MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

Sio mbaya angeshinda wangesema amehonga[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Mkuu, tumekusikia, tumekuelewa.. Man fongo ana sauti nzuri kuliko mondi!

Kama hauna update kuhusu tuzo nyingine imeenda kwa nani just chill..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti manfongo anasauti nzuri kuliko diamond umenifanya nicheke kwa sauti afu usiku huu unajua
 
Unasumbuliwa na huba wewe hautaki kukubaliana na ukweli, hiyo miunk ya wakina werrason huwa nk ziada ila ubora wao wa uimbaji huwa uko palepale
 
Acha kujifariji kwa ujinga wewe! Yale hayakuwa mashindano ya kuimba bali ni tukio la kukabidhi tuzo! Ule utumbuizaji ni kusindikiza hizo tuzo kwahiyo kwamba eti hata kama hakupata tuzo lakini kaimba vizuri ni ule ule ujinga wa kwenye soka yetu; mtu katolewa lakini utasikia wametolewa kiume!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…