MTWARA: Basi la Shule ya King David lapata ajali, watu 10 Wamefariki na wengine 19 Wakijeruhiwa baada ya gari 'kufeli breki'

MTWARA: Basi la Shule ya King David lapata ajali, watu 10 Wamefariki na wengine 19 Wakijeruhiwa baada ya gari 'kufeli breki'

Ndugu hivi ajali zote ni uzembe tumia basi ubongo wako hata kufikiri. Humu karibia wote watatoa lowama kua ni uzembe kitu ambacho sio kweli. Hamjajua chanzo lkn lowama zimekua nyingi sana. Mimi Kuna siku nimetumbukiza gari mtaron kwa kusababishiwa. Bus imeovatake uso kwa uso na Mimi ndo dereva ilinibidi nitumbukize kwenye mtaro.

Sasa ajali kama hiyo wapita njia wote walikua wanatoa lowama kwa uzembe wa dereva ameingiaje huko. Kila mtu alikua akiongea lake. Bila kujua chanzo ni nini?

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Mkuu,japo inahuzunisha ila ajali zote chanzo chake ni uzembe.Ajali unaweza sababisha/sababishiwa au chombo chenyewe.
Lakini chanzo kikuu ni uzembe.
DAH! POLENI WATOTO WETU NA WAZAZI WENZETU
 
Kwa hesabu hapo gari aina ya hice ilibeba watu wapatao 29.Ni hatar sana.Polen wafiwa.
 
Kuna taarifa kuwa basi la Shule ya King David iliyoko Manispaa ya Mtwara Mikindani limepata ajali mbaya iliyopelekea vifo vya wanafunzi na dereva wa basi hilo aliyetambulika kwa jina moja Hassan anayekadiriwa kuwa na umri wa mika (54-60)

Miili imehifadhiwa katika hospitali ya rufaa ya Ligula na majeruhi wanaendelea na matibabu hospitalini hapo.

Kama Kuna mzazi au mlezi mwenye mtoto huko afuatilie kinachoendelea. Pole kwa wafiwa na majeruhi, Mungu mwenye Enzi awaponye.

======
TAARIFA YA AWALI YA JESHI LA POLISI

Gari namba T207 CTS la Shule ya Msingi na Sekondari ya King David iliyopo Mtwara limepata ajali maeneo ya Mji Mwema, leo Julai 26, 2022 na kusababisha vifo vya Wanafunzi, dereva na Msaidizi.

Msaidizi wa Kamanda wa Polisi wa Mtwara, ACP Nicodemus Katembo amesema kuwa taarifa za awali waliofariki ni Wanafunzi Nane, Dereva mmoja na Mwangalizi wa Wanafunzi.

Naye RPC mwenyewe ACP Nicodemus Katembo alipopatikana alisema majeruhi wamepelekwa Hospitali ya Ligula lakini watatoa taarifa zaidi baadaye.

UPDATES: 1130HRS

Watu kumi wamefariki dunia wakiwemo wanafunzi nane wa shule ya King David, huku wengine 19 wakijeruhiwa baada ya gari walilokuwa wamepanda kufeli break na kutumbukia kwenye korongo, Mji Mwema mkoani mtwara. Kamanda wa polisi mkoani humo, Nicodemus Katembo amethibitisha

RAIS SAMIA ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI

Kupitia akaunti yake rasmi Twitter, Rais Samia ameandika hivi

''Nimesikitishwa na vifo vya wanafunzi 8 wa shule ya msingi ya King David na watu wazima 2 vilivyotokea leo asubuhi huko Mtwara Mikindani baada ya gari la shule kutumbulikia shimoni. Nawapa pole wafiwa, Mkuu wa Mkoa na jamaa. Mwenyezi Mungu awarehemu Marehemu na kuwaponya majeruhi.''

View attachment 2304245View attachment 2304246
View attachment 2304248

View attachment 2304261
Kupoteza mtoto inauma sana.mungu awafariji....alafu ma school bus yasasa ni mabovu mno
 
RTO wa Mtwara akamatwe awekwe ndani.
Kwanini ameruhusu Hiace ya watu 15 kubeba abiria Mara mbili ya uwezo wake.
RTO anakula mshahara wa bure kabisa la sivyo atuambie mwenye shule hua anampa sh ngapi kila mwezi ili gari isikamatwe?
Mama ameambiwa kwamba gari ilikua na watu 29? Na hakuna aliyevaa mkanda?
 
Kuna taarifa kuwa basi la Shule ya King David iliyoko Manispaa ya Mtwara Mikindani limepata ajali mbaya iliyopelekea vifo vya wanafunzi na dereva wa basi hilo aliyetambulika kwa jina moja Hassan anayekadiriwa kuwa na umri wa mika (54-60)

Miili imehifadhiwa katika hospitali ya rufaa ya Ligula na majeruhi wanaendelea na matibabu hospitalini hapo.

