Emmanuel Robinson
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,856
- 1,793
Ndiyo maana nikasema kukamatwa alistahili kabisa ila kufukuzwa kazi hapo atakuwa amekiuka taratibu ipi ya kaziHajakiuka sheria za kazi moja kwa moja ola amevunja sheria za nchi.
View attachment 1349626
ᴸᵉᵍᵉⁿᵈᵃʳʸ [emoji377]
Hoja yangu ni kwamba kuna sheria ambazo zinatuzuia kufanya lolote tu tujisikialo kufanya hakuna mtu mwenye uhuru wa kufanya lolote tu.mimi mbona nimeshachana nyingi tu na maisha yanaendelea , kwako ndio cha maana kwa wengine ni upumbavu tusilazimishane
Ndio maana ukaambiwa kazusha taharuki. Serikalini kuna watu wenye dini tofauti.Kiuhalisia Waziri Hakutakiwa kuliingilia hili swala, inaonyesha ni kwakiasi gani udini upo ndani ya viongozi wakati serikali inaimba kutokuwa na Dini.
#Bagwell
Aiseeee.Kwa nini wamemuacha wasingempiga jambia moja la kichwa.
Wakristo hawakumpuuza walikuwa wakimjadili sana humu na hadi polisi ikaingilia hilo suala kwa kumkamata na wakristo wakapongeza jeshi la polisi kwa maana alikuwa akiwakera na mahubiri yake.Wakristo hawakupoteza muda na huyo unaemtaja. U kristo una ethics zake na pia Mungu wa wakristo hapiganiwi na wanadamu anajipigania yeye mwenyewe kwa kumchangua mwanadamu awe kioo kwa wkati maalumu na akimaliza kazi aliyotumwa basi .
Mimi nashangaa sana badala ya kulipa wema kwa ubaya wao wanalipa ubaya kwa ubaya
Upo sahihi kama thamani ya binadamu ipo sawa na karatasi.Hivi kwann wanaoua nao wanakamatwa wakati kuna binadamu wengine kibao tu waliobakia.
Sent using Jamii Forums mobile app
jaribu kuchoma bendera ya taifa,hgalafu waambie wakupotezee tu kwani haipo moja,wakilia sana waambie KWANI SHILINGI NGAPIMimi naona wangempotezea tu kwani hamna nakala nyingine za hiko kitabu hapo kilosa?
Relax kwanza mkuu kabla ya kufananisha vitu/mambo mbalimbali, yenye upembuzi yakinifu.jaribu kuchoma bendera ya taifa,hgalafu waambie wakupotezee tu kwani haipo moja,wakilia sana waambie KWANI SHILINGI NGAPI
,nadhani tutapata mrejesho mapema sana.
hangaika na maandishi tu,nakukumbusha tena,kachome bendera ya taifa halafu wakija waulize KWANI SHILINGI NGAPI .Relax kwanza mkuu kabla ya kufananisha vitu/mambo mbalimbali, yenye upembuzi yakinifu.
Do you know the reason behind the whole saga? Kuchoma kohorani na kusimamishwa kazi vinahusianaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
SIONI UHUSIANO WA KUCHANWA HIYO QURAN NA KUSIMAMISHWA KAZI.
Kwani amechania ofisini huko halmashauri au katika eneo lolote la ofisi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huoni kama nguvu kubwa imetumika na kwa haraka kuliko kawaidaYupo ndani kisheria au serikali haina sheria pia?
Nguvu kubwa kupelekwa polisi na kuwekwa chini ya ulinzi kwa usalama wake? Au kuna sababu nyingine zaidi ya hiyo imetolewa?
UGAIDI ni jadi yenu, mna siku nyingi hamjafanya UGAIDI, sasa mmepata sababu.
Nyie MAGAIDI sasa mmepata sababu, hatushangai mkijilipua au kuwalipua watu kisa kuchanwa kohorani. Ndio zenu!Nguvu kubwa kupelekwa polisi na kuwekwa chini ya ulinzi kwa usalama wake? Au kuna sababu nyingine zaidi ya hiyo imetolewa?
Hivi chief kwani amefukuzwa au amesamishwa? Ninavyoelewa kusimamishwa kuna uwezekano wa kuachishwa au kurejeshwa kazini.Ndiyo maana nikasema kukamatwa alistahili kabisa ila kufukuzwa kazi hapo atakuwa amekiuka taratibu ipi ya kazi
Angalau wewe una uelewa.Ndiyo maana nikasema kukamatwa alistahili kabisa ila kufukuzwa kazi hapo atakuwa amekiuka taratibu ipi ya kazi
Ila za Marekani na Israel mnachoma?jaribu kuchoma bendera ya taifa,hgalafu waambie wakupotezee tu kwani haipo moja,wakilia sana waambie KWANI SHILINGI NGAPI
,nadhani tutapata mrejesho mapema sana.