Yesu kristo hakuuonja umauti na hatauonja umautiإنا لله وإنا إليه راجعون
Kila nafsi itaonja umauti, atakaebakia ni Allah pekee
Poleni sana ndugu jamaa na marafiki
Mbona haraka sana imetajwa sababu ni kufeli breki.Kuna taarifa kuwa basi la Shule ya King David iliyoko Manispaa ya Mtwara Mikindani limepata ajali mbaya iliyopelekea vifo vya wanafunzi na dereva wa basi hilo aliyetambulika kwa jina moja Hassan anayekadiriwa kuwa na umri wa mika (54-60)
Miili imehifadhiwa katika hospitali ya rufaa ya Ligula na majeruhi wanaendelea na matibabu hospitalini hapo.
Kama Kuna mzazi au mlezi mwenye mtoto huko afuatilie kinachoendelea. Pole kwa wafiwa na majeruhi, Mungu mwenye Enzi awaponye.
======
TAARIFA YA AWALI YA JESHI LA POLISI
Gari namba T207 CTS la Shule ya Msingi na Sekondari ya King David iliyopo Mtwara limepata ajali maeneo ya Mji Mwema, leo Julai 26, 2022 na kusababisha vifo vya Wanafunzi, dereva na Msaidizi.
Msaidizi wa Kamanda wa Polisi wa Mtwara, ACP Nicodemus Katembo amesema kuwa taarifa za awali waliofariki ni Wanafunzi Nane, Dereva mmoja na Mwangalizi wa Wanafunzi.
Naye RPC mwenyewe ACP Nicodemus Katembo alipopatikana alisema majeruhi wamepelekwa Hospitali ya Ligula lakini watatoa taarifa zaidi baadaye.
UPDATES: 1130HRS
Watu kumi wamefariki dunia wakiwemo wanafunzi nane wa shule ya King David, huku wengine 19 wakijeruhiwa baada ya gari walilokuwa wamepanda kufeli break na kutumbukia kwenye korongo, Mji Mwema mkoani mtwara. Kamanda wa polisi mkoani humo, Nicodemus Katembo amethibitisha
RAIS SAMIA ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
Kupitia akaunti yake rasmi Twitter, Rais Samia ameandika hivi
''Nimesikitishwa na vifo vya wanafunzi 8 wa shule ya msingi ya King David na watu wazima 2 vilivyotokea leo asubuhi huko Mtwara Mikindani baada ya gari la shule kutumbulikia shimoni. Nawapa pole wafiwa, Mkuu wa Mkoa na jamaa. Mwenyezi Mungu awarehemu Marehemu na kuwaponya majeruhi.''
View attachment 2304245View attachment 2304246
View attachment 2304248
View attachment 2304261
Nimetoka kusoma huko mtandaoni; nikashindwa hata kupata picha huyo mama ana hali gani muda huu. Mungu pekee ndiye anaweza kumpa faraja ya kweli na, kumfunga mikanda ya sirini na kumganga moyo wake. Viatu vyake havitutoshi kabisa.Kuna mzazi amepoteza Mtoto wake wa 1 na wa 2 na ndo hao pekee aliojaliwa. Najitahidi kuvaa viatu vyake miguu yangu inapwaya.
Hii kauli hii nikionaga nawaza mambo mengi sana"Mipango ya mungu"
Ndio majibu yetu hayo kwa uzembe wetu wenyeweHii kauli hii nikionaga nawaza mambo mengi sana
Kuna taarifa kuwa basi la Shule ya King David iliyoko Manispaa ya Mtwara Mikindani limepata ajali mbaya iliyopelekea vifo vya wanafunzi na dereva wa basi hilo aliyetambulika kwa jina moja Hassan anayekadiriwa kuwa na umri wa mika (54-60)
Miili imehifadhiwa katika hospitali ya rufaa ya Ligula na majeruhi wanaendelea na matibabu hospitalini hapo.
Kama Kuna mzazi au mlezi mwenye mtoto huko afuatilie kinachoendelea. Pole kwa wafiwa na majeruhi, Mungu mwenye Enzi awaponye.
======
TAARIFA YA AWALI YA JESHI LA POLISI
Gari namba T207 CTS la Shule ya Msingi na Sekondari ya King David iliyopo Mtwara limepata ajali maeneo ya Mji Mwema, leo Julai 26, 2022 na kusababisha vifo vya Wanafunzi, dereva na Msaidizi.
Msaidizi wa Kamanda wa Polisi wa Mtwara, ACP Nicodemus Katembo amesema kuwa taarifa za awali waliofariki ni Wanafunzi Nane, Dereva mmoja na Mwangalizi wa Wanafunzi.
Naye RPC mwenyewe ACP Nicodemus Katembo alipopatikana alisema majeruhi wamepelekwa Hospitali ya Ligula lakini watatoa taarifa zaidi baadaye.
UPDATES: 1130HRS
Watu kumi wamefariki dunia wakiwemo wanafunzi nane wa shule ya King David, huku wengine 19 wakijeruhiwa baada ya gari walilokuwa wamepanda kufeli break na kutumbukia kwenye korongo, Mji Mwema mkoani mtwara. Kamanda wa polisi mkoani humo, Nicodemus Katembo amethibitisha
RAIS SAMIA ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
Kupitia akaunti yake rasmi Twitter, Rais Samia ameandika hivi
''Nimesikitishwa na vifo vya wanafunzi 8 wa shule ya msingi ya King David na watu wazima 2 vilivyotokea leo asubuhi huko Mtwara Mikindani baada ya gari la shule kutumbulikia shimoni. Nawapa pole wafiwa, Mkuu wa Mkoa na jamaa. Mwenyezi Mungu awarehemu Marehemu na kuwaponya majeruhi.''
View attachment 2304245View attachment 2304246
View attachment 2304248
View attachment 2304261
Ndugu hivi ajali zote ni uzembe tumia basi ubongo wako hata kufikiri. Humu karibia wote watatoa lowama kua ni uzembe kitu ambacho sio kweli. Hamjajua chanzo lkn lowama zimekua nyingi sana. Mimi Kuna siku nimetumbukiza gari mtaron kwa kusababishiwa. Bus imeovatake uso kwa uso na Mimi ndo dereva ilinibidi nitumbukize kwenye mtaro.Uzembe Uzembe Uzembe Uzembe Uzembe.
Utasikia tunaanza kuisingizia bahati mbaya.
Utasikia kesho jeshi la polisi linaanza operation maalum dhidi ya haya magari.
Watoto wamekufa bila hatia bali uzembe wa mababa zao, mama zao na kaka zao.
Ndugu hivi ajali zote ni uzembe tumia basi ubongo wako hata kufikiri. Humu karibia wote watatoa lowama kua ni uzembe kitu ambacho sio kweli. Hamjajua chanzo lkn lowama zimekua nyingi sana. Mimi Kuna siku nimetumbukiza gari mtaron kwa kusababishiwa. Bus imeovatake uso kwa uso na Mimi ndo dereva ilinibidi nitumbukize kwenye mtaro.
Sasa ajali kama hiyo wapita njia wote walikua wanatoa lowama kwa uzembe wa dereva ameingiaje huko. Kila mtu alikua akiongea lake. Bila kujua chanzo ni nini?
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app