Kama Kuna mzazi au mlezi mwenye mtoto huko afuatilie kinachoendelea. Pole kwa wafiwa na majeruhi, Mungu mwenye Enzi awaponye.

======
TAARIFA YA AWALI YA JESHI LA POLISI

Gari namba T207 CTS la Shule ya Msingi na Sekondari ya King David iliyopo Mtwara limepata ajali maeneo ya Mji Mwema, leo Julai 26, 2022 na kusababisha vifo vya Wanafunzi, dereva na Msaidizi.

Msaidizi wa Kamanda wa Polisi wa Mtwara, ACP Nicodemus Katembo amesema kuwa taarifa za awali waliofariki ni Wanafunzi Nane, Dereva mmoja na Mwangalizi wa Wanafunzi.

Naye RPC mwenyewe ACP Nicodemus Katembo alipopatikana alisema majeruhi wamepelekwa Hospitali ya Ligula lakini watatoa taarifa zaidi baadaye.

UPDATES: 1130HRS

Watu kumi wamefariki dunia wakiwemo wanafunzi nane wa shule ya King David, huku wengine 19 wakijeruhiwa baada ya gari walilokuwa wamepanda kufeli break na kutumbukia kwenye korongo, Mji Mwema mkoani mtwara. Kamanda wa polisi mkoani humo, Nicodemus Katembo amethibitisha

RAIS SAMIA ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI

Kupitia akaunti yake rasmi Twitter, Rais Samia ameandika hivi

''Nimesikitishwa na vifo vya wanafunzi 8 wa shule ya msingi ya King David na watu wazima 2 vilivyotokea leo asubuhi huko Mtwara Mikindani baada ya gari la shule kutumbulikia shimoni. Nawapa pole wafiwa, Mkuu wa Mkoa na jamaa. Mwenyezi Mungu awarehemu Marehemu na kuwaponya majeruhi.''

View attachment 2304245View attachment 2304246
View attachment 2304248

View attachment 2304261
inahuzunisha pole nyingi kwa wafiwa ,hivi hili ni bas au ni hiace na imewezaje kubeba abilia 29 maana wamekufa 10 majeruhi 19 jumla 29 inashangaza
 
Kuna taarifa kuwa basi la Shule ya King David iliyoko Manispaa ya Mtwara Mikindani limepata ajali mbaya iliyopelekea vifo vya wanafunzi na dereva wa basi hilo aliyetambulika kwa jina moja Hassan anayekadiriwa kuwa na umri wa mika (54-60)

Miili imehifadhiwa katika hospitali ya rufaa ya Ligula na majeruhi wanaendelea na matibabu hospitalini hapo.

Kama Kuna mzazi au mlezi mwenye mtoto huko afuatilie kinachoendelea. Pole kwa wafiwa na majeruhi, Mungu mwenye Enzi awaponye.

======
TAARIFA YA AWALI YA JESHI LA POLISI

Gari namba T207 CTS la Shule ya Msingi na Sekondari ya King David iliyopo Mtwara limepata ajali maeneo ya Mji Mwema, leo Julai 26, 2022 na kusababisha vifo vya Wanafunzi, dereva na Msaidizi.

Msaidizi wa Kamanda wa Polisi wa Mtwara, ACP Nicodemus Katembo amesema kuwa taarifa za awali waliofariki ni Wanafunzi Nane, Dereva mmoja na Mwangalizi wa Wanafunzi.

Naye RPC mwenyewe ACP Nicodemus Katembo alipopatikana alisema majeruhi wamepelekwa Hospitali ya Ligula lakini watatoa taarifa zaidi baadaye.

UPDATES: 1130HRS

Watu kumi wamefariki dunia wakiwemo wanafunzi nane wa shule ya King David, huku wengine 19 wakijeruhiwa baada ya gari walilokuwa wamepanda kufeli break na kutumbukia kwenye korongo, Mji Mwema mkoani mtwara. Kamanda wa polisi mkoani humo, Nicodemus Katembo amethibitisha

RAIS SAMIA ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI

Kupitia akaunti yake rasmi Twitter, Rais Samia ameandika hivi

''Nimesikitishwa na vifo vya wanafunzi 8 wa shule ya msingi ya King David na watu wazima 2 vilivyotokea leo asubuhi huko Mtwara Mikindani baada ya gari la shule kutumbulikia shimoni. Nawapa pole wafiwa, Mkuu wa Mkoa na jamaa. Mwenyezi Mungu awarehemu Marehemu na kuwaponya majeruhi.''

View attachment 2304245View attachment 2304246
View attachment 2304248

View attachment 2304261
Ndizo hizi picha zinazolalamikiiwa na RC au kuna nyingine? Kwa sababu hizi naona ni picha za kawaida za ajali.
 
Back
Top Bottom