Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Ulabu mtamu,Mwenyezi Mungu atatusamehe tu!
 
Unakumbuka ile kesi ya yule kijana aliesema Yesu si Mungu?, wakati wa Mwinyi..

Kwani yule jamaa alifungwa kwa kifungu gani cha sheria?..
 
Unakumbuka ile kesi ya yule kijana aliesema Yesu si Mungu?, wakati wa Mwinyi..

Kwani yule jamaa alifungwa kwa kifungu gani cha sheria?..
Yule kwani alikuwa mfanyakazi? Alisimamishwa kazi?
 
sasa kwanini ulimuuliza hao manabii wa mwanzo watahukumiwa kwa lugha gani?
 
Yule kwani alikuwa mfanyakazi? Alisimamishwa kazi?
Sijui alikuwa anaishi vipi,lakini bila shaka maisha yake yaliharibika, alihukumiwa na kupelekwa gerezani
 
Hakuna mtu anaefanya alitakalo kuna sheria zinatuzuia kufanya lolote tulitakalo.
mimi mbona nimeshachana nyingi tu na maisha yanaendelea , kwako ndio cha maana kwa wengine ni upumbavu tusilazimishane
 
Acha vitisho wewe Mungu mwenyewe katulia wewe kiherehere cha nini ?
 
Kiukweli, mkusanyiko wa maandishi aliyochana Daniel Maleki SIYO Kurani bali ni sehemu tu (Juzuu ya 30) ya Kurani. Kurani maana yake kitabu kizima kilichokamilika, na siyo machapisho ya sehemu fulani kutoka Kurani. Kwa hiyo huo "utukufu" haupo kwenye chapisho la hiyo Juzuu ya 30.
 
mimi mbona nimeshachana nyingi tu na maisha yanaendelea , kwako ndio cha maana kwa wengine ni upumbavu tusilazimishane

You need to think out of the box. Ukiangalia huyu jamaa aliechana QUR-AN nae pia si ndio alikuwa analazimisha watu wasiamini dini nyengine zaidi ya dini anayoiamini? Umeshindwa kuona kuwa kitendo chake kinaweza kuanzisha umwagaji wa damu? Labda huna kumbukumbu kubwa lakni kuna sehemu nyingi duniani watu wameuana kwa sababu iliyoanza na mtu kuchana au kuchoma bible au Qur-an. Ugomvi huwa unaanzishwa na mtu mmoja tu na watu huanza kupandisha ghadhabu na kuanza kuumizana, Tanzania hatuhitaji hili. Kila mtu ana dini yake, hakuna haja ya kutukanana au kudhauriana dini zetu.
 
mimi mbona nimeshachana nyingi tu na maisha yanaendelea , kwako ndio cha maana kwa wengine ni upumbavu tusilazimishane
hujaonekana mbele ya watu jifiche tu hukohuko.nakuhakikishia kama utafanya jambo hilo mbele yangu itakuwa mwisho wa uhai wako na mie gerezani nitapelekwa
 
Kama angechana kikaratasi chenye aya moja kutoka kwenye Kurani, jee nalo lingekuwa kosa?
 
Huyo Jafo katumia hisia na Shariah ya Kiislam kumuhukumu jamaa kwa kuangalia ile video clip pekee sababu yeye mwenyewe ni Muislamu. Hakutumia Sheria ya Jamhuri. Angetaja vifungu au kifungu gani cha Sheria ya Jamhuri kimempa mamlaka ya kumfukuza kazi.
 
hujaonekana mbele ya watu jifiche tu hukohuko.nakuhakikishia kama utafanya jambo hilo mbele yangu itakuwa mwisho wa uhai wako na mie gerezani nitapelekwa
Wa morogoro mmemtafuta kamanda wa polisi ndio amisaidie , wacha kujivimbia kwenye keyboard wewe ahahahaha
 
Kama unaweza Muua mwenzako kisa QURAN au BIBLE imechanwa , basi wewe ni TAHIRA, yaani Mungu atulie wewe ndio uwe kiherehere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…