Muda huu Hizbullah yazichakaza airbases za Israel. China yasema ipo pamoja na Lebanon kujilinda

Muda huu Hizbullah yazichakaza airbases za Israel. China yasema ipo pamoja na Lebanon kujilinda

Swali zuri sana, Juzi tumeshuhudia jeshi la Israel wakivamia kituo cha habari cha Aljazeer kilichoko Haifa ili wasitoe habari zinazowasibu Israel baada ya kichapo kutoka kwa Lebanon, waliwapa dakika 10 tu kukunja mambo yao na kituo kimefungwa sasa unategemea habari zitapenya kutoka wapi
Video na picha tinazoziona wala hazipigwa na Aljazerr wala bbc, bali zinachukuliwa na raia wa kawaida tu wenye smart phone.

Siku hizi hata ujitahidi vipi huwezi kuzuia watu kuchukua video na picha
 
Hii habari ingesomeka hivi Kwa kiswahili.

Hezbollah imerusha makombora kadhaa kuelekea Mashariki mwa Israel, siku moja baada ya Israel kufanya mashambulizi ya anga kulenga kundi hilo la kijeshi ndani ya Lebanon na kuua karibia watu 500 na kujeruhi wengine 1600 -shambulio kubwa zaidi kufanywa nchini (Lebanon)humo kwa siku moja kwa miongo miwili Sasa.

Wewe mwenzetu umetafsirije kwani?

Maana ilikuwaje ulitafsiri kama Israel ndiyo wameshambuliwa?
 
utani utani vita itazagaa sio mashariki ya kati ni duniani maana itaongeza mzuka kwa Urusi kumchapa Ukraine, mwisho wa siku wote tunajikuta tuna hangaika
Hapana dunia kubwa sana mkuu sema tu mabepari na radicals siioni burundi ,na uganda kwa huu muktadha
 
Sio China tu ,mimi pamoja na familia yangu tupo pamoja na hezbollah.
China amewataka raia wake waondoke haraka Israeli,Kwa Nini hakuwataka waondoke Lebanon?,kipi anachikijua kitakachofatia Israeli?

Ile vita Kule mda flani ni Kama maigizo hivi, Hezbollah wananikosha,ndege zikondoka kwenda kushambulia,zikirudi zinakuta ule uwanja ushabomolewa wanaenda kutua syprus Kwa dharula🤣🤣🤣
 
Video na picha tinazoziona wala hazipigwa na Aljazerr wala bbc, bali zinachukuliwa na raia wa kawaida tu wenye smart phone.

Siku hizi hata ujitahidi vipi huwezi kuzuia watu kuchukua video na picha
Nakubaliana na wewe kwamba Israel hawana namna kubana taarifa kule kufunga kituo it is good for nothing wanahangaika tu, habari tunazo
 
China amewataka raia wake waondoke haraka Israeli,Kwa Nini hakuwataka waondoke Lebanon?,kipi anachikijua kitakachofatia Israeli?

Ile vita Kule mda flani ni Kama maigizo hivi, Hezbollah wananikosha,ndege zikondoka kwenda kushambulia,zikirudi zinakuta ule uwanja ushabomolewa wanaenda kutua syprus Kwa dharula🤣🤣🤣
Yan hawa Israel wa mchongo wabondwe tu😁
 
Hii habari ingesomeka hivi Kwa kiswahili.

Hezbollah imerusha makombora kadhaa kuelekea Mashariki mwa Israel, siku moja baada ya Israel kufanya mashambulizi ya anga kulenga kundi hilo la kijeshi ndani ya Lebanon na kuua karibia watu 500 na kujeruhi wengine 1600 -shambulio kubwa zaidi kufanywa nchini (Lebanon)humo kwa siku moja kwa miongo miwili Sasa.

Wewe mwenzetu umetafsirije kwani?

