Ndio umepatikana na wanadai watakabidhiwa ndugu wa marehemu wiki hii.Balaa, mbona RPC anasema fedha ni 33m? Mwili wa marehemu umepatikana?
Makonda kauliwa na polisiKwa Kuna tukio gani sijaelewa
Hiv polis unawachukuliaje ndugu? Yaan ni wapumbavu mno tena zaidi ya hata neno lenyewe, polis anauwezo wa kukuua kwa ajili ya 5k, sijawah kumkubali askar polis maisha yangu yote, yaan siwapendi kiiiinyama.Hawawezi kuwa wapumbavu kiasi hiki,kwamba wamuue mtu kwa milioni tano kila mtu.
There is something behind that amount of money.
Umeshaenda kwa wakulima wa vitunguu na Miwa ama mchele. Kuna vijana ni matajiri wa kutupwa wanamiliki pesa nyingi sana milioni 33 ni pesa ndogo mno kama una goli la maana. Ila ukweli kuna watu wengi sana wanakufa mikononi mwa haya mapolisi majizi. Kwa hili hata RPC wamtoe tu.Katika nchi yetu hii kumkuta kijana wa miaka 25 ana milioni 33 si jambo dogo, kijana alikuwa ni mfanyabiashara wa madini lakini huenda vitu kama mtaji wa boashara alipigwa jeki na mzazi.
Huenda kijana huyo ni mtoto wa mtu mzito kama Rpc wa mkoa flani, Ocd, mwanajeshi mwenye cheo, mwanasiasa, n.k.
Kiufupi huenda kuuawa kwa kijana huyo mdogo kulifanywa bila kujua mzazi wake ni nani, Uchungu wa mtoto anaeujua ni mzazi aisee!! kuna watoto sio hata wa kuwagusa maana kitachokukuta hata kazi yako unayoona inakulimda haitakusaidia.
Aibu KubwaIla jeshi la polisi inabidi libalike, baadala ya kulinda raia wao wamekua sehemu ya kuua raia.
Mauaji ya polisi hayajaanza leo toka enzi za Kina Zombe Mama ndio alikua Rais kipindi hicho ?...enzi za Magu wapo polisi waliweka pembe za ng'ombe kwa mstaafu na kuchukua rushwa ya 100m matukio yao ni mengi kwa awamu tofauti inatakiwa uwe na kumbukumbu tuu...Mama Samiah yuko busy kubeba vibuyu na mikuki bila kusahau kutafuta ulinzi wa kiganga, ili hali watu aliowapa dhamana ya kulinda raia na mali zao ndio wa kwanza kuwashambulia na kuwaua raia
Sisi kama taifa tumepoteza dira chini ya uongozi wa huyu mama
Huyo benadi....kina zombe..hayo mambo walikua wanafanya zama za magu???.kuna police alikuwa anaitwa Benadi kama sikosei.kikosi chao kilikuwa na askari kazaa pale Morogoro ila nisingependa kuwataja.
hawa police walikuwa wakifanya unyang'anyi wa kiujambazi kwa wa2 wengi sana.Ila uyu benad ambae aliingia kazini kwa kipaji cha kucheza mpila alipatwa na shida ya kuifiwa na mke wake.Ila cjajuwa kilichomuuwa mkewe.
kutokana na kifo cha mkewake ambae alikuwa anafanya kazi SUA uyu askari akaamuwa kuokoka.
Sasa basi katika kuokoka kwake ilimbidi aanze kutubu matendo yote ambayo alikuwa wakiyafanya.
Apo ndio alikuwa anaamuwa kuyasema adhalani matendo ambayo alikuwa wakiyafanya na askali wenzake.siwezi kuelezea sana mambo ambayo walikuwa wakiyafanya ila hayatofautiani na aya waliyofanya askali wa mtwala akina Zombe.
Mwisho waliamua kutangaza kama yule askali amechanganyikiwa na wakampeleka dodoma milembe ila bado mshikaji alikoamaa na msimamo wake na kuamuwa kuandika vijalada kuutangazia uma kwa matendo yao waliyokuwa wakiwafanyia rahia hasa wafanya biashala wenye hela.
Mwisho kabisa uyu askali walimkuta amejinyonga ila kwanye mazingila yanaonyesha kuwa aliuwawa ila kwakuwaa upelelezi wanafanya wao hivyo walifanikiwa kumpoteza.
Kati ya maaskari waliobaki ni yule ambae niliona you tube amejitengenea kabuli.Nazani damu za wasio na hatia zishaanza kumtafuna...
Nazani damu za watu wasio na hatia.. 76 nazani anaitwa.
naomba nisiongee sana maana zama za jiwe bado zinaendelea...Matendo yanayo tendeka sasa c mageni kwenye idala hii[emoji24][emoji22]!!!
m
Na Mahabusu hawakaag peke yao...jamaa wamemuua kupoteza ushahidHivi kila askari alikuwa kwenye chumba tofauti cha mahabusu au wote walikuwa chumba kimoja? Alijinyongaje?