Hata Kama hakuwa mfanya biashara kweli kwa Nini wampore hela.zake? Wakajua atawashtaki wakaamua kutoa roho kabisa kupoteza ushahidiAlikuwa mfanyabiashara kweli? Huo ni upande wa pili wa shilingi. Hawa polisi walifanya unyama sana
Polisi wengi ni wezi sana, wahusika wawajibishweTaarifa ya Kamati ya uchunguzi wa matukio ya mauaji yanayodaiwa kufanywa na baadhi ya askari mkoani Mtwara imebaini Jeshi la polisi lilishindwa kuteleza wajibu wake wa kulinda usalama wa Raia na mali zake badala yake likageuka kumpora fedha mfanyabiashara wa madini.
Pia soma
- Mtwara: Maafisa Saba(7) wa Polisi wafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya Kijana aliyekuwa akiwadai zaidi ya Tsh milioni 33.7 (25/01/2022)
Pascal hawezi kukusaidia chochote hana jipya tena
Nae ana usika kureform jeshi la polisi mkuu?mnataka baba yangu afukuzwe tule wapi sisi
we usimzelewu huyu jamaa ni jiniaz anajua kila kitu ila ni kama anaGUNDU mana haonekani kabisa kwa uongoziPascal hawezi kukusaidia chochote hana jipya tena
Kiparangoto ndondocha Sirro anasubiria nini kubwaga manyanga au ni mpaka afurushwe kwa manufaa ya umma ?
huyuni mwanadipomasia anaweza kutoa maoni afu HANGAYA akyafanyia kaziNae ana usika kureform jeshi la polisi mkuu?mnataka baba yangu afukuzwe tule wapi sisi
Mwacheni Hamza apumzike, katia huruma huyu mtu wamfanyie unyama, wamuue na kumwita gaidi, wanaanza kuumbukaWalipoona Hamza kanyamazisha wakajua ni rahisi kumnyamazisha mtu na kuchukua chake.
Siro alifuga paka Sasa kageuka mbwa mwitu
Kweli aseewe usimzelewu huyu jamaa ni jiniaz anajua kila kitu ila ni kama anaGUNDU mana haonekani kabisa kwa uongozi
si nilisema... zile pimbi zimesha fanya uzwazwa wao tayariKweli asee
Mungu atusaidie polisi watatumalizasi nilisema... zile pimbi zimesha fanya uzwazwa wao tayari
Mwacheni Hamza apumzike, katia huruma huyu mtu wamfanyie unyama, wamuue na kumwita gaidi, wanaanza kuumbuka
Mjinga ww kwenye kesi ya ugaidi ya mbowe ulikuwa kinyaa
Hakika, huyu jamaa mjingamimi naona kweli ni mjinga. Issue ya Mbowe na makomandoo, aliwatetea sana Kingai na kundi lake la kijambazi. Labda sasa ameujua ukweli.Mjinga ww kwenye kesi ya ugaidi ya mbowe ulikuwa kinyaa
Hakika, huyu jamaa mjingamimi naona kweli ni mjinga. Issue ya Mbowe na makomandoo, aliwatetea sana Kingai na kundi lake la kijambazi. Labda sasa ameujua ukweli.