Maana ilikuwaje ulitafsiri kama Israel ndiyo wameshambuliwa?
"Hizbollah imefanya mashambulizi kadhaa ya maroketi SIKU MOJA BAADA YA SHAMBULIZI LA ISRAEL".
Inamaana siku moja baada ya Israel kushambulia Lebanon na kuua watu wapatao 500 nayo Hizbollah ikafanya mashambulizi.
Na hayo mashambulizi yalifanyika usiku wa manane kuamkia leo.
Inamaana ni siku imeshapita.
Embu tafsiri vizuri kaka.
 
Kwani palestina ilishawahi kuwepo na mji mkuu wake ni upi na mfalme wake aliitwa nani hadi hiyo miji iwe yake na je kwenye qoroan palestina imewahi kutajwa wapi?
 
Hivi kuna taifa duniani litakubali miji yake irushiwe maroketi ? Kuna dini zinafuga haya makundi ya kigaidi kwenda kuichokoza israel
Huwa nakusisitiza usisahau kunywa supu ukate kilevi.
Kama isingekua uvamizi wa USA na Israel hapo mashariki ya kati basi hivyo vikundi visingekuwepo.
Na kuna siku nilikuuliza unajua kitu kinaitwa DAMASCUS CRISIS 1958!??
Unajua nani alihusika??
Shida JF imejaa mashudu ya mahindi kama wewe mnaondoa ladha ya majadiliano.
 
Huwa nakusisitiza usisahau kunywa supu ukate kilevi.
Kama isingekua uvamizi wa USA na Israel hapo mashariki ya kati basi hivyo vikundi visingekuwepo.
Na kuna siku nilikuuliza unajua kitu kinaitwa DAMASCUS CRISIS 1958!??
Unajua nani alihusika??
Shida JF imejaa mashudu ya mahindi kama wewe mnaondoa ladha ya majadiliano.
Hizi stori mnazodanganyana madrasa kila lawama mumtupie marekani hata wewe ukiacha na mkewe umlaumu marekani
 
utani utani vita itazagaa sio mashariki ya kati ni duniani maana itaongeza mzuka kwa Urusi kumchapa Ukraine, mwisho wa siku wote tunajikuta tuna hangaika
basi duniani mtakuwa mmebaki viumbe ambao hamna akili hata punje!.. hakuna vita ya dunia sasahivi acheni kuamini hicho kitu na akitokea yoyote akaashiria kutaka vita ya dunia itokee nikuhakikishie tu huyo mtu ataondoshwa haraka sana na utashangaa!
 
Hizi stori mnazodanganyana madrasa kila lawama mumtupie marekani hata wewe ukiacha na mkewe umlaumu marekani
Nilitegemea hili jibu kwasababu huna hoja we ni mashudu ya mahindi.
Nenda kasome Damascus Crisis ya 1958 halafu urudi hapa.
Tunahitaji watu wenye hoja sio mashudu.
 
Baada ya mashambulizi makubwa hapo jana yaliyofanywa Lebanon na jeshi La Israel kwenye maeneo IDF iliyosema ni zaidi ya 1300.

Muda huu Hizbullah wanarusha mvua ya maroketi kuelekea vituo vya kijeshi vya Israel.
Kwa mujibu wa matangazo hayo ya moja kwa moja makombora mawili kati ya hayo yameangukia baharini uwelekeo zilipo meli za kivita za Marekani kwenye bahari ya Mediterranean.

Waziri wa mambo ya nje ya China amesema taifa lake liko pamoja na Lebanon katika kulinda heshima yake.

Kwa upande wa Uturuki japo vita vimeanza rasimi na kuua watu karibu 500 bado inatoa tahadhari kuwa vita hivi vinatishia kuliingiza eneo zima la mashariki ya kati katika vita vipana z aidi.

Israel attacks Lebanon live: Hezbollah fires missiles at Israeli airbases


View: https://x.com/boukhalil_/status/1838301076593823784
 
Back
Top Bottom