Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Hivi Ali Kiba alikwenda na Mashabiki South....?
Mbona alishangiliwa sana....
Diamond ni kama watu walitaka amalize haraka maana alikuwa anapigia kelele .Pamoja na Yemi Alade kupaisha kwa intro ya nguvu ila watu walikuwa kama wamemwagiwa maji...
Mbona alishangiliwa sana....
Diamond ni kama watu walitaka amalize haraka maana alikuwa anapigia kelele .Pamoja na Yemi Alade kupaisha kwa intro ya nguvu ila watu walikuwa kama wamemwagiwa maji...