana dini yake, hakuna haja ya kutukanana au kudhauriana dini zetu.
 
mimi mbona nimeshachana nyingi tu na maisha yanaendelea , kwako ndio cha maana kwa wengine ni upumbavu tusilazimishane
hujaonekana mbele ya watu jifiche tu hukohuko.nakuhakikishia kama utafanya jambo hilo mbele yangu itakuwa mwisho wa uhai wako na mie gerezani nitapelekwa
 
Kama angechana kikaratasi chenye aya moja kutoka kwenye Kurani, jee nalo lingekuwa kosa?
 
Huyo Jafo katumia hisia na Shariah ya Kiislam kumuhukumu jamaa kwa kuangalia ile video clip pekee sababu yeye mwenyewe ni Muislamu. Hakutumia Sheria ya Jamhuri. Angetaja vifungu au kifungu gani cha Sheria ya Jamhuri kimempa mamlaka ya kumfukuza kazi.
 
hujaonekana mbele ya watu jifiche tu hukohuko.nakuhakikishia kama utafanya jambo hilo mbele yangu itakuwa mwisho wa uhai wako na mie gerezani nitapelekwa
Wa morogoro mmemtafuta kamanda wa polisi ndio amisaidie , wacha kujivimbia kwenye keyboard wewe ahahahaha
 
You need to think out of the box. Ukiangalia huyu jamaa aliechana QUR-AN nae pia si ndio alikuwa analazimisha watu wasiamini dini nyengine zaidi ya dini anayoiamini? Umeshindwa kuona kuwa kitendo chake kinaweza kuanzisha umwagaji wa damu? Labda huna kumbukumbu kubwa lakni kuna sehemu nyingi duniani watu wameuana kwa sababu iliyoanza na mtu kuchana au kuchoma bible au Qur-an. Ugomvi huwa unaanzishwa na mtu mmoja tu na watu huanza kupandisha ghadhabu na kuanza kuumizana, Tanzania hatuhitaji hili. Kila mtu ana dini yake, hakuna haja ya kutukanana au kudhauriana dini zetu.
Kama unaweza Muua mwenzako kisa QURAN au BIBLE imechanwa , basi wewe ni TAHIRA, yaani Mungu atulie wewe ndio uwe kiherehere
 
Back
Top Bottom