Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa dereva na abiria, tena hizi Schoolbus wafanye sharti ni lazima ziwe na seat belt alafu zisiwe zile gari zilizochoka choka ndo zikafanywa schoolbusSeat belt kwa dereva au abiria wa nyuma,
Maana kwa kawaida nchi yetu seat belt ni kwa dereva na mtu mbele
#Pole kwa wafiwa
Siyo madogo tu pia dereva na msaidizi wao. Mungu awarehemu na awape nguvu, wepesi na faraja wapendwa wao.Hao madogo wameniuma kiukweli.
Mkuu Kuna magari mangapi yamechoka hayana seatbelt na ni school bus? Ikifika imefika tu. Mungu awarehemu.Poleni sana wazazi wa watoto walioaga dunia. Gari imejichokea ndo inafanywa School bus haina hata seat belt
Mkuu umeelewa kweli comment yangu? Au kubeba box kumekuvuruga ubongoMkuu Kuna magari mangapi yamechoka hayana seatbelt na ni school bus? Ikifika imefika tu. Mungu awarehemu.
Ni uchungu sana kupoteza idadi kubwa hiyo ya watu.Kuna taarifa kuwa basi la Shule ya King David iliyoko Manispaa ya Mtwara Mikindani limepata ajali mbaya iliyopelekea vifo vya wanafunzi na dereva wa basi hilo aliyetambulika kwa jina moja Hassan anayekadiriwa kuwa na umri wa mika (54-60)....
Malaika hafiR.I.P kwa malaika wote waliopoteza maisha. Huwa najisikia vibaya sana nikisikia mtoto ameaga dunia tena kwa uzembe
Kiwepo kitabu maalum katika Kila gari ambacho Trafic watakagua seat belts za school Bus na kusign, pia ule utaratibu kwa lazima school bus zote zipelekwe garage Kila mwezi uzingatiwe, kwa kupeleka Traffic mmoja Kila garage ili ahakikishe gari zinatengenezwaHii mbaya sana. Pole kwa wafiwa. Nini kifanyike? Kwa wenzetu gari za wanafunzi hupewa upendeleo wa pekee sana. Tunaweza kufanya kitu gani kuzuia misiba ya watoto kama hii?
Tuliowachagua wametuuwawa.....Hii haijakaa poa mkuu, mfano tukiwatoa ccm na vifo vikatokea utasema nn?
Hizi taaratibu zikianza katikati huko zinapotea.Kiwepo kitabu maalum katika Kila gari ambacho Trafic watakagua seat belts za school Bus na kusign, pia ule utaratibu kwa lazima school bus zote zipelekwe garage Kila mwezi uzingatiwe, kwa kupeleka Traffic mmoja Kila garage ili ahakikishe gari zinatengenezwa
Kuna Mzee mmoja tulisoma na mtoto wake O-level,yule Mzee alikuwa anafika Kila me kutazama mazingira,anaingia mpaka vyooni kuona mwanae anaishi vipiWazazi wengi wanalipa pesa nyingi watoto wao wasome hizi shule zenye school bus lakini wengi hawafanyi ufuatilizi wa usalama wa huo usafiri kwa watoto wao.
Mungu awapumzishe wote waliopoteza maisha kwenye ajali hii.