Zebushishi
Member
- Jul 21, 2022
- 54
- 123
Hapo walibebana mzee ndio tatizo hyo hiace afu jumla wapo 29... Wamekaaje humoInaonekana kule upande ilipoangukia imejibamiza kwa nguvu na body likarudi huku upande wa dereva na kuwabana ukiangalia kwa makini.
Wapunzike kwa amani Marehemu wote waliotangulia kwenye ajali hiyo na maheruhi Mungu awasimamie wapate kupona haraka. [emoji17]