MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

Watu wachache tunaoujua muziki hatuwezi kustand kutetea upuuzi kwa sababu ya utaifa.Ali ana udhaifu wake sehemu zingine but vocally + musically yuko hatua kadhaa mbele kwa diamond.
Kweli tupu...Na hili nimelithibitisha leo kwenye hizi Tuzo...
 
Finally tumechukua tuzo kubwa zaidi kwa usiku huu...Ally kiba artist of the year...tumeondoka na 1.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Back
Top Bottom